Eric Prince asema ni wakati Afrika itawaliwe tena. Haya ni matusi, lakini inafikirisha

Eric Prince asema ni wakati Afrika itawaliwe tena. Haya ni matusi, lakini inafikirisha

dalalitz

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2013
Posts
3,423
Reaction score
1,987
Hili lijamaa ni libobevu kwenye Mapigano Majini ( US-NAVY SEAL) 'listahafu' na pia lenye Mapesa yake mengi tu.

Sijajua iwapo limetumwa au ni vipi lakini, limenukuliwa likitamka Uozo huo unaoweza kumchefua Muafrika yeyote.

Kauli hii inasikitisha.
Kuona kuwa inafaa mwingine kutawaliwa, tena Zama hizi?

Anasema Waafrika wanashindwa na hawawezi kujisimamia wenyewe na kuwa Viongozi wa Kiafrika ni Waporaji Mali wanaojinufaisha wenyewe na wafanya matanuzi wakubwa Ughaibuni kwa Mali za Waafrika Masikini wa kawaida.

Phew!
Ndio, ni kweli na wazi kuwa yapo makandokando yanayochefua lakini haiwezi kuwa kwa Viongozi wote na kwa Afrika yote na kwamba basi suluhisho liko kwa wao 'Weupe'.

Kufikia hatua ya kuona kuwa ni sahihi na suluhisho pekee kwa mwingine atawaliwe hii amelitiliza.
Ni kejeli, ni dharau ni kutweza Waafrika wote.

Kwa maneno yake, anadhani ni wakati Wanagharibi wafikirie kuitawala AFRIKA tena YOTE.

Kinachosikitisha zaidi,
Anadhani wao ndio suluhisho.

Hata hivyo, Waafrika tujitafakari sana.
Yanatokea haya kwakuwa tunawapa sababu na mianya ya wao kuona wanaweza kufika huku.

Siku si nyingi hatahivyo unaweza ukasikia lijamaa lipo Afrika limekuja kupumzika na Familia yake.

Nadhani hawa ndio watu wa kuwafungia wasiingie Afrika kabisa.

Nawasilisha.
 
Hili lijamaa ni 'Listahafu' lenye Taaluma ya Mapigano Majini (US- NAVY SEAL) na pia lenye Mapesa yake mengi tu.

Sijajua iwapo limetumwa au ni vipi, lakini limenukuliwa likitamka Uozo huo unaweza kumchefua Muafrika yeyote lakini unaofikirisha pia.

Ni kauli inayopaswa kumsikitisha Binadamu yeyote anaejitambua pasi na kujali ni Muafrika ama la ingawa inafikir

Yeye anasema Waafrika wanashindwa na hawawezi kujisimamia hivyo (kwa maoni yake) anadhani ni wakati Wanagharibi wafikirie kuitawala tena.
Nadhani tungetawaliwa na wazungu(wazungu tu) tungekuwq mbali kuliko hawa ndugu zetu weusi na akili zao bado zina unyani anaeapedomia ya mtikila
 
Hili lijamaa ni 'Listahafu' lenye Taaluma ya Mapigano Majini (US- NAVY SEAL) na pia lenye Mapesa yake mengi tu.

Sijajua iwapo limetumwa au ni vipi, lakini limenukuliwa likitamka Uozo huo unaoweza kumchefua Muafrika yeyote.

Ni kauli inayopaswa kumsikitisha Binadamu yeyote anaejitambua pasi na kujali ni Muafrika ama laa.

Yeye anasema Waafrika wanashindwa na hawawezi kujisimamia hivyo (kwa maoni yake) anadhani ni wakati Wanagharibi wafikirie kuitawala tena.

Haya ni Matusi kwa maoni yangu mimi.

Na siku mbili utasikia lipo Afrika limekuja kupumzika na Familia yake.

Hawa ndii watu wa kuwafungia wasiingie Afrika kabisa.

Nawasilisha.
zama hizo hazitowahi kutokea tena Africa na kwingineko🐒

ispokua kwa walegevu na wavivu wachache sana, ambao wako radhi kwasababu za uvivu na ulegevu wao 🐒
 
This time China itataka makoloni pia, Kama ilivoteswa na viinchi vidogo hadi Spain na ubeligiji.

Je wazungu wote wanauwezo wa kumiliki makoloni tena?
 
Hili lijamaa ni libobevu kwenye Mapigano Majini ( US-NAVY SEAL) 'listahafu' na pia lenye Mapesa yake mengi tu.

Sijajua iwapo limetumwa au ni vipi lakini, limenukuliwa likitamka Uozo huo unaoweza kumchefua Muafrika yeyote.

Kauli hii inapaswa kumsikitisha yeyote anaejitambua na kukemewa.
Kuona kuwa inafaa mwingine kutawaliwa, tena Zama hizi?

Yeye anasema Waafrika wanashindwa na hawawezi kujisimamia na kuwa Viongozi ni Waporaji Mali wanajinufaisha wenyewe.

Phew!

