Erick Kabendera ametupa yale tuliyopenda kuyasikia kuhusu Hayati Magufuli; yasitufanye tukashindwa endelea tafuta ukweli

Erick Kabendera ametupa yale tuliyopenda kuyasikia kuhusu Hayati Magufuli; yasitufanye tukashindwa endelea tafuta ukweli

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Ukienda hospital ukiwa unachemka na kichwa kinauma ukiambiwa una malaria unapata relief shida imeonekana.

Ukienda kwa Mganga umefiwa mtoto mkawa mnamuhisi jirani na mganga akawaambia yule jirani asiye na mtoto ndiye kamuondoa mnapata nguvu mbaya wenu kajulikana.

Kitabu cha IN THE NAME OF THE PRESIDENT cha Erick Kabendera kimebeba majibu ya hisia za watu hivyo ni vyema hisia zikawekwa pembeni ni kujiridhisha kuhusu ukweli wake au uongo wake.
 
Pointi yako ni hipi mkuu? Kwahiyo kabendera ndo anajifanya anamjua aliyewahi kuwa mkuu wa nchi kachaguliwa na wananchi kwa kura nyingi awamu ya kwanza alafu awamu ya pili wananchi wakamchagua kwa kura nyingi!!
 
Pointi yako ni hipi mkuu? Kwahiyo kabendera ndo anajifanya anamjua aliyewahi kuwa mkuu wa nchi kachaguliwa na wananchi kwa kura nyingi awamu ya kwanza alafu awamu ya pili wananchi wakamchagua kwa kura nyingi!!
Kuchaguliwa kwa kura nyingi haimaanishi ndio mna mjua kiundani.
Kura ni kama selection cretiris tu, haimaanisha anae pass mna mjua sana
 
Sijakisoma na wala sitakisoma maana tayari kinaonekana kimebeba hisia za mtu ma tayari kimehakisi hasira na hatia za mtunzi wa kitabu.

Yaani ni sawa na unatumga kitabu kisa babako alikuchapa sana ukiwa chini ya himaya yake.

Unaenda huko kijijini kwenu (kwa babako) kwenda kufuatilia maisha yake kisa ni kumchafua sababu "alikuua" kwenye malezi yake, 😂 ahahahah!.

Bado naendelea kujifunza!.
 
Hii kitu ya hiki kitabu imenishangaza sana nadhani Tanzania tuna udumavu mkubwa sana wa akili
"udumavu mkubwa sana wa akili" hili lina ka ukweli kiasi maana watu hawataki kupigania hali zao kama akina Eric na Lissu.
 
Pointi yako ni hipi mkuu? Kwahiyo kabendera ndo anajifanya anamjua aliyewahi kuwa mkuu wa nchi kachaguliwa na wananchi kwa kura nyingi awamu ya kwanza alafu awamu ya pili wananchi wakamchagua kwa kura nyingi!!
We ni muhaya nini! Mana wahaya nfo huwa wanaandika ni hipi badala ya ipi
 
Kabendera amepata kibonde wake , ameamua kujipigia anavyotaka .

Pale MTU aliyekuwa na majiguvu anapogeuka na kuwa punching bag .
 
Hii kitabu inashangaza mpaka sasa kwanini mamlaka hazijachukua hatua, hii ni mbaya sana

Kesho samia akitoka madarakani aatatokea meingine ataandika Samia alimuua Soka na Wenzake kea mikono yake

Imagine?
 
Pointi yako ni hipi mkuu? Kwahiyo kabendera ndo anajifanya anamjua aliyewahi kuwa mkuu wa nchi kachaguliwa na wananchi kwa kura nyingi awamu ya kwanza alafu awamu ya pili wananchi wakamchagua kwa kura nyingi!!
Point yako hapa ni ipi? Kwamba sifa ya mkuu wa nchi 'aliyechaguliwa' na wananchi wengi ni kutojulikana na wanao mchagua?
Au unataka kutwambia wananchi hawapaswi kumjua wanayemchagua kuwa mkuu wa nchi?
 
Pointi yako ni hipi mkuu? Kwahiyo kabendera ndo anajifanya anamjua aliyewahi kuwa mkuu wa nchi kachaguliwa na wananchi kwa kura nyingi awamu ya kwanza alafu awamu ya pili wananchi wakamchagua kwa kura nyingi!!
IN THE NAME OF THE PRESIDENT
 
Back
Top Bottom