Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wasalaam wana jamvi..
Kila mtanzania anajua fika kabisa kuwa hakuna mawasiliano mazuri kati ya Baba Diamond na wanae wakina Diamond na Queen Doreen na hakuna anayejua kilichotokea hadi wakafikia kutokuwa karibu au kuwa na maelewano kati yao.
Bahati mbaya tumezungukwa na jamii ambayo inapenda kutoa hukumu na kuchochea mambo kama si kuchonganisha,,,,Matatizo kati ya Baba Diamond na wanae yalikuwa yamemalizwa lakini bahati mbaya zaidi Baba Diamond amekuwa akitumiwa na vyombo vya habari vya shingongo bila kujijua kwa mgongo wa kumsaidia...
Huyu baba ana hitaji sana msaada wa Diamond lakini lazima tukubali kabisa kuwa ifike wakati Shigongo na Global publisher wamuache huyu Baba amalize matatizo yake na wanae bila wao kuingia kati kwa lengo la kuwadhalilisha watoto wa huyu Baba.....
Lengo la Shigongo si kumsaidia huyu Baba bali nikapata pesa kupitia huyu Baba...ni ukweli uliowazi kabisa huyu baba anaweza akatumia njia nzuri tuu kupatana na mwanae na si kukubali kutumiwa na shigongo kupata pesa ili kumshawishi mwane amsaidie,,,,,
Shigongo kama angekuwea na nia ya kumsaidia huyu Baba angelikuwa amelifanya hivyo zamani sana....ni miaka mitatu sasa Shigongo na Global publishers wamekuwa wakichochea huu mtafaruku kwa kumrekodi huyu mzee maneno mabaya dhidi ya wanae na kuyaweka kwenye miatandao....
Nafikiri Shigongo kama kweli ana nia njema na huyu baba basi angempeleka kwanza huyo baba hospitali akapate matibabu kuliko kumzungushia makamera hili kupata pesa....
Shigongo anatakiwa ajue hii dhambi ya kuchonganisha watu haiwezi kumuacha salama maana ana chochea chuki mabya sana ....
Nina hakika hawa watu wangelikuwa katika maelewano mazuri sana baini yao kama sio hii mitando na magazeti ....kwani kwa kiasi kikubwa yamechangia kuongezeka chuki baini yao.
Nichukue fursa hii kumuomba Ndugu Shigongo kuachana na Baba Diamond au mshauri atafute njia nyingine ya kuongea na watoto wake,, Ni vyema Shigongo ukawa mpatanishi mwema tena kwa njia nzuri lakini si hiz ambazo zinakuza chuki na kuchochea uhasama....
Shigongo utapata faida gani au furaha gani hawa watu wakishindwa kuzikana au kusaidiana wakiwa hai? au unasubiri kuandika na kuuza nakala "Baba Diamond afariki kwa kukosa hela ya matibabu ya Miguu", "
Huyu mzee kwaajili ya camera zako shigongo ameshatoa laana na amesha wanenea vibaya sana watoto wake na kuwakana pia....kweli una jenga au una bomoa? unategemea nini?
Shigongo tunaomba umpumzishe Mzee Abduli na umuache atatue matatizo yake mwenyewe bila wewe kuingia kati.
Wasalaam
Kila mtanzania anajua fika kabisa kuwa hakuna mawasiliano mazuri kati ya Baba Diamond na wanae wakina Diamond na Queen Doreen na hakuna anayejua kilichotokea hadi wakafikia kutokuwa karibu au kuwa na maelewano kati yao.
Bahati mbaya tumezungukwa na jamii ambayo inapenda kutoa hukumu na kuchochea mambo kama si kuchonganisha,,,,Matatizo kati ya Baba Diamond na wanae yalikuwa yamemalizwa lakini bahati mbaya zaidi Baba Diamond amekuwa akitumiwa na vyombo vya habari vya shingongo bila kujijua kwa mgongo wa kumsaidia...
Huyu baba ana hitaji sana msaada wa Diamond lakini lazima tukubali kabisa kuwa ifike wakati Shigongo na Global publisher wamuache huyu Baba amalize matatizo yake na wanae bila wao kuingia kati kwa lengo la kuwadhalilisha watoto wa huyu Baba.....
Lengo la Shigongo si kumsaidia huyu Baba bali nikapata pesa kupitia huyu Baba...ni ukweli uliowazi kabisa huyu baba anaweza akatumia njia nzuri tuu kupatana na mwanae na si kukubali kutumiwa na shigongo kupata pesa ili kumshawishi mwane amsaidie,,,,,
Shigongo kama angekuwea na nia ya kumsaidia huyu Baba angelikuwa amelifanya hivyo zamani sana....ni miaka mitatu sasa Shigongo na Global publishers wamekuwa wakichochea huu mtafaruku kwa kumrekodi huyu mzee maneno mabaya dhidi ya wanae na kuyaweka kwenye miatandao....
Nafikiri Shigongo kama kweli ana nia njema na huyu baba basi angempeleka kwanza huyo baba hospitali akapate matibabu kuliko kumzungushia makamera hili kupata pesa....
Shigongo anatakiwa ajue hii dhambi ya kuchonganisha watu haiwezi kumuacha salama maana ana chochea chuki mabya sana ....
Nina hakika hawa watu wangelikuwa katika maelewano mazuri sana baini yao kama sio hii mitando na magazeti ....kwani kwa kiasi kikubwa yamechangia kuongezeka chuki baini yao.
Nichukue fursa hii kumuomba Ndugu Shigongo kuachana na Baba Diamond au mshauri atafute njia nyingine ya kuongea na watoto wake,, Ni vyema Shigongo ukawa mpatanishi mwema tena kwa njia nzuri lakini si hiz ambazo zinakuza chuki na kuchochea uhasama....
Shigongo utapata faida gani au furaha gani hawa watu wakishindwa kuzikana au kusaidiana wakiwa hai? au unasubiri kuandika na kuuza nakala "Baba Diamond afariki kwa kukosa hela ya matibabu ya Miguu", "
Huyu mzee kwaajili ya camera zako shigongo ameshatoa laana na amesha wanenea vibaya sana watoto wake na kuwakana pia....kweli una jenga au una bomoa? unategemea nini?
Shigongo tunaomba umpumzishe Mzee Abduli na umuache atatue matatizo yake mwenyewe bila wewe kuingia kati.
Wasalaam