Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

Amenunua uhuru gani???!!! Nyie watu wa ajabu mno...mkiaminishwa kuwa huyu amenunua uhuru na nyie mnaimba hivyo hivyo kama mlivyokaririshwa...Sometimes you people you have to use your heads....Kabendera amefungua accounts kibao anaingiziwa dollars na pound sterling kutoka kwa hao wanaomtumia...Nyie bado mnasema amenunua uhuru...sawa amenunua uhuru sasa mnataka nini??? Nchi hii ina taratibu zake...Tanzania ni sovereign state...America nayo ni sovereign state ndiyo maana imeapa kumshughulikia yule jamaa aliyetoa siri za udukuzi...mbona hamsemi huyo jamaa naye anaonewa??? Acheni kupiga kelele ...Hii ni nchi huru...mkianza kupiga kelele sijui nini haki za binadamu sijui mabalozi mtakwenda na maji ...hawawezi kuja kuwasaidia hapa...Ukiitwa na dola nenda kajisalimishe siyo unajifungia ndani na kutamba kuwa eti kuna haki za binadamu...acheni hizo... Serikali hapori uhuru wa mtu....ila wewe Mtanzania mwenzetu ukieuka na kuanza kuwatumikia watu wa nje na wa ndani against this state lazima utashughulikiwa bila kujali kelele za haki za binadamu...Ukitoa siri za taifa hili kwa wageni wewe ni adui wa taifa hili na tutakushughulikia...
1954 hujui ukiandikacho. Waweza kuwa au ni member wa oligachy au ni prise team ambayo kila dhuluma ya Serikali dhalimu mnaipigia makofi.

Kwanini iwe dhambi kuwa na akaunti za fedha? Kwa nini tusiwe na Watanzania wanaofanya kazi za ınternational consultancy? Na wanalipwa kimataifa!!

Eti siri za nchi, Tanzania ina siri? Mnajadili kuua watu na kuwatupa mtoni na wengine mumewazika kusikojulikana kupitia kikundi cha Makonda. Mnatumia fedha za walipa kodi vibaya kama Tsh 2.4 Trillion halafu CAG ametoa ripoti, kisha mume mfukuza kazi, hiyo nayo ni siri?

Aliyoyafanya Snowden dhidi ya USA siyo kama haya. Yeye akına ICT consultant wa State house alizamia kwenye mtandao kwa njia ya hacking, kitu ambacho ni illegal. Taarifa zote alizoandika Eric Kabendera kwenye gazeti la Economist siyo za siri ni za Kweli ambazo Serikali inashindwa kumtumia VUVUZELA wao Dr Hassan azitolee majibu.
Sasa kichwa hata kama 1954 wanajifanya eti nao wana akılı, kumbe ni salama soli za Jiwe tu. Subirini iko siku huyo Jiwe atatoka Ikulu ndiyo chupi zitawabana
 
1954 hujui ukiandikacho. Waweza kuwa au ni member wa oligachy au ni prise team ambayo kila dhuluma ya Serikali dhalimu mnaipigia makofi.

Kwanini iwe dhambi kuwa na akaunti za fedha? Kwa nini tusiwe na Watanzania wanaofanya kazi za ınternational consultancy? Na wanalipwa kimataifa!!

Eti siri za nchi, Tanzania ina siri? Mnajadili kuua watu na kuwatupa mtoni na wengine mumewazika kusikojulikana kupitia kikundi cha Makonda. Mnatumia fedha za walipa kodi vibaya kama Tsh 2.4 Trillion halafu CAG ametoa ripoti, kisha mume mfukuza kazi, hiyo nayo ni siri?

Aliyoyafanya Snowden dhidi ya USA siyo kama haya. Yeye akına ICT consultant wa State house alizamia kwenye mtandao kwa njia ya hacking, kitu ambacho ni illegal. Taarifa zote alizoandika Eric Kabendera kwenye gazeti la Economist siyo za siri ni za Kweli ambazo Serikali inashindwa kumtumia VUVUZELA wao Dr Hassan azitolee majibu.
Sasa kichwa hata kama 1954 wanajifanya eti nao wana akılı, kumbe ni salama soli za Jiwe tu. Subirini iko siku huyo Jiwe atatoka Ikulu ndiyo chupi zitawabana
Mimi ninakijua ninachoandika....Sina Shaka na Hilo...kuwa na akaunti siyo tatizo...matatizo au tatizo ni namna akaunti hizo zinavyotumika....ni lazima maelezo yawepo kuhusu mamilioni ya fedha yanayoingia...halafu huyo kabendera aliancika ukweli gani.?!? Alichoandika huyo ni majungu na ni uhaini kwa mujibu wa taratibu zetu...na hizo fedha alikuwa anawekewa kwenye akaunti kwa shughuli ipi? Je alifuata taratibu na kulipa Kodi?

Nawashangaa nyie mnaopiga kelele kuhusu huyo jamaa ambaye amekiri makosa yake...nchi hi ni lazima isonge mbele hata kwa viboko...kuhusu Makonda tafadhali usinihusishe Mimi na tuhuma zisizo n ushahidi...
 
