Erasto Mfugale: Kilichotokea kazini sisi hatujui

Ndio kifo, apumzike panapostahili.....
 
Kama imeibua madudu katika utendaji wako!! na hukutegemea! na hujuwi hatua zipi zitakufata!! lazima uzime!!Nawaza tuu
Pengine kuna mtu alimtonya kuwa mzee umenasa ripoti ya BOT. Sasa hizo safari za dodoma ghafla ghafla veepe.
 
Tutasema na Kuhisi kila Jambo kwa Upuuzi wetu baadhi ya Waswahili, ila ninachojua kila Mwanadamu hata awe nani automatically tu ni Marehemu mtarajiwa na muda wake wa Kufa ukifika atakufa tu.

Watanzania baadhi yetu sasa tunaanza Kupanda Mbegu mbaya sana ya Kuhisi kila Mtu Mkubwa au Maarufu anapokufa tu basi kuna Mkono wa Mtu hasa Maadui zake iwe Serikalini au katika Jamii.
 
Ukiwa na akili ya aina hii kuchukulia kila jambo ni mapenzi ya Mungu utapotea. Hata Yesu aliuwawa na wanadamu.
 
Ukiwa na akili ya aina hii kuchukulia kila jambo ni mapenzi ya Mungu utapotea. Hata Yesu aliuwawa na wanadamu.
Ni mapenzi ya mungu pia
Maana yeye ndo alipanga kumtoa mwanae wa pekee sadaka ili kuokoa mataifa
 
Kaka yake ndiye alikuwa msimamizi wa upigaji wa mwendazake, mpaka wakapeana MFUGALE TOWER,bila shaka hata mpunga mwingi was mwendazake alikuwa nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…