Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

Aisee mkuu mleta mada mahela yote hayo Kabendera alikuwa anawafanyia kazi ipi nyeti hao mabeberu?

Hii kuanika hadhalani madudu ya mkulu ndo alipwe mihela yote hiyo kweli?
So hizo akaunti zimeshakuwa freezed mpaka muda huu au still operating?
Why pesa ipitie crdb benki tu? Policies za money laundry kwao zikoje?
Amini Kabendera ametumiwa sana na wanasiasa na makapuni ya nje. Makala zake nyingi alizoandikia magazeti ya nje, zilikuwa zikitayarishwa na wanasiasa au makampuni hayo naye akizirusha tu.

Usikute wanasiasa kama Zitto walikuwa wakitumia accnt hizo kuingizia pesa wanazolipwa na mabeberu na kuzihamishia mifukoni mwao.
 
Angetoka bila mashariti ningekuelewa,MTU kakaa miezi saba na analipa million 274 halafu halafu unaleta nyenyeee!!!
Kuweni mnachekecha akili zenu!Kwanini alivyoandika barua mara ya kwanza pamoja na watuhumiwa wengine waliokuwa mahabusu baada ya agizo la Rais hakuachiwa huru na DPP?Na agizo la Rais lilikuwa mtuhumiwa yeyote atakayendika barua ndani ya muda ya kukiri na kukubali kulipa aachiwe huru!Kwanini Kabendera aliwekwa kando?Mabeberu wana mkono kwenye kuachiwa kwake,ili iwe win win situation ndio yakatengenezwa mazingira kama hayo,serikali isiabike lakini na Kabendera awe huru!Tafakari!
 
Wengi wanajifanya hamnazo kwa kuingiza siasa kwenye jambo ambalo liko wazi kabisa. Ushauri wako kwa Kabenera ni kuntu usio na dosari.
kabisa kabisa. namuona M,change hapa katoa ufafanuzi mzuri sana
 
Amini Kabendera ametumiwa sana na wanasiasa na makapuni ya nje. Makala zake nyingi alizoandikia magazeti ya nje, zilikuwa zikitayarishwa na wanasiasa au makampuni hayo naye akizirusha tu.

Usikute wanasiasa kama Zitto walikuwa wakitumia accnt hizo kuingizia pesa wanazolipwa na mabeberu na kuzihamishia mifukoni mwao.
umemaliza kila kitu mzee baba
 
Maelezo marefu sana, sijaona kosa la kimahakama kuhusu kupokea hizo pesa. Kwa hela hizo, faini na fidia bado anabaki na pesa ya kutosha sana! Kama alitakatisha pesa kwa akaunti hizo, mabilioni, mbona mmemtoza 250,000 na 200ml tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
hata mie niliyaona marefu nikataka kluyapuuza. lakini kadri nilivyokuwa nikiyasoma nimekuwa nikielewa na kuelewa

kwenye hili Habibu ametufumbua macho wengi
 
Huyo kijana kichwani hamna kitu na ukitaka kuthibitisha hilo kutana naye na ongea naye ana kwa ana utaona jinsi anavyotoa pumba, sielewi kwanini ZZK alimsaidia sana jamaa huyu katika uchaguzi wa 2015 wakati akijua ana kichwa hoho? Mwaka 2015 alifikiri Kibaha ni wajinga kama yeye na akagombea Ubunge lakini walimwonyesha kuwa hafai sasa tena uchaguzi umekaribia ameanza kunyatanyata taratibu sijui safari hii ataingia kwa chama gani na hatujui jimbo gani atalitumia kukamilisha ndoto zake za alinacha.
point please
 
