Equinor writes off Tanzania liquefied natural gas project

Equinor writes off Tanzania liquefied natural gas project

Hata huko huko kwenye kingereza pia kina umuhimu ukitaka tukomae nacho, nilikua najaribu kutafuta nini haswa kinakusibu, maana unaparamia vyote hadi sikuelewi ipi ndio hoja yako.
Suala la Expressway usihoji chochote naisubiri kwa hamu sana, kazi zitafanyika sasa, nchi tunaingiza hasara sana kwa haya mafoleni, yaani maelfu ya watu wanaganda barabarani hawazalishi.
Kumbe hua unafuatilia midahalo yangu ni vyema,Nilisema ndio lakini naendelea kusema...Italy wanakipato kikubwa sio Sawa na nchi kama hizi zetu...Lazima wakubwa waangalie tusiumizane sana...Nakazia tena tusiumizane wawe waangalifu

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Wewe mwenyewe ndio juzi ulisema kwamba nchi haiwezi kuendelea ikiwa itategemea serikali pekee yake kujenga barabara. Ulisema kwamba serikali lazima iruhusu private sector kujenga barabara. Sasa itakuwaje tena PPP imekuwa ya kinyonyaji. Hata Italy wana barabara za PPP na wanalipa toll fees. Na muda wa mkataba ni 30 years hata huko.
Kumbe hua unafuatilia midahalo yangu ni vyema,Nilisema ndio lakini naendelea kusema...Italy wanakipato kikubwa sio Sawa na nchi kama hizi zetu...Lazima wakubwa waangalie tusiumizane sana...Nakazia tena tusiumizane wawe waangalifu

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Nilihitaji kukujibu wewe Brother Tony mkenya

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Wewe mwenyewe ndio juzi ulisema kwamba nchi haiwezi kuendelea ikiwa itategemea serikali pekee yake kujenga barabara. Ulisema kwamba serikali lazima iruhusu private kujenga barabara. Sasa itakuwaje tena PPP imekuwa ya kinyonyaji. Hata Italy wana barabara za PPP na wanalipa toll fees. Na muda wa mkataba ni 30 years hata huko.

Mimi naomba waje wengi wapitishe barabara nyingi juu kwa juu tuzilipie hata mikataba ya miaka 50, uchumi unahitaji sana miundo mbinu inayoteleza, ugavi na manunuzi kwenye makampuni, usafirishaji, pia usafiri wa wajasiria mali ni jambo la maana sana kuwawahisha wanakokwenda.
Unakuta unataka uwahi mteja mwenye dili kubwa la kufa mtu, na hamna usafiri wa uhakika, iwe kwa gari lako, taxi, mabasi hamna kabisa, umeganda kishenzi, huwa nachukia mpaka najikuta nikiongea mwenyewe na kutukana......hehehe
 
Kumbe hua unafuatilia midahalo yangu ni vyema,Nilisema ndio lakini naendelea kusema...Italy wanakipato kikubwa sio Sawa na nchi kama hizi zetu...Lazima wakubwa waangalie tusiumizane sana...Nakazia tena tusiumizane wawe waangalifu

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Ni sawa nakubaliana nawe kwamba tusiumizane. Kumbuka watu hohe hahe hawatatumia barabara hii. Yaani namaanisha watembea kwa miguu, wasukuma toroli na mkokoteni na waendesha pikipiki. Kimsingi nachomaanisha ni kwamba masikini nao hawajasahaulika wataendelea kutumia leni za chini na itakuwa bure bilashi hakuna kulipia. Leni za juu za kupeperuka kama ndege ni za mabwenyenye wenye magari zao. Sasa bwenyenye mwenye uwezo wa kununua gari mpya ya ksh 1 million atashindwaje kulipa ksh 200 au ksh 300 kutumia baraste laini ambalo halina jam? Tajiri hafinywi na wala hakandamizwi kuagizwa kulipa ksh 300 kutumia barabara. Halafu tajiri mkono gamu ambaye hataki kulitumia expressway hatalazimishwa kulitumia. Sasa unaposema kwamba Wakenya wanafinywa nashindwa kukuelewa maana barabara hii sio ya masikini. Naomba uelewe hio point maana ni point muhimu sana. Ukilielewa hutarudia tena kusema kwamba Wakenya wanakandamizwa na mikataba katili. Bwenyenye afadhali alipe ksh 1,000 lakini afike haraka anakokwenda.
 
