Epuka sana kuwa na marafiki ambao wakiona hela wanapagawa

Epuka sana kuwa na marafiki ambao wakiona hela wanapagawa

nyboma

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2021
Posts
2,308
Reaction score
7,366
Kwa ufupi marafiki wa namna hii wanaweza kukusaliti muda wowote kwa maslahi yao binafsi, narudia tena epuka kuwa na marafiki wa namna hii ambao wakiona hela akili zao hubadilika na kuwa kama wehu utanishukuru siku moja.

Na marafiki wa namna hii wengi wao wakishika fungu basi pombe na wanawake ndio hutawala akili zao kwa 100% waepuke sana katika maisha yako.
 
Kwa ufupi marafiki wa namna hii wanaweza kukusaliti muda wowote kwa maslahi yao binafsi, narudia tena epuka kuwa na marafiki wa namna hii ambao wakiona hela akili zao hubadilika na kuwa kama wehu utanishukuru siku moja.
Mkuu siyo marafiki tu hata ndugu na wake zetu, ukirudi na fungu, unawekewa chakula mezani na kukaribishwa kwa heshima... aliyeimba pesa sabuni ya roho alistahili tuzo.
 
Kuna mmoja nimemtahiri na bati hatakuja nisahaau katika maisha yake unaniletea uhuni mimi? Shenzi kabisa kama ni hao wahuni awalete tuoneshane ujinga wa mjini.

Marafiki wabinafsi wanahitaji uvumilivu sana
 
Mkuu siyo marafiki tu hata ndugu na wake zetu, ukirudi na fungu, unawekewa chakula mezani na kukaribishwa kwa heshima... aliyeimba pesa sabuni ya roho alistahili tuzo.
Mziki wa zamani ulikuwa na mafunzo sana ndani yake
 
Kwa ufupi marafiki wa namna hii wanaweza kukusaliti muda wowote kwa maslahi yao binafsi, narudia tena epuka kuwa na marafiki wa namna hii ambao wakiona hela akili zao hubadilika na kuwa kama wehu utanishukuru siku moja.

Na marafiki wa namna hii wengi wao wakishika fungu basi pombe na wanawake ndio hutawala akili zao kwa 100% waepuke sana katika maisha yako.
Hivi kwa nini watu wanataka kukomzana na nature? Sasa unataka mwanaume akipate hela atumie kwa ajili gani sio kama sio atumie kupata wanawake? Hela unatafuta ili mwishoe uje tuu utumie kwa mwanamke.
 
Kila ndege huruka na aina yake tu
Huyo rafiki wa kupenda hela
Labda demu tu [emoji23]
 
Naona ktk wachangiaji wote hakuna mwenye tabia hizo hebu acha basi nijitathmini mimi kama mimi kama kuna uwezekano niachane na marafiki wenye hela. Ntarudi kucomment hata mwakani faida na hasara zake.
 
Siku hizi balaa, wanaimba huku wanajishika viungo vya uzazi hadharani bila haya
Nimekoswa kushambuliwa Hiki ni kisa changu kingine pesa yangu niuliwe mimi kweli?
 
Back
Top Bottom