Vifo asaivi ni kama timing,
Unagombana na mtu ukiona kashika siraha, tumia miguu yako vzr,
Sio zamani mtu katoa panga upo hapo unamuambia nikate sasa, nikateee....
Sikuhizi watu hawatanii, kitu ikitoka hairudi kwenye ala kavu, unageuzwa mishkaki, unapelekwa pluto fasta.
Ondoa shaka kuhusu mbio zako katika kuokoa uhai, hutajiamini mwenyewe hio siku,
Nishawahi pita NOAH kama ipo Parking, na ile ndio ilikua pona yangu serious, sijawahi rudi ile sehemu as long najua nilizingua mwenyewe.
Mimi mtu akitoa kisu au mguu wa kuku, nionekane tuu kunguru ila ndani ya sekunde 5 sitoonekana iwe ardhini au angani.