Eric Shigongo awataka Watanzania wabadili changamoto kuwa fursa

Eric Shigongo awataka Watanzania wabadili changamoto kuwa fursa

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Vijana wa kitanzania tupate neno kutoka kwa Eric Shigongo

"Ushauri wangu kwa Watanzania wenzangu, tuache kulalamika, tumekuwa walalamishi sana, muda mwingi tunatumia kuilamu serikali, nawashauri hasa vijana wenzangu, kila tukiamka asubuhi hebu twendeni tukajishughulishe, tubadilishe changamoto kuwa fursa badala ya kulalamika" -ericshigongo
 
Vijana wa kitanzania tupate neno kutoka kwa Eric Shigongo

"Ushauri wangu kwa Watanzania wenzangu, tuache kulalamika, tumekuwa walalamishi sana, muda mwingi tunatumia kuilamu serikali, nawashauri hasa vijana wenzangu, kila tukiamka asubuhi hebu twendeni tukajishughulishe, tubadilishe changamoto kuwa fursa badala ya kulalamika" -ericshigongo
wakajishulishe wapi mbona hajasema
 
Vijana wa kitanzania tupate neno kutoka kwa Eric Shigongo

"Ushauri wangu kwa Watanzania wenzangu, tuache kulalamika, tumekuwa walalamishi sana, muda mwingi tunatumia kuilamu serikali, nawashauri hasa vijana wenzangu, kila tukiamka asubuhi hebu twendeni tukajishughulishe, tubadilishe changamoto kuwa fursa badala ya kulalamika" -ericshigongo
Hivi miaka 53 bado anajiita kijana?
 
Back
Top Bottom