Erasto Mfugale: Kilichotokea kazini sisi hatujui

Erasto Mfugale: Kilichotokea kazini sisi hatujui

Alitegemea kifo kimpe taarifa? Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la Mungu lihimidiwe.

Watao salamu za rambirambi wanakuja na mibarakoa wakifika kwenye microphone wanaivua. Microphone hiyo hiyo moja kwa wote wala hakuna cha juhudi za kuidisinfect. Ngoja Mungu wa Mbinguni aendelee kuwafanya kichekesho cha dunia hii.
 
Kwamba kifo hakiji tu naturally.. ndio mnataka kusema!?
 
Erasto Mfugale: Kusema kweli hatukuwa tumepata taarifa dhahiri hata imetokea nini kwasababu mimi Jumapili iliyopita nilikuwa kwake Temboni, nimekuwa na mazungumzo naye mpaka saa saba usiku lakini akaniambia kesho nina kikao kidogo kule Dodoma, kwahiyo nitatoka na ndege ya mchana. Nikamuaga nikasema naenda.

Alivyokuwa kule, mtoto wake Aron Mfugale alikuwa anaumwa pia akamtakia hali. Asubuhi amepata chai pale nyumbani kwake Dodoma, akatoka kwenda kazini.

Sasa kilichotokea kazini sisi hatujui, mwisho wa siku nashkuru wizara ya ujenzi kupitia Edgar Msigala nikapigiwa simu lakini akaona hatuelewani, baadae Hija akapiga simu na akaniambia moja kwa moja Engineer amefariki dunia, nilikuwa barabarani Bagamoyo, nilitaka nigongwe na gari maana sikuwa nimetegemea kwasababu jana yake mimi nimekuwa na dada yangu, Frida Mfugale alikuwa na andiko, akasema mimi silielewi peleka kwa kaka yako, Frida ilikuwa aje Bagamoyo kwaajili ya usaidizi wa hilo andiko ili liwe andiko makini.

Basi ni maajabu, sijui kimetokea nini. Tumefika jana Dodoma, tunawashkuru serikali, tumeenda hospitali, tumefatilia ile nyaraka, wanasema hatujui ugonjwa, sasa kulikoni?

Mgonjwa alikuja ameshafariki, alikuwa wapi? Baadae habari zinasemekana alikuwa kazini, sisi hatukuelewa kabisa, tukaendelea kuchanyikiwa, kusema kweli ilituuma kweli lakini hata hivyo Binadamu njia yake ni moja.

Mgonjwa alikuja ameshafariki, alikuwa wapi? Baadae habari zinasemekana alikuwa kazini, sisi hatukuelewa kabisa, tukaendelea kuchanyikiwa, kusema kweli ilituuma kweli lakini hata hivyo Binadamu njia yake ni moja.
 
Nitarudi kwenye huu uzi.naimani nitapata kitu baadae
 
Erasto Mfugale: Kusema kweli hatukuwa tumepata taarifa dhahiri hata imetokea nini kwasababu mimi Jumapili iliyopita nilikuwa kwake Temboni, nimekuwa na mazungumzo naye mpaka saa saba usiku lakini akaniambia kesho nina kikao kidogo kule Dodoma, kwahiyo nitatoka na ndege ya mchana. Nikamuaga nikasema naenda.

Alivyokuwa kule, mtoto wake Aron Mfugale alikuwa anaumwa pia akamtakia hali. Asubuhi amepata chai pale nyumbani kwake Dodoma, akatoka kwenda kazini.

Sasa kilichotokea kazini sisi hatujui, mwisho wa siku nashkuru wizara ya ujenzi kupitia Edgar Msigala nikapigiwa simu lakini akaona hatuelewani, baadae Hija akapiga simu na akaniambia moja kwa moja Engineer amefariki dunia, nilikuwa barabarani Bagamoyo, nilitaka nigongwe na gari maana sikuwa nimetegemea kwasababu jana yake mimi nimekuwa na dada yangu, Frida Mfugale alikuwa na andiko, akasema mimi silielewi peleka kwa kaka yako, Frida ilikuwa aje Bagamoyo kwaajili ya usaidizi wa hilo andiko ili liwe andiko makini.

Basi ni maajabu, sijui kimetokea nini. Tumefika jana Dodoma, tunawashkuru serikali, tumeenda hospitali, tumefatilia ile nyaraka, wanasema hatujui ugonjwa, sasa kulikoni?

