Erasto Mfugale: Kilichotokea kazini sisi hatujui

Erasto Mfugale: Kilichotokea kazini sisi hatujui

kama hakupata maumi u wakati wa kufa basi hicho kifo chema, mlitaka apige makelele, anaweza akawa anUmw
Kufariki kwa mwanadamu si lazima hadi aumwe...

Wapo watu wanaofariki kwa amani kabisa bila mateso wala ugonjwa...
 
BE WARNED

Stay at Home

From: A DOCTORS' GROUP KMA

Tafsiri ya haraka na Isaac Mruma.

UNAONYWA

Baki Nyumbani

KUTOKA KWA: MADAKTARI

Kirusi kimerudi, na wakati huu kimekuja na nguvu zaidi, mbinu za ziada na kwa kificho.

Hatukohoi, hakuna homa: ni maumivu tu ya viungo, kuishiwa nguvu, kupoteza hamu ya chakula na homa ya mapafu (nimonia) ya UVIKO (COVID)!
Kiukweli, idadi ya wanaofariki ni kubwa zaidi; ina chukua muda mfumo zaidi ugonjwa kufikia hali mbaya.
Wakati mwingine hakuna dalili za ugonjwa.. tuwe makini.

Hii ya sasa haijitokezi kwenye sehemu za pua na koo!
Inaathiri mapafu, hivyo inachukua muda mfupi zaidi.

Kuna wagonjwa kadhaa wasio na homa; lakini taarifa za X-ray zinaonyesha wana nimonia ya kifua!
Kipimo cha kupitia puani hakionyeshi UVIKO 19 (COVID 19)!

Hii inaonyesha kirusi kina kwenda moja kwa moja kwenye mapafu. Ndio maana hiki cha sasa ni hatari na kinaua zaidi.

Kuwa makini na epuka sehemu zenye mikusanyiko; vaa Barakoa, Nawa mikono yako mara kwa mara.

WIMBI hili la kirusi ni la hatari kuliko la kwanza na la pili. Hivyo tunawajibika kuwa makini sana na kuchukua tahadhari zote.

Sambaza ujumbe huu kwa watu wengi iwezekanavyo, kwa marafiki na Familia.

Tafadhali chukua tahadhari na uwe salama!

Copied from another group

Tuendelee kunywa supu, nyama tutazikuta chini.
 
Kwanza naona fresh tu. Ndugu yetu tulikua tunamdai zaidi ya miaka 10 wamejificha tu wanakula macconection ya biashara na tenda hawatulipi na marehem hawatulipi ya kazi gani na daily vistatus vya shangwe. Ndo maana mwendazake wa chattle alivyoondoka status zilikua nyingi wasap walijua kimeshaumana. Tulipane hela zetu tafadhali. Mulikua munaenjoy maisha sana ila hela hamtulipi. Ikibidi tutozane kwa riba sasa.
[emoji46][emoji46][emoji46][emoji46][emoji46][emoji46]
 
Erasto Mfugale: samahani sana na pole kwa msiba huu mzito kwa familia na taifa kwa ujumla.

Ila huo wasiwasi kuwa hamkujua kilichotokea ofisini ni wa nini! Mbona Engineer alikuwa ni mgojwa wa muda mrefu tuu, pia hata umri wake ulikuwa umeshaenda sana...
"Engineer alikuwa Mgonjwa Muda Mrefu tuu" Hii kauli inahitaji ufafanuzi zaidi
 
Usikubali kufa kizembe kama yule dhalimu mwendazake. Life is so beautiful and enjoyable. Chukua tahadhari zote za kujikinga.

Siku ya kwanza kuvaa barakoa niliona shida sana nikajisemea maisha gani haya!!!! Hii kitu kupumua nayo shida tupu na nilivaa moja tu. Siku hizi napiga mbili mbili kwa masaa hata manne.

Kama ndo hivyo basi sote tutakufa hadi ifike corona part 10!!?
 
Kwanza naona fresh tu. Ndugu yetu tulikua tunamdai zaidi ya miaka 10 wamejificha tu wanakula macconection ya biashara na tenda hawatulipi na marehem hawatulipi ya kazi gani na daily vistatus vya shangwe. Ndo maana mwendazake wa chattle alivyoondoka status zilikua nyingi wasap walijua kimeshaumana. Tulipane hela zetu tafadhali. Mulikua munaenjoy maisha sana ila hela hamtulipi. Ikibidi tutozane kwa riba sasa.
Kwenye pesa huwa mnasahau kama nanyi mtaondoka asee!

Hua najaribu kujiuliza nyinyi ni watu wa namna gani, nakosa jibu.
 