Ndio. ni kweli na wazi kuwa yapo yanayochefua lakini kufikia hatua ya kuona kuwa ni sahihi na suluhisho pekee kwa mwingine atawaliwe hii amelitiliza.

Kwa maneno yake, anadhani ni wakati Wanagharibi wafikirie kuitawala AFRIKA tena YOTE.

DUH!

Haya ni Matusi na dharau kwa Waafrika wote kwa maoni yangu mimi.

Na siku mbili utasikia lipo Afrika limekuja kupumzika na Familia yake.

Hawa ndio watu wa kuwafungia wasiingie Afrika kabisa.

Nawasilisha.
Amesema ukweli mtupu. Angalia ccm wanachofanya. Wanaiba na kwenda kununua majumba ya kifahari Dubai
 
zama hizo hazitowahi kutokea tena Africa na kwingineko🐒

ispokua kwa walegevu na wavivu wachache sana, ambao wako radhi kwasababu za uvivu na ulegevu wao 🐒
Mpaka leo mnatawaliwa hamjiwezi mnakopa sana kwa riba maradufu huku mkitoa migodi yenu na mbuga kama sehemu ya amana ya kulipia mikopo huku mkiletewa michele ya GMO na tende
 
Mpaka leo mnatawaliwa hamjiwezi mnakopa sana kwa riba maradufu huku mkitoa migodi yenu na mbuga kama sehemu ya amana ya kulipia mikopo huku mkiletewa michele ya GMO na tende
Hakika. Kwani saizi rasilimli za Tanzania zinamnufaisha nani. Ni hao hao. Vinginevyo we jiulize, Tanzania ni nchi ya Tatu Afrika kwa uchimbaji wa dhahabu, lakini tozo kila kona. We huoni kwamba madini hayo yapo Tanzania lakini wanufaika ni hao wanaoendeleza utawala? Kwa sasa China naye amekuja kupata portion ya keki. Kwahiyo jamaa yuko sahihi, ukweli utawala unaendelea
 
Mpaka leo mnatawaliwa hamjiwezi mnakopa sana kwa riba maradufu huku mkitoa migodi yenu na mbuga kama sehemu ya amana ya kulipia mikopo huku mkiletewa michele ya GMO na tende
tuna kopa na tunalipa bila mbambamba na bado tunakopesheka 🐒

mabwenyenye wana madeni yasiyolipika huko kwao halafu waje kutawala nani.
Labda kumtawala mvivu na legelege sijui wa wap ili wakalipe madeni yao 🐒

kwanza huo ubavu mpaka tunavyochat hapa hawana, they are completely weaker economically, politically and socially. We are very powerful and they fearz us huko mbeleni tutawatawala wao sasa 🐒
 
tuna kopa na tunalipa bila mbambamba na bado tunakopesheka 🐒

mabwenyenye wana madeni yasiyolipika huko kwao halafu waje kutawala nani.
Labda kumtawala mvivu na legelege sijui wa wap ili wakalipe madeni yao 🐒

kwanza huo ubavu mpaka tunavyochat hapa hawana, they are completely weaker economically, politically and socially. We are very powerful and they fearz us huko mbeleni tutawatawala wao sasa 🐒
Mnalipa wapi deni limekuwa kubwa mpaka mnaingia mikataba ya kimangungo kuuza bandari na mbuga hovyo hovyo ili mradi mpate unafuu wa madeni 🚮🚮
 
This time China itataka makoloni pia, Kama ilivoteswa na viinchi vidogo hadi Spain na ubeligiji.

Je wazungu wote wanauwezo wa kumiliki makoloni tena?
Hawana huo uwezo mkuu.

Hawazaliani.

Hawana wanasayansi wazuri tena.

Wamekwisha.

Historia tu inawabeba na uoga wetu kuwa na misimamo.

Ila wazungu hawana ishu tena aisee.

They are done.
 
Daah...hali siyo kwa kweli.Huruma kwa wanetu
 
Mnalipa wapi deni limekuwa kubwa mpaka mnaingia mikataba ya kimangungo kuuza bandari na mbuga hovyo hovyo ili mradi mpate unafuu wa madeni 🚮🚮
hayo ni maoni na mtazamo wako potofu japo ni uhuru na haki yako ya kutoa maoni lakini sio sahihi...

tunakopesheka popote duniani, kwenye taasisi na mashirika yote ya fedha.
zaid sana tunaamininika na kuheshimika mno kwa nchi marafiki duniani, na kwahivyo tukihitaji kukopa vilevule ni chap mara moja bila mbambamba wala masharti magumu...

tunawekeza rasilimali zetu kwa uchache sana kwa wawekezaji, kwa malengo ya kukuza uchumi, kuongeza ajira na hali za maisha ya waTanzania, hiyo hatuwezi kuacha kuwekeza kwasababu wewe hupendi...

si lazima upendwe na wote, muhimu mambo yaende na yaonekane kwenye maisha ya waTanzania wote....
 
hayo ni maoni na mtazamo wako potofu japo ni uhuru na haki yako ya kutoa maoni lakini sio sahihi...

