Eric Omondi kaja na parody ya ‘The Gods Must Be Crazy’

Eric Omondi kaja na parody ya ‘The Gods Must Be Crazy’

Huyu jamaa anajitahidi kuwa mbunifu, sio kama MC Pilipili

Kwakwel mimi MC pilipili huwa hanifurahishi naona kama ana utoto mwingiiiiii.anashindwa kabisa kucheza na mazingira na siyo ubunifu kabisa vtu vyake ni vile vile yani avae sketi ya shule aimbe wanangonjera tunaingia
 
nawaonea wivu sana wakenya wamebarikiwa kuwa na wachekeshaji (comedians) na best radio djs
 
Masanja alishachagua kutupiga sadaka
 
Sasa hapo kuna ubunifu gani? Kuiga ndio ubunifu?
Huo ni ubunifu hasa, kwa kuongeza thamani.Kaongeza msichana mzuri kugunduliwa kwenye handaki na kugombaniwa,...... hata title kaiongezea thamani from Gods Must Be Crazy to Gods Aren't Crazy, We Are.
Huoni kaubunifu hapo kaka?
 
Huu ni upuuuzi hamna comedy hapo kama ni hivyo kila mtu anaweza kuwa comedian. Nachoona hapa ni Ile Ile kasumba ya wabongo kushabikia kila kitu cha Kenya au nje
 
Huu ni upuuuzi hamna comedy hapo.
 
Kweli wanaume tunakula kwa jasho hadi kufikia hatua hii matako yote wazi[emoji116]
ef3410d6cdcbf188d3bc2dbba1d897d4.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hatari tupu Ndugu yangu
 
Huo ni ubunifu hasa, kwa kuongeza thamani.Kaongeza msichana mzuri kugunduliwa kwenye handaki na kugombaniwa,...... hata title kaiongezea thamani from Gods Must Be Crazy to Gods Aren't Crazy, We Are.
Huoni kaubunifu hapo kaka?
Ni sawa msanii ajitokeze kuimba wimbo 'Acha porojo ruka muziki' halafu umsifie eti mbunifu
 
Back
Top Bottom