Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 2,933
- 8,112
Amesimamia mchakato mzima, maana ungelikua ni wewe ungeenda kuleweaSasa unaposema ametujengea daraja unamaanisha nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesimamia mchakato mzima, maana ungelikua ni wewe ungeenda kuleweaSasa unaposema ametujengea daraja unamaanisha nini?
Wewe akili ndogo huwezi elewa hiliSasa kwa akili yako wewe kiazi mbatata, ben sa8 auliwe halafu raisi asingiziwe na serikali ikae kimya? Mbona tunasikia huko walio muua katibu wa ccm wanao hisiwa wanakamatwa? Vip kuhusu walio muua kibao, na wengine wa jamii ya kibao, serikali mbona haijakamata mtu had sasa? Tena wengine ushahidi wa mazingira na mahali pakuanzia uchunguzi papo wazi kabisa lakini wapo kimya, hiyo haitoshi kukupa jibu kuwa wauaji ni wao na hawawezi kujichunguza ndio maana wapo kimya?hili mbona hata chizi hahitaji kuelekezwa maana lina jieleza lenyewe.
Kwa hiyo hayazungimziwi tena maudhui ya kitabu, ila miradi aliyotekeleza! 🤣🤣🤣Kakujengea daraja, kila siku ukitoka kwenu kitunda unapita juu na ki vitz chako.
Hilo nalo hulioni?
Utachekwa ww.Amesimamia mchakato mzima, maana ungelikua ni wewe ungeenda kulewea
CDM janja janjaUtachekwa ww.
Kwani was Magufuli smart? Mbona alimtaja mpaka aliekua anawapa siri za Acacia? Mbona alimtaja hadi diwani athuman kuwa alikua "TISS" miaka yote. Hivi si ndio huyu aliwatishia wapiga kura wa Busega kuwa wakimletea mbunge wa chadema haleti mradi wa maji!!.Magufuli hawezi kuwa sio smart kiasi ulicho andika
Tukana uondoe ujinga kichwaniNew Year sitaki nkutukane.
Leo ni siku ya kusherehekea ila wewe unawatafuta watu la moyoni ili tu utukanwe.
Kujenga daraja hakuhitaji kuwa smart, just moderate brain tu. Sifa kubwa inatakiwa iwnde kwa engineers na designers mpaka techniciansKakujengea daraja, kila siku ukitoka kwenu kitunda unapita juu na ki vitz chako.
Hilo nalo hulioni?
Nalipa kodi kenge weweKakujengea daraja, kila siku ukitoka kwenu kitunda unapita juu na ki vitz chako.
Hilo nalo hulioni?
Kwamba JPM alikua na IQ Kubwa? Mbona alikua anaropoka mpaka undercover agents aliokua anawapachika kupeleleza mashirika. Hivi si ndio huyu JPM aliambia dunia nzima kuwa Acacia ni majizi ila akamteua Makamu wa Rais wa Acacia hapa Tanzania Mhe. Mwanyika kugombea ubunge na akampigia kampeni kabisa.Magufuli hawezi kuwa sio smart kiasi ulicho andika ni low IQ people ndio wataamini hiki ulichoandika
Sisi tunamuamini Kabendera.Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane
Wadau, amani iwe kwenu. Nawapa pole ndugu wa Ben Saanane hususan Baba yake mpendwa, Focus Saanane na mdogo wake Erasto Saanane ambao kwa zaidi ya wiki sasa wanahangaika kumtafuta mpendwa wao Benard Rabiu Saanane au Ben Saanane kama tulivyozoea kumuita ambaye amepotea katika mazingira ya...www.jamiiforums.com
Magufuli hawezi kuwa sio smart kiasi ulicho andika ni low IQ people ndio wataamini hiki ulichoandika
View attachment 3190171View attachment 3190172
Mkuu kwa hilo daraja alilijenga kwa mikono yake mwenyewe na hela hela zake mwenyewe???Kakujengea daraja, kila siku ukitoka kwenu kitunda unapita juu na ki vitz chako.
Hilo nalo hulioni?
Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane
Wadau, amani iwe kwenu. Nawapa pole ndugu wa Ben Saanane hususan Baba yake mpendwa, Focus Saanane na mdogo wake Erasto Saanane ambao kwa zaidi ya wiki sasa wanahangaika kumtafuta mpendwa wao Benard Rabiu Saanane au Ben Saanane kama tulivyozoea kumuita ambaye amepotea katika mazingira ya...www.jamiiforums.com
Magufuli hawezi kuwa sio smart kiasi ulicho andika ni low IQ people ndio wataamini hiki ulichoandika
View attachment 3190171View attachment 3190172
Maamuzi yake mwenyewe, bila maamuzi yake huenda pale buguruni pangeendelea kuwa na foleni.Mkuu kwa hilo daraja alilijenga kwa mikono yake mwenyewe na hela hela zake mwenyewe???
Magufuli hawezi kuwa sio smart kiasi ulicho andika ni low IQ people ndio wataamini hiki ulichoandika
View attachment 3190171View attachment 3190172
HakikaSawa, Jeshi letu la polisi liko likizo. Siku likitudi litafanya uchunguzi tujue ukweli wote.