Twamo
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 2,884
- 5,016
Erasto alianza kuchezea stars na miaka kati ya 23-25! Kwa hiyo tangu kipindi kile bado tu ana miaka 27? Hongereni kwa kumsajili dogo erasto!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Erasto alianza kuchezea stars na miaka kati ya 23-25! Kwa hiyo tangu kipindi kile bado tu ana miaka 27? Hongereni kwa kumsajili dogo erasto!!!
Hujui soka, Tulia.Simba nao kuna muda wanachekesha. Hivi ni nani aliyewashauri kusajili hao wazee? Ukianza na huyo Nyoni, Okwi na hata John Bocco?
Rage aliwahi kuwaita mashabiki wa Simba kuwa ni Mbumbumbu na wala hakukosea hata kidogo.
Jamaa, anaongea kwa hila. AnaumiaNi juzi tu mlikua mnamsifia nyoni kwamba kasajili pale madimbwini kwamba ni kiraka mara hii ashakua mzee
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajua hilo ila KASUMBA kwa nini kenda SIMBAKwani kamusoko ngoma ni vijana? Je mess na ronado Mbona hamuwaiti wazee na mnawasujudia? Inakueeje nyinyi mashabiki WA Tanzania mnawadharau wachezaji wenu? Umri wa miaka 27 Sio uzee ndio Kipindi cha kucheza mpira Acheni ushabiki wa kijinga jifunzeni kuiga mazuri ya wenzetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba imemsajili beki wa kiraka, Erasto Nyoni kwa mkataba wa miaka miwili.
Nyoni amejiunga na Simba akitokea Azam FC ikiwa ni siku chache baada ya kufanya vizuri katika michuano ya Cosafa.
Kitu kizuri kwa Nyoni ni uwezo wake wa kucheza namba zote nne za ulinzi.
Pia anaweza kucheza nafasi ya kiungo mkabaji kwa ufasaha hali inayomfanya kuwa na nafasi kubwa ya kucheza.
Nyoni alirejea nchini na kujiunga na Azam FC akitokea Vital'O ya Burundi.
Kwa Hisani ya Salehe Jembe
Hans pope kafanya yake!!
Acha kumlinganisha Lionel Messi La Pulga Na vitu vya kipumbavuKwani kamusoko ngoma ni vijana? Je mess na ronado Mbona hamuwaiti wazee na mnawasujudia? Inakueeje nyinyi mashabiki WA Tanzania mnawadharau wachezaji wenu? Umri wa miaka 27 Sio uzee ndio Kipindi cha kucheza mpira Acheni ushabiki wa kijinga jifunzeni kuiga mazuri ya wenzetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Udaku utakuua mtoto wa kiume lol?!Tetesi ni kwamba kakopwa, watakuwa wanamlipa kiduchu kiduchu
Kipa bora mechi moja tuuu......miafrika bana !!![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ngoja nimsaidie kumjibia mtoa mada, huyu golikipa ndio golikipa bora kwenye mashindano ya cosafa yaliomalizika hivi karibuni nchini africa ya kusini ametokea timu ya mtibwa sugar ya turiani mkoani morogoro mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya kumwaga povu lako hapa jifunze kidogo goal keeper bora wa COSAFA anapatikanaje??Kipa bora mechi moja tuuu......miafrika bana !!!
Wa nn wakati timu ina makipa 3 na huyu ni chura wa damu !!!
Kipa au mchezaji bora wa mashindano yoyote hata ndondo cup kuna vigezo vya dunia...stats including mechi alizocheza.Kabla ya kumwaga povu lako hapa jifunze kidogo goal keeper bora wa COSAFA anapatikanaje??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchochezi unajisikiaje kwa sasa, baada ya kuona shughuli ya wazee uliowabezaSimba nao kuna muda wanachekesha. Hivi ni nani aliyewashauri kusajili hao wazee? Ukianza na huyo Nyoni, Okwi na hata John Bocco?
Rage aliwahi kuwaita mashabiki wa Simba kuwa ni Mbumbumbu na wala hakukosea hata kidogo.