Acha kusema uongo Kabendera hajakiri mmeona hamna pakutokea mabeberu wamewashika rohoni hamna cha kujitetea kuhusu Kabendera mkajiona mshawekewa vikwazo vingi na misaada ishazuiwa na wengine wameshapigwa block kuhusu kuingia Marekani kwa unyama mnaowafanyia watanzania kuwabambikizia watu kesi kuwapiga risasi kuwateka na wengine kuwatupa baharini mabeberu ushahidi wote wanao kama huamini mwambie makonda akaombe viza aende Marekani kama USA hajaweka mambo hazarani
una hakika na ukinenacho>
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Maelezo marefu sana, sijaona kosa la kimahakama kuhusu kupokea hizo pesa. Kwa hela hizo, faini na fidia bado anabaki na pesa ya kutosha sana! Kama alitakatisha pesa kwa akaunti hizo, mabilioni, mbona mmemtoza 250,000 na 200ml tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuelewane hapa. Kosa la Kabendera ni ukwepaji Kodi, kodi ya malipo halali yaliyoingia kwenye hizo accounts. Na kwa sababu Pesa/kodi ya TRA ameitumia na ameiingiza kwenye mzunguko basi mwingine. "ameitakatisha" sasa ametakiwa alipe kodi hiyo, Fidia ya kukwepa wajibu wa ku declare TRA malipo, faini ya utakatishaji pesa isiyo yake na faini ya kukwepa kodi.
 

Attachments

jd41,
Ninaye colleague wangu kwenye kikosi cha plea bargain. Kaniambia hivi ; Hata sisi tunajuwa kuwa kinachoendelea ni kinyume cha sheria na watuhumiwa wanaonewa, lakini haya ni maagizo toka juu. Usipotekeleza ina maana umejifukuzisha kazi" .

Kwa hiyo unataka sisi tumwamini huyo collegue wako. JF raha sana.
 
Chakaza,
TUHUMA: Erick Kabendera alituhumiwa kwa utakatishaji fedha, kukwepa kodi na kuongoza kikundi cha uhalifu

HUKUMU; kulipa faini TZS 273M (utakatishaji fedha na kukwepa kodi)

Vipi hili kosa la tatu la 'kuongoza kikundi cha uhalifu' ni kikundi gani? Kimetajwa?
Kikundi cha kihalifu ni pamoja na walioshiriki kumpa mpunga pamoja na kumfungulia accounts. Mwenyewe kakubali nyinyi mnapiga filimbi tu hapa na huo mkwanja mnaota hamuwezi kuupata katika Maisha yenu.
 
Kamuamini mumeo!!

Hapo ndipo ulipogota, kwa sababu wewe unategemea mume huwezi kufahamu, issue zikikushinda unakimbilia kwenye matusi, if that helps you to feel better you are welcome.
 
Hapo ndipo ulipogota, kwa sababu wewe unategemea mume huwezi kufahamu, issue zikikushinda unakimbilia kwenye matusi, if that helps you to feel better you are welcome.
Kwani wewe ni mgeni Tanzania? Au umeamua kutumia fuvu la kichwa kubebea nywele tu. Use your gray matter if at all you have some. Kama huwezi kuona udhalimu wanaofanyiwa wakosoaji wa mfumo kandamizi then you are useless to this nation.
 
Kikundi cha kihalifu ni pamoja na walioshiriki kumpa mpunga pamoja na kumfungulia accounts. Mwenyewe kakubali nyinyi mnapiga filimbi tu hapa na huo mkwanja mnaota hamuwezi kuupata katika Maisha yenu.
Swali linakuja akshabu ya kuongoza kikundi cha uhalifu nini? Kwa kuwa tumeona adhabu 2 ya kukwepa kodi na kutakatisha fedha!

Mnashangilia wakandamizaji wa haki za binadamu kwa kuwabandika watu makosa ambayo hawajatenda. Hata shetani anawashangaa
 
Sasa kwa nini wameondoa baadhi ya mashitaka kama kutakatisha fedha na kuongoza genge la kihalifu? Huku si ndio tunasema kubambikiwa kesi?

Haraka za kumbandikia makosa ya urakatishaji fedha na kuongoza genge la uhalifu zilikuwa za nini? Ni afadhali wangeanza na makosa madogo na kisha kurekebisha na kumwekea hayo makosa yasidhaminika.

