Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

Panapotokea wapotoshaji wa makusudi kama Zitto kabwe na wenzake, wakaamua makusudi kupotosha ukweli huku wakijua kufanya hivyo si sawa kwa MASLAHI ya umma. Ni vyema sisi wengine tukajaribu kuusaka ukweli na kuusema kama ulivyo. Mimi kama mdau wa habari, nimebahatika Kuisoma hati ya Taarifa sahihi inayomuhusu Kabendera katika shauri lake, hati ambayo imesainiwa na kuthibitishwa na Kabendera mwenyewe.

Kwa taarifa tu ya watu wema wanaipenda nchi hii, ndugu Erick Kabendera amekiri kufanya makosa yote aliyotenda ambayo ni wazi kabisa amejua asingeweza kuchomoka na hivyo kuchagua kutumia sheria ya usuluhishi wa makosa. Zitto anafahamu wazi kwamba Kabendera katika kuhakikisha anatekeleza uhalifu wa kutakatisha fedha alisajili kampuni mbili ambazo hazikuwa hata na ofisi na katika usajili akadanganya ofisi zipo eneo ambalo kumbe ni nyumbani kwake. Zitto na wenzake wanafahamu wazi kuwa Machi 23 2010. Kabebdera alisajili kampuni ya Voxy Media Centre Ltd na akapewa cheti cha usajili No. 75572 kutoka BRELA lakini mbaya zaidi alitumia anuani ya posta ya mtu binafsi ambaye ni miongoni mwa genge lake la uhalifu ambayo ni P.O. Box 7439 na kueleza kuwa ndiyo anuani ya kampuni yake.

Zittto anafahamu kuwa Januari 11, 2016, Kabendera na mke wake Loy Philip Kabendera walifungua tena kampuni ya PR ijulikanayo kama Sitrep Co. Ltd yenye cheti cha usajili kutoka BRELA No. 122885. Katika usajili wa kampuni hiyo Kabendera amekiri kuwa walighushi fomu mbalimbali na kudanganya kuwa ofisi zipo Block No. 13 Plot 23 Mbweni Mpiji ambapo baada yabuchunguzi ikabainika eneo hilo ni nyumbani kwake. Alitumia taarifa hizo za uongo kuomba leseni ya kufanya biashara ya PR na akapatiwa leseni No. 2209221.

Zitto anafahamu kuwa baada ya kukamilisha mchakato wa kufungua kampuni, kabendera na mkewe na wenzake wakaanza kufungua akaunti nyingi za benki nyingine kwaajili ya Dola za Marekani na nyingine ya Pauni na akaunti binafsi na baada ya hapo akaanza kuingiziwa fedha kutoka nje na ndani ya nchi. Zitto asijitoe ufahamu na ajue kwamba, watanzania tunajua kuwa Aprili 2, 2016 kabendera na mkewe walifungua akaunti No. 0250440251400 kwajili ya kuingiza USD(Dolla za kimarekani) na nyingine No. 0350440251400 kwaajili ya Paundi za Uingereza katika benki ya CRDB.

Zitto anafahamu kuwa Kabendera alifungua akaunti binafsi kwaajili ya Dola za Marekani yenye No. 0250275464500 na nyingine No. 01J2013248400 CRDB tawi la Kijitonyama. Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU wanajua kuwa baada ya hapo mamilioni ya Shilingi, dola la Paundi yalianza kuingia kwenye hizo akaunti huku zingine zikihamishwa kutoka akaunti za kampuni kwenda akaunti binafsi na kutoka kampuni moja kwenda nyingine. Zitto anajua kuwa kati ya tarehe 1 Januari 2015 na tarehe 29 Julai 2019 Kabendera alipokea fedha za kimarekani USD 230,358.83 sawa na zaidi ya milioni 534 za kitanzania kwenye akaunti yake binafsi ambazo zilitoka kampuni mbalimbali za nje na ndani zikiwemo K2 Intelligence Ltd, Palladium (Tanzania) Ltd, Eurasia Group Ltd, International Crisis Rou na zingine nyingi za nje.

Zitto anafahamu kuwa Kati ya Januari mosi 2015 na Agosti 29, 2019 Kabendera na mke wakiwa wanahisa na wakurugenzi wa Sitrep Co. Ltd walipokea Dola za Marekani 432,000,541.64 sawa na shilingi bilioni Shilingi bilioni 1.01 za kitanzania. Zitto kabwe anafahamu kuwa Kabendera pia katika wakati huo huo aliingiziwa kiasi cha Paundi za Uingereza 119,000,130.84. Sawa na zaidi ya shilingi milioni 305 za kitanzania.