Mimi naomba waje wengi wapitishe barabara nyingi juu kwa juu tuzilipie hata mikataba ya miaka 50, uchumi unahitaji sana miundo mbinu inayoteleza, ugavi na manunuzi kwenye makampuni, usafirishaji, pia usafiri wa wajasiria mali ni jambo la maana sana kuwawahisha wanakokwenda.
Unakuta unataka uwahi mteja mwenye dili kubwa la kufa mtu, na hamna usafiri wa uhakika, iwe kwa gari lako, taxi, mabasi hamna kabisa, umeganda kishenzi, huwa nachukia mpaka najikuta nikiongea mwenyewe na kutukana......hehehe
Ni kweli kwamba tunahitaji more expressways. Ila hili jinamizi la msongamano wa magari soon tutalitupa kwenye kaburi la sahau.
 
Ni sawa nakubaliana nawe kwamba tusiumizane. Kumbuka watu hohe hahe hawatatumia barabara hii. Yaani namaanisha watembea kwa miguu, wasukuma toroli na mkokoteni na waendesha pikipiki. Kimsingi nachomaanisha ni kwamba masikini nao hawajasahaulika wataendelea kutumia leni za chini na itakuwa bure bilashi hakuna kulipia. Leni za juu za kupeperuka kama ndege ni za mabwenyenye wenye magari zao. Sasa bwenyenye mwenye uwezo wa kununua gari mpya ya ksh 1 million atashindwaje kulipa ksh 200 au ksh 300 kutumia baraste laini ambalo halina jam? Tajiri hafinywi na wala hakandamizwi kuagizwa kulipa ksh 300 kutumia barabara. Halafu tajiri mkono gamu ambaye hataki kulitumia expressway hatalazimishwa kulitumia. Sasa unaposema kwamba Wakenya wanafinywa nashindwa kukuelewa maana barabara hii sio ya masikini. Naomba uelewe hio point maana ni point muhimu sana. Ukilielewa hutarudia tena kusema kwamba Wakenya wanakandamizwa na mikataba katili. Bwenyenye afadhali alipe ksh 1,000 lakini afike haraka anakokwenda.
Toll fees ziendane na uchumi unadhani kununua ndinga ya tsh 23M ndio kua mtamu?tena hapa mjini DAR nmegundua watu sikuhz wanadrive zaidi tar Za mwisho Wa mwezi na weekend Daah Magu amebana mbaya kabisa...
Yawezekana uko kwenu vibunda mnavyo hamkaukiwi ila uku kwetu Kim mda Mambo yanabana jumlajumla unakosa hata hela ya bia

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Toll fees ziendane na uchumi unadhani kununua ndinga ya tsh 23M ndio kua mtamu?tena hapa mjini DAR nmegundua watu sikuhz wanadrive zaidi tar Za mwisho Wa mwezi na weekend Daah Magu amebana mbaya kabisa...
Yawezekana uko kwenu vibunda mnavyo hamkaukiwi ila uku kwetu Kim mda Mambo yanabana jumlajumla unakosa hata hela ya bia