DPP na polisi wanaichafua serikali. Wasiwasi wa wananchi, wanarakati, watetezi wa haki za binadamu na mabalozi waliopo nchini walikuwa na mashaka na hii kesi kuanzia namna polisi walivyomkamata kama 'watu wasiojulikana' , haya mabadiliko ya mashitaka yanadhihirisha huo 'ubambikizwaji' wa kesi dhidi ya Kabendera.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app

Nadhani una matatizo yako...soma vizuri makubaliano hayo ambayo Kabendera amekiri mwenyewe...soma vizuri....usikimbilie kwa haki za binadamu....kitu hiki hakipo duniani....ukiichezea dola unakwenda na maji...Hakuna cha kubambikiwa hapa.Acha kulia lia...Acha kulalamika pasipo sababu...Uwe objective...Ukweli umewekwa hadharani unataka nini sasa...Heshimuni mamlaka...dola ina mkono mrefu...Wananchi hawakuwa na shaka na hii kesi...wewe na wenzio wachache ndio mliokuwa mkipiga kelele pasipo sababu na mkitaka ukweli uwekwe hadharani...sasa ukweli umewekwa hadharani lakini bado mnapiga kelele....uhaini na usalitini jambo baya sana duniani kote...Nchi nyingine nyingi duniani wasaliti na wahaini hupigwa risasi pasipo huruma...Tanzania hatuna utaratibu na utamaduni huo....
 
Nadhani una matatizo yako...soma vizuri makubaliano hayo ambayo Kabendera amekiri mwenyewe...soma vizuri....usikimbilie kwa haki za binadamu....kitu hiki hakipo duniani....ukiichezea dola unakwenda na maji...Hakuna cha kubambikiwa hapa.Acha kulia lia...Acha kulalamika pasipo sababu...Uwe objective...Ukweli umewekwa hadharani unataka nini sasa...Heshimuni mamlaka...dola ina mkono mrefu...Wananchi hawakuwa na shaka na hii kesi...wewe na wenzio wachache ndio mliokuwa mkipiga kelele pasipo sababu na mkitaka ukweli uwekwe hadharani...sasa ukweli umewekwa hadharani lakini bado mnapiga kelele....uhaini na usalitini jambo baya sana duniani kote...Nchi nyingine nyingi duniani wasaliti na wahaini hupigwa risasi pasipo huruma...Tanzania hatuna utaratibu na utamaduni huo....
Eric Kabendera itakuwa na makosa yeyote bali amenuua uhuru wake ulioporwa na Serikali dhalimu kwa fedha.
 
Eric Kabendera itakuwa na makosa yeyote bali amenuua uhuru wake ulioporwa na Serikali dhalimu kwa fedha.

Amenunua uhuru gani???!!! Nyie watu wa ajabu mno...mkiaminishwa kuwa huyu amenunua uhuru na nyie mnaimba hivyo hivyo kama mlivyokaririshwa...Sometimes you people you have to use your heads....Kabendera amefungua accounts kibao anaingiziwa dollars na pound sterling kutoka kwa hao wanaomtumia...Nyie bado mnasema amenunua uhuru...sawa amenunua uhuru sasa mnataka nini??? Nchi hii ina taratibu zake...

Tanzania ni sovereign state...America nayo ni sovereign state ndiyo maana imeapa kumshughulikia yule jamaa aliyetoa siri za udukuzi...mbona hamsemi huyo jamaa naye anaonewa??? Acheni kupiga kelele ...Hii ni nchi huru...mkianza kupiga kelele sijui nini haki za binadamu sijui mabalozi mtakwenda na maji ...hawawezi kuja kuwasaidia hapa...Ukiitwa na dola nenda kajisalimishe siyo unajifungia ndani na kutamba kuwa eti kuna haki za binadamu...acheni hizo...

Serikali hapori uhuru wa mtu....ila wewe Mtanzania mwenzetu ukieuka na kuanza kuwatumikia watu wa nje na wa ndani against this state lazima utashughulikiwa bila kujali kelele za haki za binadamu...Ukitoa siri za taifa hili kwa wageni wewe ni adui wa taifa hili na tutakushughulikia...
 
Back
Top Bottom