Zitto kabwe anafahamu kuwa pamoja na kupokea kiasi hicho cha fedha kutoka ndani na nje ya nchi, Kabendera alikiri kuwa hakuwahi kufaili 'Tax returns' . Zitto anafahamu kuwa Kabendera mwenyewe amekiri kuwa yeye na mkewe kati ya Julai 29 na Julai 9, 2019 walihamisha Dola 25,303 kutoka Sitrep Co. Ltd kwenda akaunti binafsi ya Kabendera na katika kipindi hicho chote alilipa kodi ya Sh 1,376,400 tu na kukwepa kulipa kodi ya Sh 173,249,047. Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU, wanafahamu kuwa Kabendera amekiri kutenda makosa hayo yote na kusaini makubaliano na Ofisi ya Mashtaka na kukubali kulipa fidia ambapo amelipa Sh milioni 100 kwa makosa ya utakatishaji wa fedha na Sh 250,000 kwa kosa la kukwepa kulipa kodi.

USHAURI KWA KABENDERA
Ninakushauri Ndugu Erick Kabendera, usimuendekeze Zitto kabwe atakupoteza, Zitto kabwe ni mwanasiasa ambaye yupo tayari kusema, kufanya, kuongea, kuongopa lolote kwa sasa ili tu apate sifa ya kisiasa. Kwa tuhuma kama hizi ulizozikiri mwenyewe, kutokea mwanasiasa kama Zitto kuropoka ropoka mitandaoni inatufanya sisi tunaofuatilia nyendo hizi tuone kuna walakini katika mahusiano yenu. Ninaishia hapa kwa leo, nikisema KABENDERA MKANYE ZITTO ATAKUHARIBIA ZAIDI.
Eti Kabendera alipokea bilioni 1 ili amchafue magufuli, huo uongo huo mnatungia vyoo vya Lumumba??? !! Inawezekana kweli alikuwa analipwa kwa kazi ya uandishi wa kiuchunguzi ila sio bilioni 1, mjipange upya.

Na Tundu Lisu mliyetaka kumuua alipokea sh.ngapi kutoka kwa mabeberu???!!

Kabendera hajamchafua magufuli, magufuli anajichafua mwenyewe kwa kauli zake na maamuzi ambayo huwa hatumii busara kabisa. Hii ni nchi sio familia yake!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini DPP hakuutoa ushahidi huu mahakamani kwa kipindi chote cha miezi 7???

Kwanini mke wake na hao unaowaita genge hawakufikishwa mahakamani???

Na ni kwanini mwanzoni lilifanyika jaribio la utekaji???

Na ni kwanini hakupewa hata nafasi ya kumzika mama yake??
Hili halikufanyika makusudi kwa nia ya kumkomoa?

Mwisho ni kwa nini unamsakama sana Zito hata kuandika uzi huu kwa nia ya kumjibu Zito???

Maswali haya yote yanahitaji majibu sahihi, si majibu mepesi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikiri kuna kosa gani hapo kwa hayo aliyoyafanya kabendera? Kuingiziwa pesa sio kosa... Ishu ni kuaa huwezi mkaamata mtu ukamshitaki kwa kuuza siri, so utatafutiwa kesi nyingine
 
Jambo usilolijua nikama...mpaka ma-bibi sii na ma-docho wele wakawa wanapiga keleele kumbe chalii alicheza michezo michafu yakutakatisha fedha!!
Anaandika habari na watu za uchunguzi huku yeye anamakandokando kibao hajichunguzi hakujua muosha huoshwa!! Kwahali hiyo nirahisi kuwa na wasiwasi na uraia wake kwakweli.
Waandishi baadhi hutumika sana kuporomosha wanasiasa wanaojitahidi kuwa na misimamo ya kukataa milungula, huwapakazia na kuwachafua ili majizi hasa maberuberu yajipenyeze na kuiibia. Basi maberberu wamlipie izohela kijana aje mtaani tulime aache upaparazi uchwara na siasa za kikabwe-kabwe!!
 
Mtu kuhamishia ofisi nyumbani kwake ni kosa linaloweza kuhalalisha adhabu kubwa hivyo na hiyo inaingiaje kwenye utakatishaji pesa au uhujumu uchumi?

Hii sheria ya utakatishaji fedha na uhujumu uchumi inatumika kukomoa maadui wa huu utawala na wahanga hulazimishwa 'Under Duress' kukiri kosa ili watumie pesa kununua uhuru wao.
It's a clear source of revenue to the government.
 
