zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
hapa hata mimi nimeshangaa sana,Nyoni yuko poa sana sema shida yake hapandishi mashambulizi sanaKumuacha Fundi Ajibu ni kosa kubwa sana! Yule ni mzee wa pasi za mwisho! Sijui huyu kocha anatumia vigezo gani kuita wachezaji!