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Jaribu kutembea Nairobi ndio utajuwa kwamba Kenya ni capitalist country. Range rover na prado ziko nyingi tu. Kenya ina wealthy class kubwa. Sikatai kwamba Kenya pia ina masikini wengi ila Kenya ina matajiri wengi. Nyinyi Watanzania mna income inayokaribia kutoshana. Yaani gap kati ya Tajiri na masikini sio kubwa sana huko kwenu ukilinganisha na Kenya. Kiuchumi tunatumia kigezo kinachoitwa gini coefficient kuangalia gap kati ya masikini na matajiri. Nchi za kibepari zina gap kubwa kati ya matajiri na masikini na za kisosholisti zina gap ndogo kati ya matajiri na masikini. South Africa ndio nchi yenye gap kubwa zaidi kati ya matajiri na masikini kwa maana wazungu ambao ni 5% of the population wanamiliki 70% of the land and more than 70% of the capital and industries. Kisha blacks ambao ni wengi wanamiliki shamba kidogo na capital kidogo. Kwa hivyo Kenya ina matajiri wa kutosha wa kutumia barabara hili. Halafu hata sio lazima uwe tajiri ili utumie barabara hili. Ksh 300 ni pesa kidogo sana na hata Mkenya wa kawaida hawezi kushindwa kuipata hususan ikiwa amechelewa kazini au amechelewa airport au amechelewa kwenye job interview. Yaani ukatae kutoa mia tatu tu kisha uchelewe unakokwenda? Utapoteza interview ukichelewa, au ndege itakuwacha kwenye airport ukichelewa. Jam ni shetani na imefanya watu wengi wapoteze kazi nzuri nzuri au wawachwe na ndege. Usilichukulie jambo hili la jam kirahisi tu.
 
Jaribu kutembea Nairobi ndio utajuwa kwamba Kenya ni capitalist country. Range rover na prado ziko nyingi tu. Kenya ina wealthy class kubwa. Sikatai kwamba Kenya pia ina masikini wengi ila Kenya ina matajiri wengi. Nyinyi Watanzania mna income inayokaribia kutoshana. Yaani gap kati ya Tajiri na masikini sio kubwa sana huko kwenu ukilinganisha na Kenya. Kiuchumi tunatumia kigezo kinachoitwa gini coefficient kuangalia gap kati ya masikini na matajiri. Nchi za kibepari zina gap kubwa kati ya matajiri na masikini na za kisosholisti zina gap ndogo kati ya matajiri na masikini. South Africa ndio nchi yenye gap kubwa zaidi kati ya matajiri na masikini kwa maana wazungu ambao ni 5% of the population wanamiliki 70% of the land and more than 70% of the capital and industries. Kisha blacks ambao ni wengi wanamiliki shamba kidogo na capital kidogo. Kwa hivyo Kenya ina matajiri wa kutosha wa kutumia barabara hili. Halafu hata sio lazima uwe tajiri ili utumie barabara hili. Ksh 300 ni pesa kidogo sana na hata Mkenya wa kawaida hawezi kushindwa kuipata hususan ikiwa amechelewa kazini au amechelewa airport au amechelewa kwenye job interview. Yaani ukatae kutoa mia tatu tu kisha uchelewe unakokwenda? Utapoteza interview ukichelewa, au ndege itakuwacha kwenye airport ukichelewa. Jam ni shetani na imefanya watu wengi wapoteze kazi nzuri nzuri au wawachwe na ndege. Usilichukulie jambo hili la jam kirahisi tu.

Stop stooping so lowly by being so childish and stupid.

Talking about Range Rovers! why not talking about how much is being lost on a daily basis through corruption?

It's almost impossible for Kenyans to rise above many of their societal challenges (such as: landlessness, higher levels of violent crime and corruption, tribalism) owing to their stupid mindset of worshipping and co-signing their tormentors.

What a sad state of affairs!
 
Unahisi kingereza ni maandiko matakatifu AU mbona unawaza kimburula sana?izo page 800 waziona nyingi kwa kigezo cha lugha? So unataka kusema watz hawajui kingereza? Nikupe mfano wa proff Kabudi ambae ni mwanasheria Sidhani kama anaweza sign pumba na ni mbobezi kwenye lugha sana
Uyo fara unapoteza muda, that's a paid troll
 
Wewe mwenyewe ndio juzi ulisema kwamba nchi haiwezi kuendelea ikiwa itategemea serikali pekee yake kujenga barabara. Ulisema kwamba serikali lazima iruhusu private sector kujenga barabara. Sasa itakuwaje tena PPP imekuwa ya kinyonyaji. Hata Italy wana barabara za PPP na wanalipa toll fees. Na muda wa mkataba ni 30 years hata huko.