Na. Habibu Mchange

Nitafurahi sana kama ndugu Zitto atapingana na ukweli huu rahisi kuhusu Kabendera


Inasikitisha sana kuona baada ya Erick Kabendera kukiri mwenyewe kutenda makosa katika mashtaka ya utakatishaji fedha na kukwepa kodi na kukubali kulipa fidia ya jumla ya milioni 100,250,000, kama kianzio na kisha kulipa wastani wa milioni 29 kila mwezi kukamilisha makubaliano ya kisheria aliyosaini.

Tumemshuhudia kwa kasi kubwa mwanasiasa anayeelekea kuwa uchwara na mchumia tumbo lake ambaye amejivika utetezi wa kila jinai hapa nchini na kuivisha usiasa Ndugu Zitto Kabwe akiandika mitandaoni kuwa Kabendera amenunua uhuru wake.

Zitto anadai bila aibu wala haya kuwa Kabendera amelipia kuipata haki yake ya kuwa huru huku akijua wazi kuwa Mahakama za Tanzania hazijawahi hata siku moja kuuza uhuru wala kutaraji kuuza haki ya mtu


Mimi nafahamu kuwa kwa kiasi fulani Zitto alikuwa na uswahiba na Kabendera, ninafahamu pia uswahiba wake na Kabendera aliuzidisha chumvi mara tu Kabendera kuingia kwenye matatizo ya uvunjaji wa sheria za nchi.

Nafahamu bila chembe ya aibu wala shaka, kuwa Zitto amechagua makusudi kupotosha ukweli ili apate huruma yake ya kisiasa na aendelee kuungwa mkono kama mtetezi wa wanyonge ama mkosoaji mkuu wa uongozi wa Rais Magufuli

KILICHOMPONZA KABENDERA HIKI HAPA

panapotokea wapotoshaji wa makusudi kama Zitto kabwe na wenzake, wakaamua makusudi kupotosha ukweli huku wakijua kufanya hivyo si sawa kwa MASLAHI ya umma. Ni vyema sisi wengine tukajaribu kuusaka ukweli na kuusema kama ulivyo.


Mimi kama mdau wa habari, nimebahatika Kuisoma hati ya Taarifa sahihi inayomuhusu Kabendera katika shauri lake, hati ambayo imesainiwa na kuthibitishwa na Kabendera mwenyewe.

Kwa taarifa tu ya watu wema wanaipenda nchi hii, ndugu Erick Kabendera amekiri kufanya makosa yote aliyotenda ambayo ni wazi kabisa amejua asingeweza kuchomoka na hivyo kuchagua kutumia sheria ya usuluhishi wa makosa.


Zitto anafahamu wazi kwamba Kabendera katika kuhakikisha anatekeleza uhalifu wa kutakatisha fedha alisajili kampuni mbili ambazo hazikuwa hata na ofisi na katika usajili akadanganya ofisi zipo eneo ambalo kumbe ni nyumbani kwake.

Zitto na wenzake wanafahamu wazi kuwa Machi 23 2010. Kabebdera alisajili kampuni ya Voxy Media Centre Ltd na akapewa cheti cha usajili No. 75572 kutoka BRELA lakini mbaya zaidi alitumia anuani ya posta ya mtu binafsi ambaye ni miongoni mwa genge lake la uhalifu ambayo ni P.O. Box 7439 na kueleza kuwa ndiyo anuani ya kampuni yake.


Zittto anafahamu kuwa Januari 11, 2016, Kabendera na mke wake Loy Philip Kabendera walifungua tena kampuni ya PR ijulikanayo kama Sitrep Co. Ltd yenye cheti cha usajili kutoka BRELA No. 122885.


Katika usajili wa kampuni hiyo Kabendera amekiri kuwa walighushi fomu mbalimbali na kudanganya kuwa ofisi zipo Block No. 13 Plot 23 Mbweni Mpiji ambapo baada yabuchunguzi ikabainika eneo hilo ni nyumbani kwake. Alitumia taarifa hizo za uongo kuomba leseni ya kufanya biashara ya PR na akapatiwa leseni No. 2209221.


Zitto anafahamu kuwa baada ya kukamilisha mchakato wa kufungua kampuni, kabendera na mkewe na wenzake wakaanza kufungua akaunti nyingi za benki nyingine kwaajili ya Dola za Marekani na nyingine ya Pauni na akaunti binafsi na baada ya hapo akaanza kuingiziwa fedha kutoka nje na ndani ya nchi.