Mgonjwa alikuja ameshafariki, alikuwa wapi? Baadae habari zinasemekana alikuwa kazini, sisi hatukuelewa kabisa, tukaendelea kuchanyikiwa, kusema kweli ilituuma kweli lakini hata hivyo Binadamu njia yake ni moja.


Nimependa uwazi ujasiri uthubutu na ukweli kwa kuweka bayana sintofahamu ya mazingira ya kifo chake. R.I.P Mwamba, proud of Baba kwa kheri ya kuonana
 
Dah So painful mwagito sweeelaa ela tuilekelage Inguluvi ye imagava


Dah So painful mwagito sweeelaa ela tuilekelage Inguluvi ye imagava
Wewe jamaa napita ndiuka na nasoma comment ya ndiuka..
...R.I.P mhandisi mfugale
 
Huku uraiani mbona ndugu zetu wanakufa kila siku vifo vya ghafla tunazika tu bila shida...

Kiumbe yeyote aliyeumbwa na Mwenyezi Mungu atakufa tu hawezi kuishi milele na maisha yetu hapa duniani ni mafupi mno..

Ni vyema tukaishi kwa kutenda mema, kuishi kwa hofu ya Mungu ( kwa wale wenye kuamini)..mwisho wa siku Mungu ndiye mjuaji wa kila jambo la dunia hii na ni yeye pia anayejua kwanini fulani ametangulia na kwanini fulani amebaki na mwisho kabisa yeye ndiye anajua makazi ya kila apumzikaye...
 
Erasto Mfugale: Kusema kweli hatukuwa tumepata taarifa dhahiri hata imetokea nini kwasababu mimi Jumapili iliyopita nilikuwa kwake Temboni, nimekuwa na mazungumzo naye mpaka saa saba usiku lakini akaniambia kesho nina kikao kidogo kule Dodoma, kwahiyo nitatoka na ndege ya mchana. Nikamuaga nikasema naenda.

Alivyokuwa kule, mtoto wake Aron Mfugale alikuwa anaumwa pia akamtakia hali. Asubuhi amepata chai pale nyumbani kwake Dodoma, akatoka kwenda kazini.

Sasa kilichotokea kazini sisi hatujui, mwisho wa siku nashkuru wizara ya ujenzi kupitia Edgar Msigala nikapigiwa simu lakini akaona hatuelewani, baadae Hija akapiga simu na akaniambia moja kwa moja Engineer amefariki dunia, nilikuwa barabarani Bagamoyo, nilitaka nigongwe na gari maana sikuwa nimetegemea kwasababu jana yake mimi nimekuwa na dada yangu, Frida Mfugale alikuwa na andiko, akasema mimi silielewi peleka kwa kaka yako, Frida ilikuwa aje Bagamoyo kwaajili ya usaidizi wa hilo andiko ili liwe andiko makini.

Basi ni maajabu, sijui kimetokea nini. Tumefika jana Dodoma, tunawashkuru serikali, tumeenda hospitali, tumefatilia ile nyaraka, wanasema hatujui ugonjwa, sasa kulikoni?

Mgonjwa alikuja ameshafariki, alikuwa wapi? Baadae habari zinasemekana alikuwa kazini, sisi hatukuelewa kabisa, tukaendelea kuchanyikiwa, kusema kweli ilituuma kweli lakini hata hivyo Binadamu njia yake ni moja.


Ripoti ya CAG imemsutua tu
 
Kifo bwana,yaani unajitahidi kukikwepa kwenye magonjwa,ajali,pombe,dawa za kulevya,ukimwi n.k n.k kinakuja kukupata umetulia, hauumwi wala nini,tena ghafla tu,paa...
 
Nadhani wanasema kifo cha ndugu yao Mfugale kina utata. Alikuwa haumwi, lakini pia kafikishwa hospitali akiwa ameshakufa. Wakauliza alifia wapi? Wakaambiwa alifia kazini. Hospitali nao wakasema hawajui ugonjwa uliomuuwa.

Hapo sasa labda ripoti ya “postmortem” itawapatia picha kamili kujuwa chanzo cha kifo Engineer Mfugale.
Mkuu, jiongeze tu hapo kupata majibu.
 
Mgonjwa alikuja ameshafariki, alikuwa wapi? Baadae habari zinasemekana alikuwa kazini, sisi hatukuelewa kabisa, tukaendelea kuchanyikiwa, kusema kweli ilituuma kweli lakini hata hivyo Binadamu njia yake ni moja.
Majibu yapo hapo
 
Back
Top Bottom