tunakopesheka popote duniani, kwenye taasisi na mashirika yote ya fedha.
zaid sana tunaamininika na kuheshimika mno kwa nchi marafiki duniani, na kwahivyo tukihitaji kukopa vilevule ni chap mara moja bila mbambamba wala masharti magumu...

tunawekeza rasilimali zetu kwa uchache sana kwa wawekezaji, kwa malengo ya kukuza uchumi, kuongeza ajira na hali za maisha ya waTanzania, hiyo hatuwezi kuacha kuwekeza kwasababu wewe hupendi...

si lazima upendwe na wote, muhimu mambo yaende na yaonekane kwenye maisha ya waTanzania wote....
Mtafute kilaza mwenzako umuambie haya shillingi yetu inazidi kushuka thamani kutokana na kukopa hovyo gazeti refu lakini hakuna cha maana ulichoandika bata maji ww
 
Mtafute kilaza mwenzako umuambie haya shillingi yetu inazidi kushuka thamani kutokana na kukopa hovyo gazeti refu lakini hakuna cha maana ulichoandika bata maji ww
mihemko haitasaidia chochote mbele ya ukweli halisi wa mambo 😀

kushuka na kupanda kwa thamani ya shulingi ndio kipimo cha stability ya uchumi wowote ule ...

Tz tuko imara zaidi, na uchumi wetu unanawiri na unapanda vizuri taratubu, ukilinganisha na nchi nyingine Africa mashariki, Africa na duniani....
 
Hili lijamaa ni libobevu kwenye Mapigano Majini ( US-NAVY SEAL) 'listahafu' na pia lenye Mapesa yake mengi tu.

Sijajua iwapo limetumwa au ni vipi lakini, limenukuliwa likitamka Uozo huo unaoweza kumchefua Muafrika yeyote.

Kauli hii inasikitisha.
Kuona kuwa inafaa mwingine kutawaliwa, tena Zama hizi?

Anasema Waafrika wanashindwa na hawawezi kujisimamia wenyewe na kuwa Viongozi wa Kiafrika ni Waporaji Mali wanaojinufaisha wenyewe na wafanya matanuzi wakubwa Ughaibuni kwa Mali za Waafrika Masikini wa kawaida.

Phew!

Ndio, ni kweli na wazi kuwa yapo makandokando yanayochefua lakini haiwezi kuwa kwa Viongozi wote na kwa Afrika yote na kwamba basi suluhisho liko kwa wao 'Weupe'.

Kufikia hatua ya kuona kuwa ni sahihi na suluhisho pekee kwa mwingine atawaliwe hii amelitiliza.
Ni kejeli, ni dharau ni kutweza Waafrika wote.

Kwa maneno yake, anadhani ni wakati Wanagharibi wafikirie kuitawala AFRIKA tena YOTE.

Kinachosikitisha zaidi,
Anadhani wao ndio suluhisho.

Hata hivyo, Waafrika tujitafakari sana.
Yanatokea haya kwakuwa tunawapa sababu na mianya ya wao kuona wanaweza kufika huku.

Siku si nyingi hatahivyo unaweza ukasikia lijamaa lipo Afrika limekuja kupumzika na Familia yake.

Nadhani hawa ndio watu wa kuwafungia wasiingie Afrika kabisa.

Nawasilisha.
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as white people. They are still under the process of becoming the complete human beings."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
mihemko haitasaidia chochote mbele ya ukweli halisi wa mambo 😀

kushuka na kupanda kwa thamani ya shulingi ndio kipimo cha stability ya uchumi wowote ule ...

Tz tuko imara zaidi, na uchumi wetu unanawiri na unapanda vizuri taratubu, ukilinganisha na nchi nyingine Africa mashariki, Africa na duniani....
"Let us agreed that Blacks cannot rule themselves, Whites are born to rule and Blacks are born to be ruled."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
mihemko haitasaidia chochote mbele ya ukweli halisi wa mambo 😀

kushuka na kupanda kwa thamani ya shulingi ndio kipimo cha stability ya uchumi wowote ule ...

Tz tuko imara zaidi, na uchumi wetu unanawiri na unapanda vizuri taratubu, ukilinganisha na nchi nyingine Africa mashariki, Africa na duniani....
Uko timamu wewe utawala wa jiwe dola tulinunua kwa 2300 na pia ilikuwa imejaa mtaani pomoni huyu kizimkazi na mikopo yake dola imepaa hovyo na mtaani haipo jitafakari
 
"Let us agreed that Blacks cannot rule themselves, Whites are born to rule and Blacks are born to be ruled."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
that one can never ever happen again on the face of this earth 😎
 
Uko timamu wewe utawala wa jiwe dola tulinunua kwa 2300 na pia ilikuwa imejaa mtaani pomoni huyu kizimkazi na mikopo yake dola imepaa hovyo na mtaani haipo jitafakari
hapo ndipo sasa twaweza kupima, kutathmini, na kujua, uhai, umadhubuti na uimara wa uchumi wako.

kupanda, kushuka au kushamiri ndio msingi muhimu sana wa kujipanga kusimamia uchumi wako...
 
Back
Top Bottom