Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Luku tu Mzee
Ni LUKU kweli au alimtafuna bure kimasihara na hakutaka kumlipa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni LUKU kweli au alimtafuna bure kimasihara na hakutaka kumlipa?
Huyo Dada aliyemchoma jamaa kisu ni Mchaga anaishi sanawari.Wanawake wa Arusha ni makatili sana lakini wanawake kutoka meru(Wameru) ndo wakatili zaidi...... Unaambiwa
Ukimwona mmeru na nyoka,.... Unatakiwa umuue mmeru mwache nyoka aende.
Sio woteWanawake wa chuga ni hatar zaidi ya bomu la nyuklia
Usera = UselaNdio mkoa ambao hata bure sikai, wana usera mavi sana
Huyo Dem ni Mchaga wala sio MmeruMmeru si Mtu.
Inasikitisha sanaWatu wa huko hovyo kabisa
Matukio ya wanawake kuua wanaume?Sio kweli ungesema Rorya,Mara,Musoma, Shinyanga,Mwanza,Geita,Ukerewe,Bukoba,Kagera,Songwe,Rukwa[emoji848].Angalau angalao ningekuelewa[emoji848].Anaye bisha tufuatilie takwimu za Jeshi la Polisi Tz kwa matukio kama hayo kwa ukanda huo,[emoji848]
Hayo yanaweza kutokea popote na haina uhusiano na kanda nyingineMatukio ya wanawake kuua wanaume?
Unaogopa mno kwa comment yako hii. Acha uoga, wale ni washamba tu tunawat#mbWanavuta bangi sana madem wakule.
Wale sio Wanawake wa kawaida, ni wanaume walopooza tu.
Kumbe washamba tuWanawake wa Arusha hawana akili na maadili wanajikutaga ujuaji mwingina usela mavi
Mkuuu wanaume wa Kanda ya ziwa, Huwa hatuogopiiUnaogopa mno kwa comment yako hii. Acha uoga, wale ni washamba tu tunawat#mb
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Tutolee uoga na ushamba wako hapaMALEZI NA MAKUZI
Kule kaskazini wameandaliwa na kulelewa kimabavu zaidi,
wamelelewa kama wanaume, jinsia ya kike ila tabia na haiba zote ni wanaume.
Ndio maana wahenga wanasema" ukitaka kuwa na ndoa ngumu sana.. asiee nenda kaoe kule"
Yesu na maria
Washamba tu, kama wewe.Shemeji zangu wa huku kaskazini wababe sana , R.I.P Erick
Acha uongo... elewa swali. Unaonekana mshamba tu wewe!.Kuna wanawake wanapiga karate, judo, taikwando, na vingine km kickbox
Washamba tuTom Boy Msela wa Chuga, nitakupiga bisu la mbavu nikafungwe jera komamamae..!!
Bravo!Mkuuu wanaume wa Kanda ya ziwa, Huwa hatuogopii
Ujinga si ujasiri.Wanawake wa huko sijapata kuona! [emoji848][emoji848]
Wanaujasiri wa kuchoma watu kisu ? Hadi kufa?
Tena mwanamke Ndiyo anachoma Mwanaume?!
Mmnh!