Eric Shigongo afunguka kuhusu scandal ya ushoga

Eric Shigongo afunguka kuhusu scandal ya ushoga

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Bwana Eric James shigongo ambaye ni mmliki wa kampuni ya Global publisher, kampuni inayojishughulisha na uchapishaji wa magazeti, amefunguka rasmi kuhusu Tetesi zilizoenea kuhusu yeye kushiriki mapenzi ya jinsia ya moja(ushoga).

Akisimulia kwa masikitiko mjasiriamali huyo anadai mbinu hiyo chafu iliundwa na kundi maarufu miaka hiyo lililojulikana kama AL-QAEDA NETWORK lilioundwa na akina sintah, marehemu amina chifupa, maimartha wa Jesse na sista v. Kundi hili liliundwa rasmi kwa ajili ya kupambana na wezi wa wanaume wa watu pamoja na shigongo ambaye anadaiwa kuwachafua wanawake akiwemo marehemu amina chifupa miaka hiyo.


Kwa mujibu wa shigongo kundi hilo lilikuwa na uhusiano mzuri na clouds FM ambapo kipindi hicho walikuwa hawaelewani, shigongo anasema hakuwa na mahusiano mazuri na ruge mutahaba, sababu ilikuwa ni magazeti ya shigongo kumchafua marehem amina jambo ambalo lilimchefua ruge. Ambapo kwa kushirikiana na kundi la alqaeda liliunda mbinu chafu kwa ajili ya kumchafua shigongo.

Shigongo anasema kundi hilo la al-qaeda lilimkodisha shoga maarufu wa kinondoni wakawa wanamlipa ili kila akialikwa kwenye kitchen party awe anasema yeye ni mke wa shigongo.

Skendo hiyo ambayo ilimtesa sana Eric na kumfanya awe anajifungia chumbani na kulia kila wakati kama mtoto mdogo, ambayo anadai ililenga kumdhalilisha mbele ya jamii.

Eric amekuwa akichukiwa sana na kuwa na maadui wengi kama mastaa pamoja na baadhi ya wanajamii wanaodai kuwa magazeti yake yamelenga kuwachafua katika Jamii.

STORY PREPARED AND NARRATED BY ERIC JAMES SHIGONGO.

COPIED AND EDITED BY warumi
 
Last edited by a moderator:
sawa sawa ! warumi !

Bado maisha mtelezo ! :msela:

:msela:
 
Last edited by a moderator:
Analia nini na yeye mwanaume?? Kumbe mkuki kwa nguruwe.....!! Yeye anapoandika wenzie kuwa ni mashoga anaona rahaaa!!
 
Aaagh kumbe anatafuna,nilijua anatafunwa...huyu jamaa magazeti yake ni janga sana,safi kuandikwa uchafu wake.
 
Analia nini na yeye mwanaume?? Kumbe mkuki kwa nguruwe.....!! Yeye anapoandika wenzie kuwa ni mashoga anaona rahaaa!!
Mtenda akitendewa,magzt yake yamechafua watu na yanaendelea kuchafua watu,yamefukuzisha watu kazi,yameuwa watu,wameachanisha watu na stil yanaendelea ERIC SHIGONGO MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI hata unaowandikaga huwa walia na kujifungia kama ulivyofanya ww.
 
Picha ndio linaanza, leo nashinda humuhumu mpaka nione mwisho wake. Mnyoa o kapigwa ngumi ya chembe povu linamtoka. Ukila sharti uliwe
 
Pole sana Shigongo. Hawa wanao lalamika wanaandikwa au kuchafuliwa wanapenda kuchafuliwa na kuandikwa na ni ukweli ndio maana hakuna hata mmoja wao ambaye ameshawai kufile case na kushinda.

POLE SANA.

Ndio maana Wema Sepetu pamoja na kukutukana wewe na Global publishers na kuleta vurugu bado alikubali kushiriki katika shindano lililo andaliwa na kampuni yako na akawa mshindi. Hapa ndio utajua hawa wanao sema wana chafuliwa na wewe ni wagonjwa na wanafiki.
 
Hata kama ni kweli atakubali???
wanakubali wachache vichwa maji kama kina phd
 
do unto others as you want them do unto you...
 
Back
Top Bottom