uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Hii timu tumevumilia kwenye nyakati zote ngumu de gea akitubeba timu ikiwa mbovu kupindukia na makocha wabovu kupindukia ila degea amekuwa kwenye ubora wake kwa muda wote huo ametubeba
Nilimuunga hatua ETH kwa kila hatua kwenye maamuzi yake ya kujenga timu ikiwemo kuwaondosha wachezaji waliochoka kina Ronaldo pamoja na wachezaji wabovu kina martial na kina sancho na wengine
Lakini hili la kumuondoa degea litakuja na mikosi kwake
Imeniumiza sana hii degea reserved more respect than this angemuongezea mkataba wa miaka miwili hata asipdaka mechi zote
Hili la kusingia kuwa de gea ni traditional goal keeper sioni kama linauzito kwa sababu degea ni bora kwenye kila kipengele na sidhani km footwork kwake inakuwa shida kudeliver
Ten hag nilikupa odds nyingi kuinyanyua manchester united ila kwa hili utafeli kwa kweli
Watu wengi sana duniani wameumizwa na hiki alichofanyiwa degea
Poor Eric prepare to be fired
Nilimuunga hatua ETH kwa kila hatua kwenye maamuzi yake ya kujenga timu ikiwemo kuwaondosha wachezaji waliochoka kina Ronaldo pamoja na wachezaji wabovu kina martial na kina sancho na wengine
Lakini hili la kumuondoa degea litakuja na mikosi kwake
Imeniumiza sana hii degea reserved more respect than this angemuongezea mkataba wa miaka miwili hata asipdaka mechi zote
Hili la kusingia kuwa de gea ni traditional goal keeper sioni kama linauzito kwa sababu degea ni bora kwenye kila kipengele na sidhani km footwork kwake inakuwa shida kudeliver
Ten hag nilikupa odds nyingi kuinyanyua manchester united ila kwa hili utafeli kwa kweli
Watu wengi sana duniani wameumizwa na hiki alichofanyiwa degea
Poor Eric prepare to be fired