Zitto asijitoe ufahamu na ajue kwamba, watanzania tunajua kuwa Aprili 2, 2016 kabendera na mkewe walifungua akaunti No. 0250440251400 kwajili ya kuingiza USD(Dolla za kimarekani) na nyingine No. 0350440251400 kwaajili ya Paundi za Uingereza katika benki ya CRDB tawi la

Zitto anafahamu kuwa Kabendera alifungua akaunti binafsi kwaajili ya Dola za Marekani yenye No. 0250275464500 na nyingine No. 01J2013248400 CRDB tawi la Kijitonyama.


Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU wanajua kuwa baada ya hapo mamilioni ya Shilingi, dola la Paundi yalianza kuingia kwenye hizo akaunti huku zingine zikihamishwa kutoka akaunti za kampuni kwenda akaunti binafsi na kutoka kampuni moja kwenda nyingine.


Zitto anajua kuwa kati ya tarehe 1 Januari 2015 na tarehe 29 Julai 2019 Kabendera alipokea fedha za kimarekani USD 230,358.83 sawa na zaidi ya milioni 534 za kitanzania kwenye akaunti yake binafsi ambazo zilitoka kampuni mbalimbali za nje na ndani zikiwemo K2 Intelligence Ltd, Palladium (Tanzania) Ltd, Eurasia Group Ltd, International Crisis Rou na zingine nyingi za nje.


Zitto anafahamu kuwa Kati ya Januari mosi 2015 na Agosti 29, 2019 Kabendera na mke wakiwa wanahisa na wakurugenzi wa Sitrep Co. Ltd walipokea Dola za Marekani 432,000,541.64 sawa na shilingi bilioni Shilingi bilioni 1.01 za kitanzania.

Zitto kabwe anafahamu kuwa Kabendera pia katika wakati huo huo aliingiziwa kiasi cha Paundi za Uingereza 119,000,130.84. Sawa na zaidi ya shilingi milioni 305 za kitanzania.

Zitto kabwe anafahamu kuwa pamoja na kupokea kiasi hicho cha fedha kutoka ndani na nje ya nchi, Kabendera alikiri kuwa hakuwahi kufaili 'Tax returns' .

Zitto anafahamu kuwa Kabendera mwenyewe amekiri kuwa yeye na mkewe kati ya Julai 29 na Julai 9, 2019 walihamisha Dola 25,303 kutoka Sitrep Co. Ltd kwenda akaunti binafsi ya Kabendera na katika kipindi hicho chote alilipa kodi ya Sh 1,376,400 tu na kukwepa kulipa kodi ya Sh 173,249,047.


Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU, wanafahamu kuwa Kabendera amekiri kutenda makosa hayo yote na kusaini makubaliano na Ofisi ya Mashtaka na kukubali kulipa fidia ambapo amelipa Sh milioni 100 kwa makosa ya utakatishaji wa fedha na Sh 250,000 kwa kosa la kukwepa kulipa kodi.

USHAURI KWA KABENDERA

Ninakushauri ndugu Erick Kabendera, usimuendekeze Zitto kabwe atakupoteza, Zitto kabwe ni mwanasiasa ambaye yupo tayari kusema, kufanya, kuongea, kuongopa lolote kwa sasa ili tu apate sifa ya kisiasa.

Kwa tuhuma kama hizi ulizozikiri mwenyewe, kutokea mwanasiasa kama Zitto kuropoka ropoka mitandaoni inatufanya sisi tunaofuatilia nyendo hizi tuone kuna walakini katika mahusiano yenu.

Ninaishia hapa kwa leo, nikisema KABENDERA MKANYE ZITTO ATAKUHARIBIA ZAIDI.
What has been done to Kabendera is awful. Justice should not be used to suit a political intimidation and silencing the would be free speach
 
Na. Habibu Mchange

Nitafurahi sana kama ndugu Zitto atapingana na ukweli huu rahisi kuhusu Kabendera


Inasikitisha sana kuona baada ya Erick Kabendera kukiri mwenyewe kutenda makosa katika mashtaka ya utakatishaji fedha na kukwepa kodi na kukubali kulipa fidia ya jumla ya milioni 100,250,000, kama kianzio na kisha kulipa wastani wa milioni 29 kila mwezi kukamilisha makubaliano ya kisheria aliyosaini.

Tumemshuhudia kwa kasi kubwa mwanasiasa anayeelekea kuwa uchwara na mchumia tumbo lake ambaye amejivika utetezi wa kila jinai hapa nchini na kuivisha usiasa Ndugu Zitto Kabwe akiandika mitandaoni kuwa Kabendera amenunua uhuru wake.