Mimi ninakijua ninachoandika....Sina Shaka na Hilo...kuwa na akaunti siyo tatizo...matatizo au tatizo ni namna akaunti hizo zinavyotumika....ni lazima maelezo yawepo kuhusu mamilioni ya fedha yanayoingia...halafu huyo kabendera aliancika ukweli gani.?!? Alichoandika huyo ni majungu na ni uhaini kwa mujibu wa taratibu zetu...na hizo fedha alikuwa anawekewa kwenye akaunti kwa shughuli ipi? Je alifuata taratibu na kulipa Kodi? Nawashangaa nyie mnaopiga kelele kuhusu huyo jamaa ambaye amekiri makosa yake...nchi hi ni lazima isonge mbele hata kwa viboko...kuhusu Makonda tafadhali usinihusishe Mimi na tuhuma zisizo n ushahidi...
Wewe ni mnufaika wa mfumo kandamizi wa adamı ya 5 tu. Kama Kabendera alikuwa na makosa hayo kwa nini walikwenda kumkamata bila utaratibu wa garı na uniform za Polisi? Wananchi walipopiga kelele ndipo wakajitambulisha ni Polisi. Hızı gaps namna polisi ilivyoshughulikia kesi hii ndiyo zinatushawishi tuseme ni FRAMED CASE

Then wakakataa kama wanaye kupitia OCD Kinondoni lakini Kamanda wa Kanda Maalum Mambosasa akakiri wanaye. Nne mwanzoni wakataka kumshitaki kuwa siyo raia ila wakashindwa. Then wakataka wamshataki kwa sheria ya habari nayo wakaona hawana sababu za kutosha. Ndipo wakatumia hii sheria ya kijinga ya Anti Money Loundering.

Lakini akiwa ameahtakiwa kwa AML amekwenda Mahakamani zaidi ya mara 12 na Kesi haikuwahi kusikilizwa kwa maelezo kuwa upelelezi haukakamilika. Huu ndiyo ukandamizaji wa Serikali ninaouongelea. Kama wewe 1954 utajikita kwenye maelezo ya Serikali tu bila kuchambua kidogo utakuwa huitendei haki elimu yako. Narudia kusema Eric Kabendera ni Investigative Journalist alishtakiwa kwa umahiri wa makala zake za ukosoaji. Hakuna siri ya Serikali yeyote aliyokuwa nayo au aliyotoa. Amenunua uhuru wake, period!!

Sina msaada zaidi kama hutanielewa itakuwa ni matatizo ya ubongo wako
 
Wewe ni mnufaika wa mfumo kandamizi wa adamı ya 5 tu. Kama Kabendera alikuwa na makosa hayo kwa nini walikwenda kumkamata bila utaratibu wa garı na uniform za Polisi? Wananchi walipopiga kelele ndipo wakajitambulisha ni Polisi. Hızı gaps namna polisi ilivyoshughulikia kesi hii ndiyo zinatushawishi tuseme ni FRAMED CASE

Then wakakataa kama wanaye kupitia OCD Kinondoni lakini Kamanda wa Kanda Maalum Mambosasa akakiri wanaye. Nne mwanzoni wakataka kumshitaki kuwa siyo raia ila wakashindwa. Then wakataka wamshataki kwa sheria ya habari nayo wakaona hawana sababu za kutosha. Ndipo wakatumia hii sheria ya kijinga ya Anti Money Loundering.

Lakini akiwa ameahtakiwa kwa AML amekwenda Mahakamani zaidi ya mara 12 na Kesi haikuwahi kusikilizwa kwa maelezo kuwa upelelezi haukakamilika. Huu ndiyo ukandamizaji wa Serikali ninaouongelea. Kama wewe 1954 utajikita kwenye maelezo ya Serikali tu bila kuchambua kidogo utakuwa huitendei haki elimu yako. Narudia kusema Eric Kabendera ni Investigative Journalist alishtakiwa kwa umahiri wa makala zake za ukosoaji. Hakuna siri ya Serikali yeyote aliyokuwa nayo au aliyotoa. Amenunua uhuru wake, period!!

Sina msaada zaidi kama hutanielewa itakuwa ni matatizo ya ubongo wako
Eric kabendera siyo investigative journalist...nadhani hujui maana ya investigative journalism...he has never been an investigative journalist...he is just an opportunist...he is just a mole used by some powers...hivi unadhani ni polisi pekee in uniform wanaoweza kumkamata mtuhumiwa?? Nadhani hujasoma vizuri sheria za nchi hii..Mimi sijakita kwenye maelezo ya serikali...in fact baachi ya watendaji wana udhaifu Fulani...lakini tukiacha udhaifu huo kamwe siwezi kukubaliana na mtanzania yeyote anayekubali kutumiwa na foreign countries or foreign powers to be precise against our beautiful country...
 
Eric kabendera siyo investigative journalist...nadhani hujui maana ya investigative journalism...he has never been an investigative journalist...he is just an opportunist...he is just a mole used by some powers...hivi unadhani ni polisi pekee in uniform wanaoweza kumkamata mtuhumiwa?? Nadhani hujasoma vizuri sheria za nchi hii..Mimi sijakita kwenye maelezo ya serikali...in fact baachi ya watendaji wana udhaifu Fulani...lakini tukiacha udhaifu huo kamwe siwezi kukubaliana na mtanzania yeyote anayekubali kutumiwa na foreign countries or foreign powers to be precise against our beautiful country...
Biblia inatukataza kubishana na wapumbavu; Usimjibu mpumbavu kadri ya upumbavu wake usije kuwa sawa naye... (Mithali 26:4)

I log off 1954
 
Biblia inatukataza kubishana na wapumbavu; Usimjibu mpumbavu kadri ya upumbavu wake usije kuwa sawa naye... (Mithali 26:4)

I log off 1954
Uzuri wa msitari huo ndani ya biblia haufafanui mpumbavu ni yupi.. kwani yule anayejiona kuwa yeye si mpumbavu kumbe anaweza kuwa ndiye mpumbavu na pengine hata mshenzi na mjinga pia kwa pamoja
 
Back
Top Bottom