mimi mkali
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 1,794
- 1,570
[emoji23][emoji23]Lulu kapigiwa denda dar aibu tupate tarime[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Wee Jamaa mshamba sn,denda gn ile wewe?
Nenda igunga huko
sasa kama mtoto anataka denda na ninyi wa TZ mnamchekea si mtuache sie tumkule denda tena mbele yenu? kitendo si maadili ya nchi yenu wakati mnakula denda mpaka tigoni?Huyu jamaa kampiga denda Elizabeth Michel a.k.a Lulu Jukwaani. Na amekua akiendelea kumtaja na kumsifia kila dakika.
Sijaona kama ni kitendo cha busara na hekima kabisa."Kitendo husika si sehemu ya maadili ya nchi yetu"
Mbaya zaidi leo umezingua hakuna ulichokifanya! Kila saa Diamond.
Ana wivu, anampenda lkn hajui atsmpata vipi,, mapenzi nyie acheni jmnUlitaka lulu umpige ww denda ? Usifuatilie maisha binafsi ya watu itakusababishia presha na vitu vingine
ahaj aha ha aaa du hatariWee Jamaa mshamba sn,denda gn ile wewe?
Nenda igunga huko
Tena issue ndogo sana hiiHahaha na wakati ni ishu ya kawaida
Mmhh yule jamaa anaemiliki TV E na radio wameachana?Lulu yupo single so lazima ajipitishe pitishe kwa eric apatepo ka ada ka mdogo wake
Mmhh yule jamaa anaemiliki TV E na radio wameachana?
Mmhh, ngoja nitafute pesa ntawatafuna wote hao wanaojiita mastar.Nasikia bidada katoswa zamaani
Mmhh, ngoja nitafute pesa ntawatafuna wote hao wanaojiita mastar.
Lakini nilisikia hadi nguo ya harusi ilikuwa ready?