Zitto anadai bila aibu wala haya kuwa Kabendera amelipia kuipata haki yake ya kuwa huru huku akijua wazi kuwa Mahakama za Tanzania hazijawahi hata siku moja kuuza uhuru wala kutaraji kuuza haki ya mtu


Mimi nafahamu kuwa kwa kiasi fulani Zitto alikuwa na uswahiba na Kabendera, ninafahamu pia uswahiba wake na Kabendera aliuzidisha chumvi mara tu Kabendera kuingia kwenye matatizo ya uvunjaji wa sheria za nchi.

Nafahamu bila chembe ya aibu wala shaka, kuwa Zitto amechagua makusudi kupotosha ukweli ili apate huruma yake ya kisiasa na aendelee kuungwa mkono kama mtetezi wa wanyonge ama mkosoaji mkuu wa uongozi wa Rais Magufuli

KILICHOMPONZA KABENDERA HIKI HAPA

panapotokea wapotoshaji wa makusudi kama Zitto kabwe na wenzake, wakaamua makusudi kupotosha ukweli huku wakijua kufanya hivyo si sawa kwa MASLAHI ya umma. Ni vyema sisi wengine tukajaribu kuusaka ukweli na kuusema kama ulivyo.


Mimi kama mdau wa habari, nimebahatika Kuisoma hati ya Taarifa sahihi inayomuhusu Kabendera katika shauri lake, hati ambayo imesainiwa na kuthibitishwa na Kabendera mwenyewe.

Kwa taarifa tu ya watu wema wanaipenda nchi hii, ndugu Erick Kabendera amekiri kufanya makosa yote aliyotenda ambayo ni wazi kabisa amejua asingeweza kuchomoka na hivyo kuchagua kutumia sheria ya usuluhishi wa makosa.


Zitto anafahamu wazi kwamba Kabendera katika kuhakikisha anatekeleza uhalifu wa kutakatisha fedha alisajili kampuni mbili ambazo hazikuwa hata na ofisi na katika usajili akadanganya ofisi zipo eneo ambalo kumbe ni nyumbani kwake.

Zitto na wenzake wanafahamu wazi kuwa Machi 23 2010. Kabebdera alisajili kampuni ya Voxy Media Centre Ltd na akapewa cheti cha usajili No. 75572 kutoka BRELA lakini mbaya zaidi alitumia anuani ya posta ya mtu binafsi ambaye ni miongoni mwa genge lake la uhalifu ambayo ni P.O. Box 7439 na kueleza kuwa ndiyo anuani ya kampuni yake.


Zittto anafahamu kuwa Januari 11, 2016, Kabendera na mke wake Loy Philip Kabendera walifungua tena kampuni ya PR ijulikanayo kama Sitrep Co. Ltd yenye cheti cha usajili kutoka BRELA No. 122885.


Katika usajili wa kampuni hiyo Kabendera amekiri kuwa walighushi fomu mbalimbali na kudanganya kuwa ofisi zipo Block No. 13 Plot 23 Mbweni Mpiji ambapo baada yabuchunguzi ikabainika eneo hilo ni nyumbani kwake. Alitumia taarifa hizo za uongo kuomba leseni ya kufanya biashara ya PR na akapatiwa leseni No. 2209221.


Zitto anafahamu kuwa baada ya kukamilisha mchakato wa kufungua kampuni, kabendera na mkewe na wenzake wakaanza kufungua akaunti nyingi za benki nyingine kwaajili ya Dola za Marekani na nyingine ya Pauni na akaunti binafsi na baada ya hapo akaanza kuingiziwa fedha kutoka nje na ndani ya nchi.

Zitto asijitoe ufahamu na ajue kwamba, watanzania tunajua kuwa Aprili 2, 2016 kabendera na mkewe walifungua akaunti No. 0250440251400 kwajili ya kuingiza USD(Dolla za kimarekani) na nyingine No. 0350440251400 kwaajili ya Paundi za Uingereza katika benki ya CRDB tawi la

Zitto anafahamu kuwa Kabendera alifungua akaunti binafsi kwaajili ya Dola za Marekani yenye No. 0250275464500 na nyingine No. 01J2013248400 CRDB tawi la Kijitonyama.


Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU wanajua kuwa baada ya hapo mamilioni ya Shilingi, dola la Paundi yalianza kuingia kwenye hizo akaunti huku zingine zikihamishwa kutoka akaunti za kampuni kwenda akaunti binafsi na kutoka kampuni moja kwenda nyingine.


