Erick Kabendera atoa maoni yake kwa Tume ya Haki Jinai, Adai Mahakimu wa Mahakama wanaiogopa ofisi ya DPP

Erick Kabendera atoa maoni yake kwa Tume ya Haki Jinai, Adai Mahakimu wa Mahakama wanaiogopa ofisi ya DPP

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
1679868967113.png

Picha: Erick Kabendera

Mtanzania aliyekimbia Nchi yake kutokana na kuzorota kwa usalama wake ,kulikochangiwa na watawala, Ndugu Erick Kabendera, ametoa maoni yake kwenye Tume ya haki jinai na kufumua mazito sana .

Kabendera amefichua mbele ya Tume hiyo kwamba , kumbe siku zote Mahakimu huwaogopa waendesha mashitaka kiasi cha kudhulumu haki za Watuhumiwa , yaani hata kama mtuhumiwa ni dhahiri anaonewa hata akiwa Mahakamani, Mh Hakimu hawezi kumsaidia kwa vile anawaogopa waendesha mashitaka , bali hakusema sababu hasa za Mahakimu kuwatetemekea waendesha mashitaka hao .

Pamoja na hilo Kabendera anasema kwa miezi 7 aliyolundikwa gerezani hakuona mahali popote ambapo panaelekeza mtuhumiwa kutoa maoni yake kuhusu utendaji wa Jeshi la Polisi .

Amependekeza kiundwe chombo Maalum cha kupokea malalamiko ya wananchi juu ya utendaji wa Jeshi la Polisi , kumbukeni kwamba hakuna mahali popote ambapo unaweza kupeleka malalamiko ya Utendaji wa Jeshi la polisi bila koneksheni ya viongozi wa CCM.

Mwisho Kabendera ameahidi kurejea Tanzania pale atakapohakikisha kweli kwamba Usalama wake utalindwa .

Chanzo: Azam Media

PIA, SOMA:
-
Mwanahabari Erick Kabendera akamatwa na Polisi nyumbani kwake; yadaiwa anaendelea na Mahojiano
 
DPP anaziendesha sana mahakama mfano Kesi ya Mbowe
Mbowe angekomaa amalize kesi yake mahakamani ili awe huru.

Hii ya DPP kujiondoa kwamba hana nia, DPP mwingine akiingia na rais mwingine Mbowe anafunguliwa mashataka upya.

Mbowe ametumia the easy way out ila kesi yake ya ugaidi iko pale pale.

Mlio karibu Mbowe mashaurini apambane hadi mahakama impe clearance otherwise DPP mwingine ana Rais mwingine wakiingia na wakataka kufufua kesi mbowe atarudishwa rumande kwa ugaidi.
 
Acha upumbavu basi! Alieanzisha kesi yuko kuzimu!
Wewe taahira aliemfungilia kesi Mbowe ni Samia na huyo huyo akaiondoa kesi mahakamani.

Mbowe kesi yake ya ugaidi haijafa, imetulizwa tu.

Na mojawapo ya makubaliano walioingia ni aondolewe kesi akubali masharti. Asipige pige kelele. Kelele ikizidi tu DPP anamrudisha Mbowe jela.

Akiingia rais mwingine na DPP mwingine wakapitia ushahidi, Mbowe anarudi jela.
 
Labda kama mtamfufua shetani wenu wa chatto ndo kesi inaweza kuendelezwa , nje na hapo haitakuja kutokea Tena Rais kichaa kama magufuri. ..
Kwani Magufuli ndio alimfungulia kesi Mbowe? Huyo aliemfungilia kesi sio kichaa?

Mtambue kua jinai haifi isipokua uko cleared na mahakama.

Mbowe akaona achague njia rahisi kuuza haki zake chini ya mwamvuli wa makubaliano. Akiingia DPP na rais mwingine Mbowe anarudi jela.

Hapa ishu ni jinai, sio rais.
 
Kwani Magufuli ndio alimfungulia kesi Mbowe? Huyo aliemfungilia kesi sio kichaa?

Mtambue kua jinai haifi isipokua uko cleared na mahakama.

Mbowe akaona achague njia rahisi kuuza haki zake chini ya mwamvuli wa makubaliano. Akiingia DPP na rais mwingine Mbowe anarudi jela.

Hapa ishu ni jinai, sio rais.
mkuu huyo haelewi hata jinai unapoteza mda
 
Wewe taahira aliemfungilia kesi Mbowe ni Samia na huyo huyo akaiondoa kesi mahakamani.

Mbowe kesi yake ya ugaidi haijafa, imetulizwa tu...

Kesi ya ugaidi ya Mbowe ni ipi hasa?

Kula njama kwenda Morogoro kukata miti msituni kisha kuileta mjini na kuipanga barabarani?Kwako hiyo ndiyo kesi ya ugaidi?

Kesi ya Mbowe ilikua utumbo mtupu.Mama kamfukuza kazi jasusi wa hovyo Diwan Athuman kwa kumshauri vibaya na kesi ya kipuuzi kama ile haiwezi rudi tena labda yule pimbi wa Chato afufuke
 
Kesi ya ugaidi ya Mbowe ni ipi hasa?
Kula njama kwenda Morogoro kukata miti msituni kisha kuileta mjini na kuipanga barabarani?Kwako hiyo ndiyo kesi ya ugaidi?

Kesi ya Mbowe ilikua utumbo mtupu.Mama kamfukuza kazi jasusi wa hovyo Diwan Athuman kwa kumshauri vibaya na kesi ya kipuuzi kama ile haiwezi rudi tena labda yule pimbi wa Chato afufuke
Una iuliza mimi ama waliomfungulia kesi? Kamuulize Samia Kesi ya ugaidi ya Mboqe ni ipi?

