mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,358
Kill the messenger
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hey baby doll! Go ahead and gimme a head. I love it when you do it😘Your hole is too lose for the normal size
Eeh??Hongera zake
Pengine kuna mtu alimtonya kuwa mzee umenasa ripoti ya BOT. Sasa hizo safari za dodoma ghafla ghafla veepe.Kama imeibua madudu katika utendaji wako!! na hukutegemea! na hujuwi hatua zipi zitakufata!! lazima uzime!!Nawaza tuu
vifo vingine vya mauza uzaYaani hata hospitali kweli wameshindwa kueleza kafa kwa nini?
Erasto Mfugale: Kusema kweli hatukuwa tumepata taarifa dhahiri hata imetokea nini kwasababu mimi Jumapili iliyopita nilikuwa kwake Temboni, nimekuwa na mazungumzo naye mpaka saa saba usiku lakini akaniambia kesho nina kikao kidogo kule Dodoma, kwahiyo nitatoka na ndege ya mchana. Nikamuaga nikasema naenda.
Alivyokuwa kule, mtoto wake Aron Mfugale alikuwa anaumwa pia akamtakia hali. Asubuhi amepata chai pale nyumbani kwake Dodoma, akatoka kwenda kazini.
Sasa kilichotokea kazini sisi hatujui, mwisho wa siku nashkuru wizara ya ujenzi kupitia Edgar Msigala nikapigiwa simu lakini akaona hatuelewani, baadae Hija akapiga simu na akaniambia moja kwa moja Engineer amefariki dunia, nilikuwa barabarani Bagamoyo, nilitaka nigongwe na gari maana sikuwa nimetegemea kwasababu jana yake mimi nimekuwa na dada yangu, Frida Mfugale alikuwa na andiko, akasema mimi silielewi peleka kwa kaka yako, Frida ilikuwa aje Bagamoyo kwaajili ya usaidizi wa hilo andiko ili liwe andiko makini.
Basi ni maajabu, sijui kimetokea nini. Tumefika jana Dodoma, tunawashkuru serikali, tumeenda hospitali, tumefatilia ile nyaraka, wanasema hatujui ugonjwa, sasa kulikoni?
Mgonjwa alikuja ameshafariki, alikuwa wapi? Baadae habari zinasemekana alikuwa kazini, sisi hatukuelewa kabisa, tukaendelea kuchanyikiwa, kusema kweli ilituuma kweli lakini hata hivyo Binadamu njia yake ni moja.
PIA, SOMA=> Waziri Chamurilo: Familia(Mfugale) wameonyesha ombwe kwamba ilikuwa haifahamu, Mhandisi Mfugale alisema anajisikia vibaya kikaoni
Ukiwa na akili ya aina hii kuchukulia kila jambo ni mapenzi ya Mungu utapotea. Hata Yesu aliuwawa na wanadamu.Tutasema na Kuhisi kila Jambo kwa Upuuzi wetu baadhi ya Waswahili, ila ninachojua kila Mwanadamu hata awe nani automatically tu ni Marehemu mtarajiwa na muda wake wa Kufa ukifika atakufa tu.
Watanzania baadhi yetu sasa tunaanza Kupanda Mbegu mbaya sana ya Kuhisi kila Mtu Mkubwa au Maarufu anapokufa tu basi kuna Mkono wa Mtu hasa Maadui zake iwe Serikalini au katika Jamii.
Ni mapenzi ya mungu piaUkiwa na akili ya aina hii kuchukulia kila jambo ni mapenzi ya Mungu utapotea. Hata Yesu aliuwawa na wanadamu.
Labda kuwe na tume huru ya uchunguziHapo sasa labda ripoti ya “postmortem” itawapatia picha kamili kujuwa chanzo cha kifo cha Engineer Mfugale.
Wanyalukolo mmetuvamiaaaa!Vawulige umutaalamu! Vamsopeli i sumu mu chai [emoji2357][emoji2357]
Hivi MWENDAZAKE, kilifanyika hicho?Ifanyike post moterm kujua chanzo na asili ya kifo
Kaka yake ndiye alikuwa msimamizi wa upigaji wa mwendazake, mpaka wakapeana MFUGALE TOWER,bila shaka hata mpunga mwingi was mwendazake alikuwa naoErasto Mfugale: Kusema kweli hatukuwa tumepata taarifa dhahiri hata imetokea nini kwasababu mimi Jumapili iliyopita nilikuwa kwake Temboni, nimekuwa na mazungumzo naye mpaka saa saba usiku lakini akaniambia kesho nina kikao kidogo kule Dodoma, kwahiyo nitatoka na ndege ya mchana. Nikamuaga nikasema naenda.