BE WARNED
Stay at Home
From: A DOCTORS' GROUP KMA
Tafsiri ya haraka na Isaac Mruma.
UNAONYWA
Baki Nyumbani
KUTOKA KWA: MADAKTARI
Kirusi kimerudi, na wakati huu kimekuja na nguvu zaidi, mbinu za ziada na kwa kificho.
Hatukohoi, hakuna homa: ni maumivu tu ya viungo, kuishiwa nguvu, kupoteza hamu ya chakula na homa ya mapafu (nimonia) ya UVIKO (COVID)!
Kiukweli, idadi ya wanaofariki ni kubwa zaidi; ina chukua muda mfumo zaidi ugonjwa kufikia hali mbaya.
Wakati mwingine hakuna dalili za ugonjwa.. tuwe makini.
Hii ya sasa haijitokezi kwenye sehemu za pua na koo!
Inaathiri mapafu, hivyo inachukua muda mfupi zaidi.
Kuna wagonjwa kadhaa wasio na homa; lakini taarifa za X-ray zinaonyesha wana nimonia ya kifua!
Kipimo cha kupitia puani hakionyeshi UVIKO 19 (COVID 19)!
Hii inaonyesha kirusi kina kwenda moja kwa moja kwenye mapafu. Ndio maana hiki cha sasa ni hatari na kinaua zaidi.
Kuwa makini na epuka sehemu zenye mikusanyiko; vaa Barakoa, Nawa mikono yako mara kwa mara.
WIMBI hili la kirusi ni la hatari kuliko la kwanza na la pili. Hivyo tunawajibika kuwa makini sana na kuchukua tahadhari zote.
Sambaza ujumbe huu kwa watu wengi iwezekanavyo, kwa marafiki na Familia.
Tafadhali chukua tahadhari na uwe salama!
Copied from another group
Tuendelee kunywa supu, nyama tutazikuta chini.