PPP ni njia nzuri ya kushirikisha private sector kwenye infrastructure investment. Tatizo ni Terms and Conditions of those PPP contracts. Ueledi na uzalendo unahitajika sana. Kwa nchi kama kenya ambayo imeathirika sana na rushwa, PPP inaweza kuwa shida sana.
 
Unahisi kingereza ni maandiko matakatifu AU mbona unawaza kimburula sana?izo page 800 waziona nyingi kwa kigezo cha lugha? So unataka kusema watz hawajui kingereza? Nikupe mfano wa proff Kabudi ambae ni mwanasheria Sidhani kama anaweza sign pumba na ni mbobezi kwenye lugha sana
Ukiachana na lugha kwanza tayari nyinyi ni wavivu wa kupindukia
 
Stop stooping so lowly by being so childish and stupid.

Talking about Range Rovers! why not talking about how much is being lost on a daily basis through corruption?

It's almost impossible for Kenyans to rise above many of their societal challenges (such as: landlessness, higher levels of violent crime and corruption, tribalism) owing to their stupid mindset of worshipping and co-signing their tormentors.

What a sad state of affairs!
Matusi inakusaidiaje?
 
Toll fees ziendane na uchumi unadhani kununua ndinga ya tsh 23M ndio kua mtamu?tena hapa mjini DAR nmegundua watu sikuhz wanadrive zaidi tar Za mwisho Wa mwezi na weekend Daah Magu amebana mbaya kabisa...
Yawezekana uko kwenu vibunda mnavyo hamkaukiwi ila uku kwetu Kim mda Mambo yanabana jumlajumla unakosa hata hela ya bia

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Mzee haya uyasemayo ni ya kweli au na wewe unataka kusema jiwe kabana sana hata huwezi fanay mishe mishe zako(side hustle) angalau ukapata kakitu
 
PPP ni njia nzuri ya kushirikisha private sector kwenye infrastructure investment. Tatizo ni Terms and Conditions of those PPP contracts. Ueledi na uzalendo unahitajika sana. Kwa nchi kama kenya ambayo imeathirika sana na rushwa, PPP inaweza kuwa shida sana.
Mimi ninajua terms za PPP zingine. Kuna barabara na hata madaraja za Italy ambazo zinalipisha toll for 30 years. Huo ujinga wenu wa kusema kwamba 30 years ni muda mrefu ni upumbavu mtupu. Uzuri hamuwezi kutudanganya.
 
Mzee haya uyasemayo ni ya kweli au na wewe unataka kusema jiwe kabana sana hata huwezi fanay mishe mishe zako(side hustle) angalau ukapata kakitu
Kabana ndio mkuu ukipata pesa sahv uende nazo kwa adabu maana namna ya kuipata ni Kwa mbinde. ...Kwa sasa kodi kila kona maisha fulani hatukuyazoea na deals za hapa na pale nazo zimekua ngumu....Gaps Dar ilifika hatua ukitaka nyumba ya kupanga unatakiwa utoe kodi miezi 6 nakuendelea ila sasa hivi unapokelewa na hela ya miezi 3 tu
 
Kabana ndio mkuu ukipata pesa sahv uende nazo kwa adabu maana namna ya kuipata ni Kwa mbinde. ...Kwa sasa kodi kila kona maisha fulani hatukuyazoea na deals za hapa na pale nazo zimekua ngumu....Gaps Dar ilifika hatua ukitaka nyumba ya kupanga unatakiwa utoe kodi miezi 6 nakuendelea ila sasa hivi unapokelewa na hela ya miezi 3 tu
Hahaha!!fanya biashara mzee baba kazi za mwisho wa mwezi sio za kuzitegemea sana
 
Back
Top Bottom