Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oogoo, ingamu jako ijo jinyomwisyeMma nkhaamu
Dah [emoji23][emoji23]yaani wewe.Vifo asaivi ni kama timing,
Unagombana na mtu ukiona kashika siraha, tumia miguu yako vzr,
Sio zamani mtu katoa panga upo hapo unamuambia nikate sasa, nikateee....
Sikuhizi watu hawatanii, kitu ikitoka hairudi kavu, unageuzwa mishkaki, unapelekwa pluto fasta.
Usiwe na shaka kuhusu mbio zako katika kuokoa uhai, hutajiamini hio siku, nishawahi pita NOAH kama ipo Parking.
Wule wule?Oogoo, ingamu jako ijo jinyomwisye
Ndifuma kwilinga mmanyani gwanguOogoo, ingamu jako ijo jinyomwisye
Watu wa Arusha ni makatili kama WakenyaMwanamke anayefahamika kwa jina la Blandinda Fredi Mkazi wa Kijiji cha Ilkrevi Kata ya Olturoto Wilayani Arumeru Mkoani Arusha anatuhumiwa kumuua Erick Adam ambaye ni Msanii wa Bongofleva na Mfanyakazi wa kiwanda cha mikate chanzo kikidaiwa kuwa ni kudaiana pesa ya LUKU (umeme).
Mashuhuda wa tukio hilo wanasema walishuhudia ugomvi ukiwa unaendela ambapo baadaye walimkuta Kijana huyo akiwa tayari ameshachomwa kisu.
Mwenyekiti wa Kijiji hicho Mollel amesema ni kweli Kijana huyo amefariki na wamempeleka katika chumba cha kuhifadhi maiti katika Hospitali ya Rufaaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru.
Arusha na Mara sio salama kabisaBinafsi mwanamke akisema amekulia Arusha simchukuliagi poa hata kidogo!
Wako Kama wanawake wa Kenya.
Duuh!Binafsi mwanamke akisema amekulia Arusha simchukuliagi poa hata kidogo!
Wako Kama wanawake wa Kenya.
Bulebule😀Wule wule?
Amekula mbususu ya Manzee alafu analeta jau,,wamemdanjisha!!Tuliosoma Cuba Havana tumeelewa Pesa ya Luku ipi alikua anadai
Mbilike nkhamuBulebule😀
Binafsi mwanamke akisema amekulia Arusha simchukuliagi poa hata kidogo!
Wako Kama wanawake wa Kenya.
Tuseme ulikuwa kwa Drake ama😅 😅 😅 🤣 🤣 🤣 hapana
🤣 🤣 🤣 🤣Luku hii hii luku au luku mbususu?
nilikua Mbande Sokoni huku, naitafuta MlamleniTuseme ulikuwa kwa Drake ama
sa itakuajenilikua Mbande Sokoni huku, naitafuta Mlamleni
😅 😅 😅 🤣 🤣 phaller kweli wewesa itakuaje