Equity bank to be leading bank in Tanzania

Sio ukanjanja mkuu tatizo we ulitaka Gali..,
Ungetaka Gari mbona fasta wangekuelewa
 
Acha uongo,Mimi nilitaka hela ya kulipia bandalini na documents zikitumwa kutoka Japan wao ndio wazipoke na hela ya agent,shippping,plate no nitatoa,wao ni ushuru tu,niwaambia hata kama Gali ije kwa jina lao baada ya kumaliza deni ndipo nibadilishe,lakini pamoja na hayo bado walitaka nikate bima kubwa za million 2 kwa kila Gali yaani jumla Gali 3 sawa na million 6

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Riba ya mikopo wa wanawszidi bank ya Nmb?

Mpe anae kupa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…