Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Mashuhuda wa tukio hilo wanasema walishuhudia ugomvi ukiwa unaendela ambapo baadaye walimkuta Kijana huyo akiwa tayari ameshachomwa kisu.
Mwenyekiti wa Kijiji hicho Mollel amesema ni kweli Kijana huyo amefariki na wamempeleka katika chumba cha kuhifadhi maiti katika Hospitali ya Rufaaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru.