Epuka mambo manne 4 kabla au wakati unaelekea kujamiiana(kufanya Mapenzi) na mwenzi wako

Epuka mambo manne 4 kabla au wakati unaelekea kujamiiana(kufanya Mapenzi) na mwenzi wako

Google Diggers

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2015
Posts
944
Reaction score
1,138
1. Usinyoe nywele sehemu za siri.

2. Usile chakula kingi Muda mfupi kabla ya kuelekea kumpelekea moto au kupelekewa moto(kugongwa).

3. Usije ukanywa dawa za maumivu ikiwa unahali ya kuumwa/Homa achana na kufanya tendo hilo Hadi hapo hali itakapotengemaa.

4. Usile vitu au vyakula vyenye viungo vikali.
 

Attachments

  • Screenshot_20220528-135934.jpg
    Screenshot_20220528-135934.jpg
    34.6 KB · Views: 53
Swali zuri.
Ikiwa nikifanya hayo nini kitahappen?
Kitaalamu
1. Ukila chakula kingi(ukishiba) utaumiza na kuijeruhi mifumo Chakata ya kuchakata chakula Kwa kuwa kinachotakiwa si kufanya kazi za nje Bali mwili utakuwa unafanyea kazi kusaga chakula. Ni hatari Kwa Kuwa utasababisha magonjwa yasiyoyakuambukiza. Lakini pia hutamudu tendo Kwa ufasaha. Inatakiwa unaakula kias kidg tu

2. Unapokunywa dawa. Ina maana mwili hauko Tayari kufanyakaz yake, isipokuwa Kwa nguvu ya dawa. Ni sawa na anayetumia dawa za kuongeza nguvu jambo ambalo si sahihi. Mwili utakosa nguvu za asili.

3. Kunyoa mavizu ni hatar Kwa sababu skinhole zitakuwa wazi kuweza kusababisha partner akakuambukiza STDs. Upo uwezekano baada ya sex ukiwa hujanyoa na ikiwa mmoja wenu anaumwa ukiwahi ukanawa maji ya kutosha na sabuni ukaepuka maambukizi.

4. Vyakula vyenye viungo huondoa uasili wa kazi unayoenda kuifanya.
 
Nilikuaga naumwa nipo dose ya malaria day 2, nikapata match ya kushitukiza.

Aisee bao la kwanza tu nililipata kwa mbinde sana
 
Swali zuri.

Kitaalamu
1. Ukila chakula kingi(ukishiba) utaumiza na kuijeruhi mifumo Chakata ya kuchakata chakula Kwa kuwa kinachotakiwa si kufanya kazi za nje Bali mwili utakuwa unafanyea kazi kusaga chakula. Ni hatari Kwa Kuwa utasababisha magonjwa yasiyoyakuambukiza. Lakini pia hutamudu tendo Kwa ufasaha. Inatakiwa unaakula kias kidg tu

2. Unapokunywa dawa. Ina maana mwili hauko Tayari kufanyakaz yake, isipokuwa Kwa nguvu ya dawa. Ni sawa na anayetumia dawa za kuongeza nguvu jambo ambalo si sahihi. Mwili utakosa nguvu za asili.

3. Kunyoa mavizu ni hatar Kwa sababu skinhole zitakuwa wazi kuweza kusababisha partner akakuambukiza STDs. Upo uwezekano baada ya sex ukiwa hujanyoa na ikiwa mmoja wenu anaumwa ukiwahi ukanawa maji ya kutosha na sabuni ukaepuka maambukizi.

4. Vyakula vyenye viungo huondoa uasili wa kazi unayoenda kuifanya.
Nikajua ukifanya hivyo hautokufa
 
1. Usinyoe nywele sehemu za siri.

2. Usile chakula kingi Muda mfupi kabla ya kuelekea kumpelekea moto au kupelekewa moto(kugongwa).

3. Usije ukanywa dawa za maumivu ikiwa unahali ya kuumwa/Homa achana na kufanya tendo hilo Hadi hapo hali itakapotengemaa.

4. Usile vitu au vyakula vyenye viungo vikali.
Nkitaka 0659 je?
 
Hatuwezi elewa hili somo bila kutupa sababu za msingi
 
Back
Top Bottom