Zitto anajua kuwa kati ya tarehe 1 Januari 2015 na tarehe 29 Julai 2019 Kabendera alipokea fedha za kimarekani USD 230,358.83 sawa na zaidi ya milioni 534 za kitanzania kwenye akaunti yake binafsi ambazo zilitoka kampuni mbalimbali za nje na ndani zikiwemo K2 Intelligence Ltd, Palladium (Tanzania) Ltd, Eurasia Group Ltd, International Crisis Rou na zingine nyingi za nje.


Zitto anafahamu kuwa Kati ya Januari mosi 2015 na Agosti 29, 2019 Kabendera na mke wakiwa wanahisa na wakurugenzi wa Sitrep Co. Ltd walipokea Dola za Marekani 432,000,541.64 sawa na shilingi bilioni Shilingi bilioni 1.01 za kitanzania.

Zitto kabwe anafahamu kuwa Kabendera pia katika wakati huo huo aliingiziwa kiasi cha Paundi za Uingereza 119,000,130.84. Sawa na zaidi ya shilingi milioni 305 za kitanzania.

Zitto kabwe anafahamu kuwa pamoja na kupokea kiasi hicho cha fedha kutoka ndani na nje ya nchi, Kabendera alikiri kuwa hakuwahi kufaili 'Tax returns' .

Zitto anafahamu kuwa Kabendera mwenyewe amekiri kuwa yeye na mkewe kati ya Julai 29 na Julai 9, 2019 walihamisha Dola 25,303 kutoka Sitrep Co. Ltd kwenda akaunti binafsi ya Kabendera na katika kipindi hicho chote alilipa kodi ya Sh 1,376,400 tu na kukwepa kulipa kodi ya Sh 173,249,047.


Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU, wanafahamu kuwa Kabendera amekiri kutenda makosa hayo yote na kusaini makubaliano na Ofisi ya Mashtaka na kukubali kulipa fidia ambapo amelipa Sh milioni 100 kwa makosa ya utakatishaji wa fedha na Sh 250,000 kwa kosa la kukwepa kulipa kodi.

USHAURI KWA KABENDERA

Ninakushauri ndugu Erick Kabendera, usimuendekeze Zitto kabwe atakupoteza, Zitto kabwe ni mwanasiasa ambaye yupo tayari kusema, kufanya, kuongea, kuongopa lolote kwa sasa ili tu apate sifa ya kisiasa.

Kwa tuhuma kama hizi ulizozikiri mwenyewe, kutokea mwanasiasa kama Zitto kuropoka ropoka mitandaoni inatufanya sisi tunaofuatilia nyendo hizi tuone kuna walakini katika mahusiano yenu.

Ninaishia hapa kwa leo, nikisema KABENDERA MKANYE ZITTO ATAKUHARIBIA ZAIDI.

Hii dunia bwana,mwenye madaraka atatetewa hata aue,walafi kama Mchange watamtetea

Punguani Mchange!

Nasikia kuna punga moja linasema kumkosoa mawe ni kumkosoa Mungu!Aisee kwa sisi atheists we dont give a shit,sijui nyie watu wa dini mpo offended kiasi gani.....

Unafiki huleta kifo!
 
Panapotokea wapotoshaji wa makusudi kama Zitto kabwe na wenzake, wakaamua makusudi kupotosha ukweli huku wakijua kufanya hivyo si sawa kwa MASLAHI ya umma. Ni vyema sisi wengine tukajaribu kuusaka ukweli na kuusema kama ulivyo. Mimi kama mdau wa habari, nimebahatika Kuisoma hati ya Taarifa sahihi inayomuhusu Kabendera katika shauri lake, hati ambayo imesainiwa na kuthibitishwa na Kabendera mwenyewe.

Kwa taarifa tu ya watu wema wanaipenda nchi hii, ndugu Erick Kabendera amekiri kufanya makosa yote aliyotenda ambayo ni wazi kabisa amejua asingeweza kuchomoka na hivyo kuchagua kutumia sheria ya usuluhishi wa makosa. Zitto anafahamu wazi kwamba Kabendera katika kuhakikisha anatekeleza uhalifu wa kutakatisha fedha alisajili kampuni mbili ambazo hazikuwa hata na ofisi na katika usajili akadanganya ofisi zipo eneo ambalo kumbe ni nyumbani kwake. Zitto na wenzake wanafahamu wazi kuwa Machi 23 2010. Kabebdera alisajili kampuni ya Voxy Media Centre Ltd na akapewa cheti cha usajili No. 75572 kutoka BRELA lakini mbaya zaidi alitumia anuani ya posta ya mtu binafsi ambaye ni miongoni mwa genge lake la uhalifu ambayo ni P.O. Box 7439 na kueleza kuwa ndiyo anuani ya kampuni yake.

