Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama imeibua madudu katika utendaji wako!! na hukutegemea! na hujuwi hatua zipi zitakufata!! lazima uzime!!Nawaza tuuHiyo CAG ndo mpaka afe.
Sana yaniMungu mkali sana😥😥
Kwani hakutakiwa kufa au??Ifanyike post moterm kujua chanzo na asili ya kifo
Yaani hata hospitali kweli wameshindwa kueleza kafa kwa nini?
😂😂😂😂Tuendelee kunywa supu, nyama tutazikuta chini.
Hospitali wameshindwa kuona?Wimbi la tatu dalili zake ni tofauti na za awali…
Athari zake ni damu kuganda hivyo kushindwa kusambaza oxygen mwilini na hupelekea kifo cha ghafla mno.
Waanze na mamako kwanza. Usilete utani kwenye uhai wa mtu mbwa wewe" wamwue na mbohe freman"
We elewa tu huyo kashindwa kufunguka ila ni wazi kuna analolijua.Uchungu wa msiba umemwelemea huyu ndugu wa marehemu.
Badala ya kuashiria utata angeweza tu kusema tunasubiri matokeo ya post mortem kujua chanzo cha kifo.
Ameandika kwa kumnukuu mtoto wake, shida ipo wapi?Umeandika haya ukiwa unalenga nini? Hujaeleweka kabisa
Najiuliza postmortem huchukua muda gani au inategemea na mwenendo wa uchunguzi wa kifo pamoja na viashiria vyake?Nadhani wanasema kifo cha ndugu yao Mfugale kina utata. Alikuwa haumwi, lakini pia kafikishwa hospitali akiwa ameshakufa. Wakauliza alifia wapi? Wakaambiwa alifia kazini. Hospitali nao wakasema hawajui ugonjwa uliomuuwa.
Hapo sasa labda ripoti ya “postmortem” itawapatia picha kamili kujuwa chanzo cha kifo cha Engineer Mfugale.
Huyo mtu yuko wapi? Mimi nimemtaja mama ako hapo? Kijjambio kinakuwasha sio...?Waanze na mamako kwanza. Usilete utani kwenye uhai wa mtu mbwa wewe
Pangekuwa na uchunguzi, naona wewe ungefaa kusaidia Polisi.Kuna mambo ambayo yakishatokea subra,busara na imani tuu ndio bora kuliko malumbano
Mungu awape wafiwa imani ya kwamba yeye ana uwezo wa kuzuia na kuruhusu kila kifo
Na amani ya kukubali kifo ni njia ila kila mtu ataipita kwa style yake
Alale salama engineer
Acha jazba kifo kimeumbiwa mwanadamu, hakuna atayekwepa iwe kwa kuuliwa au kwa kufa tu mwenyewe. Tumuombe sana MunguWaanze na mamako kwanza. Usilete utani kwenye uhai wa mtu mbwa wewe
Acha jazba kifo kimeumbiwa mwanadamu, hakuna atayekwepa iwe kwa kuuliwa au kwa kufa tu mwenyewe. Tumuombe sana Mungu