Usikubali kufa kizembe kama yule dhalimu mwendazake. Life is so beautiful and enjoyable. Chukua tahadhari zote za kujikinga. Siku ya kwanza kuvaa barakoa niliona shida sana nikajisemea maisha gani haya!!!! Hii kitu kupumua nayo shida tupu na nilivaa moja tu. Siku hizi napiga mbili mbili kwa masaa hata manne.
Kama kufa utakufa tu,watu huko ulaya wamevaa barakoa,wamejitenga,vaccine juu lakini wamekufa..kuna uovu fulani unaendelea katika huu ulimwengu
 
Kufa si kwa COVID tu Mkuu. Kuna sababu nyingi za kufa lakini pamoja na hayo huwezi kuishi kizembe bila kuchukua tahadhari husika kwa kuwa utakufa tu. Tahadhari muhimu sana

Kama kufa utakufa tu,watu huko ulaya wamevaa barakoa,wamejitenga,vaccine juu lakini wamekufa..kuna uovu fulani unaendelea katika huu ulimwengu
 
Huyu jamaa anataka kuaminisha umma kwamba amemalizwa ama? Mfieew.
Ndo kuna wale hufariki kwa heart attack utasikia katupiwa jini.

Just because alikua inner cycle ya jiwe ndo asife? Sote ndo njia yetu.

May the family accept this.
The family has accepted the fact that their beloved is gone, they just want to know exactly how, and i think this should be a good thing kwa sababu siku hizi watu huko serikalini wanauana sana.

Wengi nimeona mna hukumu sana hii kitu lakini nawaambia kitu kimoja tu, mimi binafsi ndugu zangu wawili wamefariki kwa kuuliwa huko serikalini, mmoja kwa sumu na mwingine alipigwa, yani unaletewa ndugu yako ameshafariki na ana majeraha kibao usoni na ukihoji hupewi majibu na amefia kazini
 
Jamiiforums imejaa watoto siku hizi..
Siku yakiwafika wataelewa tu, ndugu yako ameenda kazini alafu anafia kazini yupo na wafanya kazi wenzake kabisa na wao wanakiri, mkiwahoji hawatoi majibu ya maana. Na hapo Marehemu anakuwa na majeraha au anakua na dalili za Sumu
Mifano ni mingi mno, Magufuli aliwahi kusema na yeye yalimkuta, mangula nae hivo hivo
 
Siku yakiwafika wataelewa tu, ndugu yako ameenda kazini alafu anafia kazini yupo na wafanya kazi wenzake kabisa na wao wanakiri, mkiwahoji hawatoi majibu ya maana. Na hapo Marehemu anakuwa na majeraha au anakua na dalili za Sumu
Mifano ni mingi mno, Magufuli aliwahi kusema na yeye yalimkuta, mangula nae hivo hivo
Hivi eti mwanaume mzima anakufa baba,mama,dada yako katika mazingira ya utata,halafu unakubali tu eti kifo ni mipango ya mungu,inawezekana vipi??..
Kuna watu humu bado wavulana
 
Kwenye pesa huwa mnasahau kama nanyi mtaondoka asee!

Hua najaribu kujiuliza nyinyi ni watu wa namna gani, nakosa jibu.
Sikuelewi unaongea nini. Kwahiyo wewe unadhani dhuluma ni sawa siyo? Hebu pumzika.
 
Hivi eti mwanaume mzima anakufa baba,mama,dada yako katika mazingira ya utata,halafu unakubali tu eti kifo ni mipango ya mungu,inawezekana vipi??..
Kuna watu humu bado wavulana
Inashangaza sana, inauma sana hiyo kitu ni hawajui tu, bora mtu afe mnamuona au mletewe taarifa za kueleweka. Bila hivo maumivu ya msiba huwa ni mara mbili hapo
Nimelazimika mpaka kutoa mifano yangu binafsi, wasipoelewa basi wasubiri yawakute
 
The family has accepted the fact that their beloved is gone, they just want to know exactly how, and i think this should be a good thing kwa sababu siku hizi watu huko serikalini wanauana sana
Wengi nimeona mna hukumu sana hii kitu lakini nawaambia kitu kimoja tu, mimi binafsi ndugu zangu wawili wamefariki kwa kuuliwa huko serikalini, mmoja kwa sumu na mwingine alipigwa, yani unaletewa ndugu yako ameshafariki na ana majeraha kibao usoni na ukihoji hupewi majibu na amefia kazini
Mkuu, tunaelewa sana. Snaa snaa. Lakini ni wangapi walikufa vifo vya utata enzi za mwendazake na mkakaa kimya? Na simaanishi kwamba huyu ndo ana haki ya kupoteza uhai wake hapana. Siamini ktk visasi vya damu. Nachokumbushia tu mtu anapokukirimu unapokua na uchumi mbovu fadhilika. Ni nini hiki?
 
Back
Top Bottom