Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si wanaume wala wanawake wote wameranduka.Arusha wana usela mavi sana
Kuna uwezokana jamaa alishamkula alafu akampiga chini na mwanamke alimpenda sana mwamba luku ikawa ndo sehemu ya kumalizia machungu yakeHii ni zaidi ya Luku
Ndio mkoa ambao hata bure sikai, wana usera mavi sanaSi wanaume wala wanawake wote wameranduka.
Washamba tu.... hamna loloteWanawake wa Arusha ni makatili sana lakini wanawake kutoka meru(Wameru) ndo wakatili zaidi...... Unaambiwa
Ukimwona mmeru na nyoka,.... Unatakiwa umuue mmeru mwache nyoka aende.
Hatari kwako. Coz we' ni lofa tu thats whyWanawake wa chuga ni hatar zaidi ya bomu la nyuklia
Washamba tuWee! nilikuwa naye mmoja huyo ni balaa yaani mahusiano na wanawake wa huko ni kama uko mission ya kivita Sudan au congo.
Kila mkoa wapo tom boys bhana acha uogaMkoa wa matom boys hao wamekomaa,sauti za zege
Aaah wapiSi wanaume wala wanawake wote wameranduka.
Huko wamezidi
Mimi hata siwaogopagi hao sijui mademu wa Arusha sijui tom boys, ndiyo nawapenda hao, ili niwaoneshe wao washamba tuHuko wamezidi
Kwanini hakulipa hela ya LUKU?Mwanamke anayefahamika kwa jina la Blandinda Fredi Mkazi wa Kijiji cha Ilkrevi Kata ya Olturoto Wilayani Arumeru Mkoani Arusha anatuhumiwa kumuua Erick Adam ambaye ni Msanii wa Bongofleva na Mfanyakazi wa kiwanda cha mikate chanzo kikidaiwa kuwa ni kudaiana pesa ya LUKU (umeme).
Mashuhuda wa tukio hilo wanasema walishuhudia ugomvi ukiwa unaendela ambapo baadaye walimkuta Kijana huyo akiwa tayari ameshachomwa kisu.
Mwenyekiti wa Kijiji hicho Mollel amesema ni kweli Kijana huyo amefariki na wamempeleka katika chumba cha kuhifadhi maiti katika Hospitali ya Rufaaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru.
😅 😅 😅 🤣 🤣 🤣 hapanaMkuu haukurusha Drone eneo la tukio? Tunataka report ya kinachojiri
SanaArusha wana usela mavi sana
Haya mauaji na umwagaji damu bila sababu ya masingi ni laana kwa nchi yetu😭😭Mwanamke anayefahamika kwa jina la Blandinda Fredi Mkazi wa Kijiji cha Ilkrevi Kata ya Olturoto Wilayani Arumeru Mkoani Arusha anatuhumiwa kumuua Erick Adam ambaye ni Msanii wa Bongofleva na Mfanyakazi wa kiwanda cha mikate chanzo kikidaiwa kuwa ni kudaiana pesa ya LUKU (umeme).
Mashuhuda wa tukio hilo wanasema walishuhudia ugomvi ukiwa unaendela ambapo baadaye walimkuta Kijana huyo akiwa tayari ameshachomwa kisu.
Mwenyekiti wa Kijiji hicho Mollel amesema ni kweli Kijana huyo amefariki na wamempeleka katika chumba cha kuhifadhi maiti katika Hospitali ya Rufaaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru.
FIki ukiigana?Haya mauaji na umwagaji damu bila sababu ya masingi ni laana kwa nchi yetu😭😭
Mma nkhaamuFIki ukiigana?