Erasto Mpemba: Mwanasayansi aliyefariki bila kuthaminika nyumbani Tanzania

Erasto Mpemba: Mwanasayansi aliyefariki bila kuthaminika nyumbani Tanzania

Daktari uchwara huyo. Mpemba alitakiwa kutuambia kwani maji ya moto yanaganda haraka kwenye friza kuliko ya baridi. Kujua tu maji ya moto yanaganda haraka Mpemba mwenyewe kashudia kwamba hata rafiki yake mpishi huko Tanga anafanya hivo. Mpemba mwenye hakuendelea na sayansi ya ugunduzi zaidi ya kuishgia kuwa afisa wanyama pori. Tatizo Waafrika tunapenda sana kutukuzwa kwa vitu vidogo sana wakati wenzetu wanelekea safari za Mars.
Kasome Reliable Sources Kuhusu Mpemba Effects..
 
Mkuu mbona umemshambulia hivyo huyo wakati alichosema ndicho kilichoandikwa kwenye bandiko au hujalisoma

"Katika likizo zilizofuata Mpemba alikutana na rafiki aliyefanya kazi ya upishi mjini Tanga akitengeneza aiskrimu. Huyu rafiki alimweleza ya kwamba hata yeye na wapishi wengine wa aiskrimu huko Tanga waliweka mchanganyiko wa aiskrimu kwenye friza ilhali ni moto kwa sababu inaganda haraka zaidi. Habari hii ilimkumbusha kuhusa maarifa yake shuleni"

Alichosema kimetoka hapo
Soma Kwenye Sources za kueleweka kuhusu Majarida ya Mpemba Effects Ukienda UDSM utakuta hata kwenye Maktaba Dunia nzima utakuta historia yote..Ngoja nikupe story moja wikipedia ukasome..
 
Tz we waambie wakata mauno,wacheza uchi,wapiga umbea wapiga domo machawa
Hawa ndy mashujaaa wa taifa hili

Ova
 
Back
Top Bottom