Zittto anafahamu kuwa Januari 11, 2016, Kabendera na mke wake Loy Philip Kabendera walifungua tena kampuni ya PR ijulikanayo kama Sitrep Co. Ltd yenye cheti cha usajili kutoka BRELA No. 122885. Katika usajili wa kampuni hiyo Kabendera amekiri kuwa walighushi fomu mbalimbali na kudanganya kuwa ofisi zipo Block No. 13 Plot 23 Mbweni Mpiji ambapo baada yabuchunguzi ikabainika eneo hilo ni nyumbani kwake. Alitumia taarifa hizo za uongo kuomba leseni ya kufanya biashara ya PR na akapatiwa leseni No. 2209221.

Zitto anafahamu kuwa baada ya kukamilisha mchakato wa kufungua kampuni, kabendera na mkewe na wenzake wakaanza kufungua akaunti nyingi za benki nyingine kwaajili ya Dola za Marekani na nyingine ya Pauni na akaunti binafsi na baada ya hapo akaanza kuingiziwa fedha kutoka nje na ndani ya nchi. Zitto asijitoe ufahamu na ajue kwamba, watanzania tunajua kuwa Aprili 2, 2016 kabendera na mkewe walifungua akaunti No. 0250440251400 kwajili ya kuingiza USD(Dolla za kimarekani) na nyingine No. 0350440251400 kwaajili ya Paundi za Uingereza katika benki ya CRDB.

Zitto anafahamu kuwa Kabendera alifungua akaunti binafsi kwaajili ya Dola za Marekani yenye No. 0250275464500 na nyingine No. 01J2013248400 CRDB tawi la Kijitonyama. Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU wanajua kuwa baada ya hapo mamilioni ya Shilingi, dola la Paundi yalianza kuingia kwenye hizo akaunti huku zingine zikihamishwa kutoka akaunti za kampuni kwenda akaunti binafsi na kutoka kampuni moja kwenda nyingine. Zitto anajua kuwa kati ya tarehe 1 Januari 2015 na tarehe 29 Julai 2019 Kabendera alipokea fedha za kimarekani USD 230,358.83 sawa na zaidi ya milioni 534 za kitanzania kwenye akaunti yake binafsi ambazo zilitoka kampuni mbalimbali za nje na ndani zikiwemo K2 Intelligence Ltd, Palladium (Tanzania) Ltd, Eurasia Group Ltd, International Crisis Rou na zingine nyingi za nje.

Zitto anafahamu kuwa Kati ya Januari mosi 2015 na Agosti 29, 2019 Kabendera na mke wakiwa wanahisa na wakurugenzi wa Sitrep Co. Ltd walipokea Dola za Marekani 432,000,541.64 sawa na shilingi bilioni Shilingi bilioni 1.01 za kitanzania. Zitto kabwe anafahamu kuwa Kabendera pia katika wakati huo huo aliingiziwa kiasi cha Paundi za Uingereza 119,000,130.84. Sawa na zaidi ya shilingi milioni 305 za kitanzania.

Zitto kabwe anafahamu kuwa pamoja na kupokea kiasi hicho cha fedha kutoka ndani na nje ya nchi, Kabendera alikiri kuwa hakuwahi kufaili 'Tax returns' . Zitto anafahamu kuwa Kabendera mwenyewe amekiri kuwa yeye na mkewe kati ya Julai 29 na Julai 9, 2019 walihamisha Dola 25,303 kutoka Sitrep Co. Ltd kwenda akaunti binafsi ya Kabendera na katika kipindi hicho chote alilipa kodi ya Sh 1,376,400 tu na kukwepa kulipa kodi ya Sh 173,249,047. Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU, wanafahamu kuwa Kabendera amekiri kutenda makosa hayo yote na kusaini makubaliano na Ofisi ya Mashtaka na kukubali kulipa fidia ambapo amelipa Sh milioni 100 kwa makosa ya utakatishaji wa fedha na Sh 250,000 kwa kosa la kukwepa kulipa kodi.

