Eric Omondi umefanya tukio la aibu kwa watanzania

Mtoa thread una wivu kwasabu uko bongo hujawahi hata mshika lulu mkono, mwenzio katoka nrb na kammkiss mtoto mzuri Lulu.
Kwanza ile sio denda it was a peck na Lulu was watu hakutegemea coz she thought she was pecking him shavuni Eric akageuga ghafla... and it was meant to make the audience laugh sasa sijui nini kimekufadhaisha.
Mwenzio kaishavuta mkwanja wake we uko huku unalalama
 
Kwani ulisikia pale walikuwa kanisani au msikitini? si ulikuwa kwenye burudani? na kilele cha burudani ni nini?
 
Yu wish yu kud be Erick Omondi.
 
Aliye perform vizuri siku ile ni mc pilipili, mpamire na yule jamaa aliyepiga ngoma ya darasa.
 
Kwani wewe ni majizoo? Mbona imekutachi sana braza
 
Hovi Lulu si ana miaka 22 mpaka sasa? Namshauri azae mapema sana maana kwa mwili ule kwa kuendekeza bata atakuja kujikuta mayai yote kayakaangia chips.
 
so lulu akitiwa na Omond Tz inakua imetendwa upuuzi huo ...
Acha matusi kwa Tz ....
 
Kaiwakilisha kenya vyema.
 
Yani ingekua ndo wewe umepata kiss la lulu ungepata stroke pqlepale jukwaani... ila mtoto mashallah kwa kweli
 
hahahhaaha uwezi jua labda walikuwa wana wanarecord bongo movie au lulu kapenda govi siunajua sisi wajaluo huwa hatulitoi lile la kufyodoka.
 
Stivu, tulia dawa ikuingie mzee baba... Hahahahaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…