DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Wanawake wa Arusha hawana akili na maadili wanajikutaga ujuaji mwingina usela mavi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vifo asaivi ni kama timing,
Unagombana na mtu ukiona kashika siraha, tumia miguu yako vzr,
Sio zamani mtu katoa panga upo hapo unamuambia nikate sasa, nikateee....
Sikuhizi watu hawatanii, kitu ikitoka hairudi kwenye ala kavu, unageuzwa mishkaki, unapelekwa pluto fasta.
Ondoa shaka kuhusu mbio zako katika kuokoa uhai, hutajiamini mwenyewe hio siku,
Nishawahi pita NOAH kama ipo Parking, na ile ndio ilikua pona yangu serious, sijawahi rudi ile sehemu as long najua nilizingua mwenyewe.
Mimi mtu akitoa kisu au mguu wa kuku, nionekane tuu kunguru ila ndani ya sekunde 5 sitoonekana.
...All i need in this world, i mean all i want for lives, is blunts and your girl.... (Wiz khalifa ft 2 Chainz_ it's nothing)View attachment 2663543
huyo siyo ?
And we got it cookin' like a one-eyed stove...All i need in this world, i mean all i want for lives, is blunts and your girl.... (Wiz khalifa ft 2 Chainz_ it's nothing)
Msukuma utamjua tu "usera" ndio lugha gani hiyo..Ndio mkoa ambao hata bure sikai, wana usera mavi sana
Noma sanaa aisee, bidada alikuwa ashameza vitu adimu
Wanasemaje hapo bongo mkuuChaliii ya R niliyepotelea mjini Daslamu nipo hapa [emoji1787]
Upo live kumbe🤩🤩🤩And we got it cookin' like a one-eyed stove
You can catch me kissin' my girl with both eye' closed
2 chains & Khalifa, we own it
naikumbuka kwenye opening scene ya Fast Furious 6
🤣🤣🤣 wahaya banaa...Mikoa ya watu wapumbavu/wachawi/majambazi/wauaji/wabinafsi/uhuni/wanafiki/majungu/tabia za ovyo/walawiti/washenizwashezi/mamwinyi/roho mbaya/ n.k,n.k:
-Mara
-Arusha
-Tanga
-Kilimanjaro
-Pwani
-Geita
-Lindi
-Mwanza
-Simiyu
-Kigoma
-Mbeya
-Zanzibar [Unguja na Pemba]
-Mtwara
Mikoa watu fresh:
-Manyara
-Kagera
-Tabora
-Iringa
-Njombe
-Morogoro
-Ruvuma
-Singida
-Dodoma
nilicheki, The Enforcer 2022Upo live kumbe🤩🤩🤩
Shawty you the one, aint too many choices
Louies on my feet, cost me ten pairs of Air Forces
When you mention me, know my girls are really gorgeous
I be all up in the cut, like some Neosporin
Tity two chains, I got my name on my upholstery
Hicho kichwa acha kabisa mkuu
Ni LUKU kweli au alimtafuna bure kimasihara na hakutaka kumlipa?Binti keshakamatwa, yupo mikononi mwa polisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vifo asaivi ni kama timing,
Unagombana na mtu ukiona kashika siraha, tumia miguu yako vzr,
Sio zamani mtu katoa panga upo hapo unamuambia nikate sasa, nikateee....
Sikuhizi watu hawatanii, kitu ikitoka hairudi kwenye ala kavu, unageuzwa mishkaki, unapelekwa pluto fasta.
Ondoa shaka kuhusu mbio zako katika kuokoa uhai, hutajiamini mwenyewe hio siku,
Nishawahi pita NOAH kama ipo Parking, na ile ndio ilikua pona yangu serious, sijawahi rudi ile sehemu as long najua nilizingua mwenyewe.
Mimi mtu akitoa kisu au mguu wa kuku, nionekane tuu kunguru ila ndani ya sekunde 5 sitoonekana.
View attachment 2663543
huyo siyo ?
😅 😅 hapana huyo ni 2 chainz mzee babaSasa kwa Mapigo hayo masilva,miwani,dereki(bandana) ,suti bega ashindwe Buku ya Luku?
Watu kama nyinyi mngechelewesha sana uhuru wa TANGANYIKA au nasema Uongo NKOI ☺️😌🙂😊🤣🤣😂😂🤣😂Vifo asaivi ni kama timing,
Unagombana na mtu ukiona kashika siraha, tumia miguu yako vzr,
Sio zamani mtu katoa panga upo hapo unamuambia nikate sasa, nikateee....
Sikuhizi watu hawatanii, kitu ikitoka hairudi kwenye ala kavu, unageuzwa mishkaki, unapelekwa pluto fasta.
Ondoa shaka kuhusu mbio zako katika kuokoa uhai, hutajiamini mwenyewe hio siku,
Nishawahi pita NOAH kama ipo Parking, na ile ndio ilikua pona yangu serious, sijawahi rudi ile sehemu as long najua nilizingua mwenyewe.
Mimi mtu akitoa kisu au mguu wa kuku, nionekane tuu kunguru ila ndani ya sekunde 5 sitoonekana iwe ardhini au angani.
Ni play Hero kwenye Uhai? Ili nife kishujaa??Watu kama nyinyi mngechelewesha sana uhuru wa TANGANYIKA au nasema Uongo NKOI ☺️😌🙂😊🤣🤣😂😂🤣😂