TANZIA ERICK ADAMU (Nezo B-Msanii wa Bongo Fleva) Auawa kisa kudaiwa pesa ya umeme (LUKU)

TANZIA ERICK ADAMU (Nezo B-Msanii wa Bongo Fleva) Auawa kisa kudaiwa pesa ya umeme (LUKU)

Nahisi kuna jambo lingine zaidi ya hilo! Polisi wafanye uchunguzi wa kina.
Isije kuwa Marehemu alipewa huduma nyingine na huyo mama harafu akashindwa kulipa!
 
Umoufia Kwenu wana JF,

Msanii wa Bongo fleva usiku wa kuamkia leo ameuwawa kwa kupigwa na kitu chenye ncha kali huko sanawari Atown ,chanzo cha ugomvi ni mchango wa Buku ya umeme ambayo ilitakiwa achange kwenye nyumba aliyopanga,baada ya mvurugano ndipo mwanadada akatoka aliporudi akaja na kitu chenye ncha kali na kumchoma na kupelekea umauti.

NEZOB.jpg


Cc: Bushmamy
 
Mwanamke anayefahamika kwa jina la Blandinda Fredi Mkazi wa Kijiji cha Ilkrevi Kata ya Olturoto Wilayani Arumeru Mkoani Arusha anatuhumiwa kumuua Erick Adam ambaye ni Msanii wa Bongofleva na Mfanyakazi wa kiwanda cha mikate chanzo kikidaiwa kuwa ni kudaiana pesa ya LUKU (umeme).

Mashuhuda wa tukio hilo wanasema walishuhudia ugomvi ukiwa unaendela ambapo baadaye walimkuta Kijana huyo akiwa tayari ameshachomwa kisu.

Mwenyekiti wa Kijiji hicho Mollel amesema ni kweli Kijana huyo amefariki na wamempeleka katika chumba cha kuhifadhi maiti katika Hospitali ya Rufaaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru.
Kwanini hakulipa hela ya LUKU?
 
Mwanamke anayefahamika kwa jina la Blandinda Fredi Mkazi wa Kijiji cha Ilkrevi Kata ya Olturoto Wilayani Arumeru Mkoani Arusha anatuhumiwa kumuua Erick Adam ambaye ni Msanii wa Bongofleva na Mfanyakazi wa kiwanda cha mikate chanzo kikidaiwa kuwa ni kudaiana pesa ya LUKU (umeme).

Mashuhuda wa tukio hilo wanasema walishuhudia ugomvi ukiwa unaendela ambapo baadaye walimkuta Kijana huyo akiwa tayari ameshachomwa kisu.

Mwenyekiti wa Kijiji hicho Mollel amesema ni kweli Kijana huyo amefariki na wamempeleka katika chumba cha kuhifadhi maiti katika Hospitali ya Rufaaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru.
Haya mauaji na umwagaji damu bila sababu ya masingi ni laana kwa nchi yetu😭😭
 
Back
Top Bottom