USHAURI KWA KABENDERA
Ninakushauri Ndugu Erick Kabendera, usimuendekeze Zitto kabwe atakupoteza, Zitto kabwe ni mwanasiasa ambaye yupo tayari kusema, kufanya, kuongea, kuongopa lolote kwa sasa ili tu apate sifa ya kisiasa. Kwa tuhuma kama hizi ulizozikiri mwenyewe, kutokea mwanasiasa kama Zitto kuropoka ropoka mitandaoni inatufanya sisi tunaofuatilia nyendo hizi tuone kuna walakini katika mahusiano yenu. Ninaishia hapa kwa leo, nikisema KABENDERA MKANYE ZITTO ATAKUHARIBIA ZAIDI.
Huyu kaflag ni mtu kama askari wa kukodishwa. Aliandikia gazeti la kibeberu the economics mambo wanayotaka kuhusu magufuli akijua kabisa ni uongo ili mradi analipwa. Alidiriki hadi kuomba jumuia ya kimataifa eti isaidie kumtoa magufuli madarakani. Magufuli tunu nyingine ya nchi kwa jinsi anavyoongoza nchi vizuri eti ang'olewe ni dikteta.
Alaamiwe kaflag na wapinga maendeleo wote kama zitto na tundulisu
 
Eti Kabendera alipokea bilioni 1 ili amchafue magufuli, huo uongo huo mnatungia vyoo vya Lumumba??? !! Inawezekana kweli alikuwa analipwa kwa kazi ya uandishi wa kiuchunguzi ila sio bilioni 1, mjipange upya.

Na Tundu Lisu mliyetaka kumuua alipokea sh.ngapi kutoka kwa mabeberu???!!

Kabendera hajamchafua magufuli, magufuli anajichafua mwenyewe kwa kauli zake na maamuzi ambayo huwa hatumii busara kabisa. Hii ni nchi sio familia yake!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama maamuzi ya magufuli yana tija kwa nchi wananchi hawana shida. Sasa wewe unayeuliza kama ni nchi yake binafsi wewe kwani nchi hii yako? Yeye ni rais wananchi wamempa ridhaa kama unaona shida hama nchi
 
Aisee mkuu mleta mada mahela yote hayo Kabendera alikuwa anawafanyia kazi ipi nyeti hao mabeberu?

Hii kuanika hadhalani madudu ya mkulu ndo alipwe mihela yote hiyo kweli?
So hizo akaunti zimeshakuwa freezed mpaka muda huu au still operating?
Why pesa ipitie crdb benki tu? Policies za money laundry kwao zikoje?
Unataka kujua yote hayo kwanini...Kuna wangapi Kama kabendera lakini mko kimya??
 
Hii dunia bwana,mwenye madaraka atatetewa hata aue,walafi kama Mchange watamtetea

Punguani Mchange!

Nasikia kuna punga moja linasema kumkosoa mawe ni kumkosoa Mungu!Aisee kwa sisi atheists we dont give a shit,sijui nyie watu wa dini mpo offended kiasi gani.....

Unafiki huleta kifo!
Nimeachwa hoi! Yaani, kila kitu alichokuwa anakifanya Kabendela, alikuwa anamfahamisha Zitto? Maanake, tunaambiwa, ZITTO ULIJUA, ZITTO ULIJUA, ZITTO ULIJUA!
Na sikutegemea siku moja Mchange atakuja mgeuka Zitto kwa kiasi hiki.
 
Acha kusema uongo Kabendera hajakiri mmeona hamna pakutokea mabeberu wamewashika rohoni hamna cha kujitetea kuhusu Kabendera mkajiona mshawekewa vikwazo vingi na misaada ishazuiwa na wengine wameshapigwa block kuhusu kuingia Marekani kwa unyama mnaowafanyia watanzania kuwabambikizia watu kesi kuwapiga risasi kuwateka na wengine kuwatupa baharini mabeberu ushahidi wote wanao kama huamini mwambie makonda akaombe viza aende Marekani kama USA hajaweka mambo hazarani
HIVI MAREKANI NDIO MBINGUNI?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu umetumia fact kukiko porojo hongera sana kwa ufafanuzi huu.Kamahiki ulichokiandika ni ukweli hakika serikali haikumuonea.Tunaomba wanaopaswa kulitolea ufafanuzi jambo hili basi watekeleze ili kuondoa upotoshaji juu ya kile inachofanya serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Who are you by the way ?
Keep on asking babe! Ila huyu Kabendera ashukuru Mungu Serikali iliyopo madarakani ni ya Kidemokrasia na yenye kuzingatia Utawala Bora na Haki za Kibinadamu. Ningelikuwa mimi ndiye Mkulu wa Nji hii, Angelikuwa historia!!!
 
Back
Top Bottom