Kukusaidia ni kwamba kesi haijafutwa, imeondolewa tu mahakamani. Maana yake hata Samia mwenyewe akijisikia tu anamrudisha Mbowe jela.

Njia pekee mbowe kumalizana na kesi ama kutokua na possibility ya kufunguliwa mashtaka huko mbele ilikua kesi imalizwe na mahakama.

Hii ya kuondoa kesi mahakamani inatumika kum black mail Mbowe, hatasema chochote kibaa kuhusu Samia na hatakua huru maana akiropoka tu akawaudhi wakubwa DPP anae.

Jinai haifi.
 
Una iuliza mimi ama waliomfungulia kesi? Kamuulize Samia Kesi ya ugaidi ya Mboqe ni ipi?

Kukusaidia ni kwamba kesi haijafutwa, imeondolewa tu mahakamani. Maana yake hata Samia mwenyewe akijisikia tu anamrudisha Mbowe jela.

Njia pekee mbowe kumalizana na kesi ama kutokua na possibility ya kufunguliwa mashtaka huko mbele ilikua kesi imalizwe na mahakama.

Hii ya kuondoa kesi mahakamani inatumika kum black mail Mbowe, hatasema chochote kibaa kuhusu Samia na hatakua huru maana akiropoka tu akawaudhi wakubwa DPP anae.

Jinai haifi.
Kumbe kwa kifupi hata Mbowe ni mnufaika wa huruma ya DPP
 
Mbowe angekomaa amalize kesi yake mahakamani ili awe huru.

Hii ya DPP kujiondoa kwamba hana nia, DPP mwingine akiingia na rais mwingine Mbowe anafunguliwa mashataka upya.

Mbowe ametumia the easy way out ila kesi yake ya ugaidi iko pale pale.

Mlio karibu Mbowe mashaurini apambane hadi mahakama impe clearance otherwise DPP mwingine ana Rais mwingine wakiingia na wakataka kufufua kesi mbowe atarudishwa rumande kwa ugaidi.

Rais yupi akiingia ataendelea na hiyo kesi? uongoz wa bongo unaufahamu vizuri hiko kitu hakipo. Hakijawah tokea
By the time mbowe anatoka he was already lost so much, dpp ni opportunity iliyo ji present other wise mpaka leo angekuwa rumande.
 
Wewe taahira aliemfungilia kesi Mbowe ni Samia na huyo huyo akaiondoa kesi mahakamani.

Mbowe kesi yake ya ugaidi haijafa, imetulizwa tu.

Na mojawapo ya makubaliano walioingia ni aondolewe kesi akubali masharti. Asipige pige kelele. Kelele ikizidi tu DPP anamrudisha Mbowe jela.

Akiingia rais mwingine na DPP mwingine wakapitia ushahidi, Mbowe anarudi jela.

Alimfungulia kesi ni samia? How? with reference elezea vizuri?
 
Mbowe angekomaa amalize kesi yake mahakamani ili awe huru.

Hii ya DPP kujiondoa kwamba hana nia, DPP mwingine akiingia na rais mwingine Mbowe anafunguliwa mashataka upya.

Mbowe ametumia the easy way out ila kesi yake ya ugaidi iko pale pale.

Mlio karibu Mbowe mashaurini apambane hadi mahakama impe clearance otherwise DPP mwingine ana Rais mwingine wakiingia na wakataka kufufua kesi mbowe atarudishwa rumande kwa ugaidi.
LABDA KAMA RAIS Atakaye kuja Awe MAGUFULI kwani ktk watanzania Mil.61 Hakuna mtanzania anayefanana na Magufuli kwa Roho Mbaya
 
Mbowe angekomaa amalize kesi yake mahakamani ili awe huru.

Hii ya DPP kujiondoa kwamba hana nia, DPP mwingine akiingia na rais mwingine Mbowe anafunguliwa mashataka upya.

Mbowe ametumia the easy way out ila kesi yake ya ugaidi iko pale pale.

Mlio karibu Mbowe mashaurini apambane hadi mahakama impe clearance otherwise DPP mwingine ana Rais mwingine wakiingia na wakataka kufufua kesi mbowe atarudishwa rumande kwa ugaidi.
Crap from an empty mind.
 
Wewe taahira aliemfungilia kesi Mbowe ni Samia na huyo huyo akaiondoa kesi mahakamani.

Mbowe kesi yake ya ugaidi haijafa, imetulizwa tu.

Na mojawapo ya makubaliano walioingia ni aondolewe kesi akubali masharti. Asipige pige kelele. Kelele ikizidi tu DPP anamrudisha Mbowe jela.

Akiingia rais mwingine na DPP mwingine wakapitia ushahidi, Mbowe anarudi jela.
Jukwaa hili ni kwaajiki ya watu wenye akili timamu. Siyo jukwaa la vioja. Ungetafuta jukwaa la wenzako mnaofanana kwa upeo na uelewa duni.
 
Kwani Magufuli ndio alimfungulia kesi Mbowe? Huyo aliemfungilia kesi sio kichaa?

Mtambue kua jinai haifi isipokua uko cleared na mahakama.

Mbowe akaona achague njia rahisi kuuza haki zake chini ya mwamvuli wa makubaliano. Akiingia DPP na rais mwingine Mbowe anarudi jela.

Hapa ishu ni jinai, sio rais.
Tatizo upeo wako ni mdogo sana, na dhamira yako imekufa.

DPP huondoa kesi pale anapokuwa amejiridhisha hana ushahidi wa kumtia mtuhumiwa hatiani au anapoona hakuna maslahi yoyote hata kama kesi hiyo ikiendelea.
 
Back
Top Bottom