warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Bwana Eric James shigongo ambaye ni mmliki wa kampuni ya Global publisher, kampuni inayojishughulisha na uchapishaji wa magazeti, amefunguka rasmi kuhusu Tetesi zilizoenea kuhusu yeye kushiriki mapenzi ya jinsia ya moja(ushoga).
Akisimulia kwa masikitiko mjasiriamali huyo anadai mbinu hiyo chafu iliundwa na kundi maarufu miaka hiyo lililojulikana kama AL-QAEDA NETWORK lilioundwa na akina sintah, marehemu amina chifupa, maimartha wa Jesse na sista v. Kundi hili liliundwa rasmi kwa ajili ya kupambana na wezi wa wanaume wa watu pamoja na shigongo ambaye anadaiwa kuwachafua wanawake akiwemo marehemu amina chifupa miaka hiyo.
Kwa mujibu wa shigongo kundi hilo lilikuwa na uhusiano mzuri na clouds FM ambapo kipindi hicho walikuwa hawaelewani, shigongo anasema hakuwa na mahusiano mazuri na ruge mutahaba, sababu ilikuwa ni magazeti ya shigongo kumchafua marehem amina jambo ambalo lilimchefua ruge. Ambapo kwa kushirikiana na kundi la alqaeda liliunda mbinu chafu kwa ajili ya kumchafua shigongo.
Shigongo anasema kundi hilo la al-qaeda lilimkodisha shoga maarufu wa kinondoni wakawa wanamlipa ili kila akialikwa kwenye kitchen party awe anasema yeye ni mke wa shigongo.
Skendo hiyo ambayo ilimtesa sana Eric na kumfanya awe anajifungia chumbani na kulia kila wakati kama mtoto mdogo, ambayo anadai ililenga kumdhalilisha mbele ya jamii.
Eric amekuwa akichukiwa sana na kuwa na maadui wengi kama mastaa pamoja na baadhi ya wanajamii wanaodai kuwa magazeti yake yamelenga kuwachafua katika Jamii.
STORY PREPARED AND NARRATED BY ERIC JAMES SHIGONGO.
COPIED AND EDITED BY warumi
Akisimulia kwa masikitiko mjasiriamali huyo anadai mbinu hiyo chafu iliundwa na kundi maarufu miaka hiyo lililojulikana kama AL-QAEDA NETWORK lilioundwa na akina sintah, marehemu amina chifupa, maimartha wa Jesse na sista v. Kundi hili liliundwa rasmi kwa ajili ya kupambana na wezi wa wanaume wa watu pamoja na shigongo ambaye anadaiwa kuwachafua wanawake akiwemo marehemu amina chifupa miaka hiyo.
Kwa mujibu wa shigongo kundi hilo lilikuwa na uhusiano mzuri na clouds FM ambapo kipindi hicho walikuwa hawaelewani, shigongo anasema hakuwa na mahusiano mazuri na ruge mutahaba, sababu ilikuwa ni magazeti ya shigongo kumchafua marehem amina jambo ambalo lilimchefua ruge. Ambapo kwa kushirikiana na kundi la alqaeda liliunda mbinu chafu kwa ajili ya kumchafua shigongo.
Shigongo anasema kundi hilo la al-qaeda lilimkodisha shoga maarufu wa kinondoni wakawa wanamlipa ili kila akialikwa kwenye kitchen party awe anasema yeye ni mke wa shigongo.
Skendo hiyo ambayo ilimtesa sana Eric na kumfanya awe anajifungia chumbani na kulia kila wakati kama mtoto mdogo, ambayo anadai ililenga kumdhalilisha mbele ya jamii.
Eric amekuwa akichukiwa sana na kuwa na maadui wengi kama mastaa pamoja na baadhi ya wanajamii wanaodai kuwa magazeti yake yamelenga kuwachafua katika Jamii.
STORY PREPARED AND NARRATED BY ERIC JAMES SHIGONGO.
COPIED AND EDITED BY warumi
Last edited by a moderator: