Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hata kama ni udikteta,ila hakuna mjinga anaweza kufanya kama alichoandika Erick kwamba alimteka na kumpeleka ikulu na kumpiga risasi mwenyewe...........kwa uelewa wangu dicteta anakuwa na watu wake wanaofanya hivyo movements