#COVID19 Eric Kabendera: Magufuli alifariki kwa COVID-19 mwaka 2021

#COVID19 Eric Kabendera: Magufuli alifariki kwa COVID-19 mwaka 2021

Wakitaka kumjua aliempa COVID ni dogo mmoja katika walinzi wake, alipokuwa sokoni Morogoro waangalie kwa makini video.

Kuna dogo alikuwa anaisambaza

Shida pia ni utaahira wake alikataa chanjo, ni kujitakia (uwezi shindana na bwana godi).

Worst unataka kuwapangia na wengine wasipate chanjo ushajiona mungu mtu (hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility,

Mambo mengine hayataki emotional, ningeamuru same thing hata ningekuwa mimi japo nilimkubali sana jamaa (uwezi zuia chanjo kwa wengine kisa imani zako) that’s just stupid and unacceptable.
Huwa unaongea pumba nyingi sana, Magufuli ni nani mpaka ahitajake dogo wa kumpa au kumsambazia ikiwa Biden rais mwenye ulinzi namba moja duniani alipata COVID?!
 
Hivi covid iliendaga wapi? Na chanjo zipo? Mie nilikuwa nimemsubiri kwa hamu waziri wa afya anilazimishe kuchoma sindano!! Ningempa za uso nakwambia!! Covid was man made to eradicate poor people like Africans .God is great!! It backfired!!
Polio ilenda wapi?
Ndui ilienda wapi?
Kipindupindu kimeenda wapi?
 
Wakati kabendera amefungwa,inasemekana wafungwa wenzake walimfanya vibaya at its buttocks Hadi akachanganyikiwa.Kitabu chake amekiandika akiwa kwenye kuchanganyikiwa ndiyo maana 90% ya aliyoyaandika ni uongo
 
Wakitaka kumjua aliempa COVID ni dogo mmoja katika walinzi wake, alipokuwa sokoni Morogoro waangalie kwa makini video.

Kuna dogo alikuwa anaisambaza

Shida pia ni utaahira wake alikataa chanjo, ni kujitakia (uwezi shindana na bwana godi).

Worst unataka kuwapangia na wengine wasipate chanjo ushajiona mungu mtu (hakukuwa na namna he had to be eliminated, sad). Ndio uhalisia mambo mengine sio ya kuvumilia sad but justified on the token of greater utility,

Mambo mengine hayataki emotional, ningeamuru same thing hata ningekuwa mimi japo nilimkubali sana jamaa (uwezi zuia chanjo kwa wengine kisa imani zako) that’s just stupid and unacceptable.
Covid ilikua ni scam, wazungu wenyewe wanajua.

BBC ilitumika kama chombo cha propaganda kuikuza na kufanya lionekane liugonjwa kuuuuubwa.

Watu wachache walistukia hiyo kitu, one of them alikua Magufuli.

Mbona ilipofika hapa kwetu hatukuona watu laki wakifa kwa siku? Wewe kama wewe una ndugu yako au uliwahi kushuhudia mtu akianguka na kufa kwa covid?

Wengi walikufa kwa wasiwasi kwa zile propaganda za BBC.

Magu alipojaribu kuwachezesha watu wa afya kwa kupeleka sample za papai aliwaumbua sana wazungu, sema ni vile taifa letu lipo matakoni mwa dunia, ila ingekua mchezo huo umefanyika nchi kama marekani
 
The positive aspect is that he passed away while fearlessly defending his beliefs, standing firm in the face of intimidation, and refusing to bow to the imperialists, making him a true hero.
Thank you very much for your comment. Even if he died from COVD-19, i tell you the brave man died at war with the imperialists who keep on creating diseases for their own good.
 
Magufuli bado anaishi kwenye mioyo ya watanzania walio wengi , yaani kama hawaamini wamshindanishe aliyekuwepo na hayati watapata majibu..

Japo binafsi sikuwa na mkubali ila kumchafua Magufuli kutabakia mitandaoni mtaani unaweza kuchapwa viboko hawawezi kukuelewa na itachukua miaka mingi kulifuta jina lake kwenye Mioyo ya Watanzania walio wengi.
Umenena vyema
 
Kimsingi Covid-19 ilitumika kama Camouflage, the rest is History.
Postmortem bsada ya kukaa na mwili kwa siku kadhaa bila umma kuarifiwa inathibitisha kwamba covid ni kichaka tu na kwamba lipo jambo nyuma ya pazia?

Haya madai yako yanawaweka ktk position gani wafuatao?
1736166287235.jpeg

1736166313828.jpeg

3. Mkurugenzi wa usalama wa taifa
4.
1736166406920.jpeg

5 dereva wa magufuli
6. Aliyekuwa makamu wa magufuli
7.
1736166518550.jpeg


Na wengineo?
 
Postmortem bsada ya kukaa na mwili kwa siku kadhaa bila umma kuarifiwa inathibitisha kwamba covid ni kichaka tu na kwamba lipo jambo nyuma ya pazia?

Haya madai yako yanawaweka ktk position gani wafuatao?
View attachment 3194155
View attachment 3194157
3. Mkurugenzi wa usalama wa taifa
4.View attachment 3194159
5 dereva wa magufuli
6. Aliyekuwa makamu wa magufuli
7. View attachment 3194160

Na wengineo?
Nafsi zao zitawahukumu tu mwisho wa siku. Ila i don't believe in such story as Covid-19. Sikuwahi kupiga chanjo na wala sikuwahi hata kushikwa na mafua.
 
Back
Top Bottom