TANZIA ERICK ADAMU (Nezo B-Msanii wa Bongo Fleva) Auawa kisa kudaiwa pesa ya umeme (LUKU)

TANZIA ERICK ADAMU (Nezo B-Msanii wa Bongo Fleva) Auawa kisa kudaiwa pesa ya umeme (LUKU)

Vifo asaivi ni kama timing,
Unagombana na mtu ukiona kashika siraha, tumia miguu yako vzr,

Sio zamani mtu katoa panga upo hapo unamuambia nikate sasa, nikateee....

Sikuhizi watu hawatanii, kitu ikitoka hairudi kwenye ala kavu, unageuzwa mishkaki, unapelekwa pluto fasta.

Ondoa shaka kuhusu mbio zako katika kuokoa uhai, hutajiamini mwenyewe hio siku,

Nishawahi pita NOAH kama ipo Parking, na ile ndio ilikua pona yangu serious, sijawahi rudi ile sehemu as long najua nilizingua mwenyewe.
Mimi mtu akitoa kisu au mguu wa kuku, nionekane tuu kunguru ila ndani ya sekunde 5 sitoonekana.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Maeneo mengine wanawake hata ujasiri wa kuchinja kuku tu hawana!

Unakuta kijana unajinyima huli hata kitimoto kuhofia kifafa na tegu.

Haupigi kavu na umechanja HBV kuepuka ngoma na homa ya ini halafu unakuja kufa kiboya kabisa.
 
Mikoa ya watu wapumbavu/wachawi/majambazi/wauaji/wabinafsi/uhuni/wanafiki/majungu/tabia za ovyo/walawiti/washenizwashezi/mamwinyi/roho mbaya/ n.k,n.k:
-Mara
-Arusha
-Tanga
-Kilimanjaro
-Pwani
-Geita
-Lindi
-Mwanza
-Simiyu
-Kigoma
-Mbeya
-Zanzibar [Unguja na Pemba]
-Mtwara

Mikoa watu fresh:
-Manyara
-Kagera
-Tabora
-Iringa
-Njombe
-Morogoro
-Ruvuma
-Singida
-Dodoma
 
And we got it cookin' like a one-eyed stove
You can catch me kissin' my girl with both eye' closed

2 chains & Khalifa, we own it
naikumbuka kwenye opening scene ya Fast Furious 6
Upo live kumbe🤩🤩🤩

Shawty you the one, aint too many choices

Louies on my feet, cost me ten pairs of Air Forces
When you mention me, know my girls are really gorgeous
I be all up in the cut, like some Neosporin

Tity two chains, I got my name on my upholstery

Hicho kichwa acha kabisa mkuu
 
Mikoa ya watu wapumbavu/wachawi/majambazi/wauaji/wabinafsi/uhuni/wanafiki/majungu/tabia za ovyo/walawiti/washenizwashezi/mamwinyi/roho mbaya/ n.k,n.k:
-Mara
-Arusha
-Tanga
-Kilimanjaro
-Pwani
-Geita
-Lindi
-Mwanza
-Simiyu
-Kigoma
-Mbeya
-Zanzibar [Unguja na Pemba]
-Mtwara

Mikoa watu fresh:
-Manyara
-Kagera
-Tabora
-Iringa
-Njombe
-Morogoro
-Ruvuma
-Singida
-Dodoma
🤣🤣🤣 wahaya banaa...
 
Upo live kumbe🤩🤩🤩

Shawty you the one, aint too many choices

Louies on my feet, cost me ten pairs of Air Forces
When you mention me, know my girls are really gorgeous
I be all up in the cut, like some Neosporin

Tity two chains, I got my name on my upholstery

Hicho kichwa acha kabisa mkuu
nilicheki, The Enforcer 2022
nilishaanza kumsahau maana kitambo yuko kimya
nikasema mbona chalii kama namjua huyu, ile english yake ya humo aisee 🙌 🙌 😅
 
Vifo asaivi ni kama timing,
Unagombana na mtu ukiona kashika siraha, tumia miguu yako vzr,

Sio zamani mtu katoa panga upo hapo unamuambia nikate sasa, nikateee....

Sikuhizi watu hawatanii, kitu ikitoka hairudi kwenye ala kavu, unageuzwa mishkaki, unapelekwa pluto fasta.

Ondoa shaka kuhusu mbio zako katika kuokoa uhai, hutajiamini mwenyewe hio siku,

Nishawahi pita NOAH kama ipo Parking, na ile ndio ilikua pona yangu serious, sijawahi rudi ile sehemu as long najua nilizingua mwenyewe.
Mimi mtu akitoa kisu au mguu wa kuku, nionekane tuu kunguru ila ndani ya sekunde 5 sitoonekana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vifo asaivi ni kama timing,
Unagombana na mtu ukiona kashika siraha, tumia miguu yako vzr,

Sio zamani mtu katoa panga upo hapo unamuambia nikate sasa, nikateee....

Sikuhizi watu hawatanii, kitu ikitoka hairudi kwenye ala kavu, unageuzwa mishkaki, unapelekwa pluto fasta.

Ondoa shaka kuhusu mbio zako katika kuokoa uhai, hutajiamini mwenyewe hio siku,

Nishawahi pita NOAH kama ipo Parking, na ile ndio ilikua pona yangu serious, sijawahi rudi ile sehemu as long najua nilizingua mwenyewe.

Mimi mtu akitoa kisu au mguu wa kuku, nionekane tuu kunguru ila ndani ya sekunde 5 sitoonekana iwe ardhini au angani.
Watu kama nyinyi mngechelewesha sana uhuru wa TANGANYIKA au nasema Uongo NKOI ☺️😌🙂😊🤣🤣😂😂🤣😂
 
Watu kama nyinyi mngechelewesha sana uhuru wa TANGANYIKA au nasema Uongo NKOI ☺️😌🙂😊🤣🤣😂😂🤣😂
Ni play Hero kwenye Uhai? Ili nife kishujaa??

Sina utani na maisha yangu, Nipo sijui drs la 6 ile Mtoto wa mamkubwa aliact kishujaa, nini kilifuata...?

Aliangukia mlangoni, huku Kazuia utumbo usimwagike kwa mkono..
Watu wa arusha mna mkumbuka Saimonii a.k.a Raider????

As long sio mwana riadha, Basi Mungu alinipaa hii speed kuokoa uhai wangu, nikikuwahi, na wewe huna bahati.
 
Back
Top Bottom