Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
Bado sijasikia eti munasemaje
Bhoke au Ghati ndo kaua
Bhoke au Ghati ndo kaua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli ungesema Rorya,Mara,Musoma, Shinyanga,Mwanza,Geita,Ukerewe,Bukoba,Kagera,Songwe,Rukwa🤔.Angalau angalao ningekuelewa🤔.Anaye bisha tufuatilie takwimu za Jeshi la Polisi Tz kwa matukio kama hayo kwa ukanda huo,🤔Kilimanjaro na Arusha pesa mbele uhai baadaye
Kulikuwa na ziada zaidi ya hiyo buku ya nishati#HABARI JESHI la Polisi mkoani Arusha, linamshikia Blandina Fred mkazi wa Kijiji cha IIkirev, Kata ya Olturoto wilayani Arumeru, kwa tuhuma za kumuua kwa kumchoma kisu mpangaji mwenzake, Erick Adam kisa shilingi 1000 ya mchango wa umeme.
View attachment 2663516
Ila matukio ya hivyo ya mauaji ya kikatili haya tokeo kanda ya kaskazini kama inavyo sema,na kusisitiza zaidi ya kanda ya ziwaHela ni ngumu Kiruuu 🤣
Hapana mkuu, tunaweza kuandika Uzi kwa ID hii halafu nikajisapoti kwa zile ID nyingine zooote. Uzi lazima utembeenaona wamebana wameachia
ile ID ingine tunaiweka kando siyo ?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Hapana mkuu, tunaweza kuandika Uzi kwa ID hii halafu nikajisapoti kwa zile ID nyingine zooote. Uzi lazima utembee
Haya yanaweza kutokea popote,haijalishi asili ya mtu.Kilimanjaro na Arusha pesa mbele uhai baadaye
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Mkuu una hisa zako hapa jeiefu? Muda wote nakukuta humu. 😂🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
🤣 🤣 🤣 🤣 mie robotiMkuu una hisa zako hapa jeiefu? Muda wote nakukuta humu. 😂
Billionaire Msuya na wengine kadhaa ikiwa ni pamoja na yule mwanamke aliyemuua mama yake akishirikiana na majambazi yote hayo ni ukanda huoHaya yanaweza kutokea popote,haijalishi asili ya mtu.
Nimekuzidi mara mbili. Mie nusuti🤣 🤣 🤣 🤣 mie roboti