Wale wote hawakuwa majaji bali ni hao TISS ambao marehemu aliwajaza mahakamani ili wawe wanatoa hukumu kwa kadiri ya maelekezo yake.Hivi lile li Jaji linaitwaje la Mbowe? Yako mawili, moja lilianza na kutokomea ghafla na lingine likamalizia. Linaitwaje vile
hujui taratibu za mahakaman wewe, endelea kubweka.Mbowe angekomaa amalize kesi yake mahakamani ili awe huru.
Hii ya DPP kujiondoa kwamba hana nia, DPP mwingine akiingia na rais mwingine Mbowe anafunguliwa mashataka upya.
Mbowe ametumia the easy way out ila kesi yake ya ugaidi iko pale pale.
Mlio karibu Mbowe mashaurini apambane hadi mahakama impe clearance otherwise DPP mwingine ana Rais mwingine wakiingia na wakataka kufufua kesi mbowe atarudishwa rumande kwa ugaidi.
Mjinga unapojifanya una uelewa, unahamia kwenye ujuha.Una iuliza mimi ama waliomfungulia kesi? Kamuulize Samia Kesi ya ugaidi ya Mboqe ni ipi?
Kukusaidia ni kwamba kesi haijafutwa, imeondolewa tu mahakamani. Maana yake hata Samia mwenyewe akijisikia tu anamrudisha Mbowe jela.
Njia pekee mbowe kumalizana na kesi ama kutokua na possibility ya kufunguliwa mashtaka huko mbele ilikua kesi imalizwe na mahakama.
Hii ya kuondoa kesi mahakamani inatumika kum black mail Mbowe, hatasema chochote kibaa kuhusu Samia na hatakua huru maana akiropoka tu akawaudhi wakubwa DPP anae.
Jinai haifi.
wajinga wenu walipata aibu wakaikimbia kesi halafu wewe unabwekabweka kama mpumbavu nenda kamfungulie mbowe kesi upya kama unaweza, wajinga wenzio walipoifuta kesi mbona hukuandamana kupinga ufutwaji, umebaki jinai haifi jinai haifi sasa imekufa na huna cha kufanya.Kwani Magufuli ndio alimfungulia kesi Mbowe? Huyo aliemfungilia kesi sio kichaa?
Mtambue kua jinai haifi isipokua uko cleared na mahakama.
Mbowe akaona achague njia rahisi kuuza haki zake chini ya mwamvuli wa makubaliano. Akiingia DPP na rais mwingine Mbowe anarudi jela.
Hapa ishu ni jinai, sio rais.
unaijua huruma?Kumbe kwa kifupi hata Mbowe ni mnufaika wa huruma ya DPP
Kesi yote ilichorwa kipindi cha shetwani magufuli.Kwani Magufuli ndio alimfungulia kesi Mbowe? Huyo aliemfungilia kesi sio kichaa?
Mtambue kua jinai haifi isipokua uko cleared na mahakama.
Mbowe akaona achague njia rahisi kuuza haki zake chini ya mwamvuli wa makubaliano. Akiingia DPP na rais mwingine Mbowe anarudi jela.
Hapa ishu ni jinai, sio rais.
Ila hayo si maneno aliyosema Rais Samia kuhusu kuondolewa kwa hizo kesi.Tatizo upeo wako ni mdogo sana, na dhamira yako imekufa.
DPP huondoa kesi pale anapokuwa amejiridhisha hana ushahidi wa kumtia mtuhumiwa hatiani au anapoona hakuna maslahi yoyote hata kama kesi hiyo ikiendelea.
Yani wewe ulikuwa unajua kuwa hiyo kesi ya Mbowe ni ya Mchongo tu ila Rais Samia hakuwa akijua na akawa anadanganywa hadi baadaye ndio akaja kujua ukweli? Ni dharau kwa Rais Samia hicho ulichokieleza au pengine unajaribu tu kumtetea.Kesi yote ilichorwa kipindi cha shetwani magufuli.
Samia alipoingia aliaminishwa huo mchongo ni kweli na watu wa magufuli.....baadae anajagundua issue nzima ni set up.
Kwa SAMIA alivyopangua safu ya magufuli ndivyo alivyozidi kupata ukweli
Hapo shetwan ni magufuli
Mwenzie Lema alimuomba Kikwete amuombee kwa Rais Samia ili aweze kurudi nchini.Sikujua bado kuna watu wamekimbia nchi! Haka katakuwa ka project sasa! Mwendazake si amesepa kama Lema anavyosema?
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Sasa kama SAMIA alizungukwa na akina speaker NDUGAI ulitegemea wamwambie nin Rais?Yani wewe ulikuwa unajua kuwa hiyo kesi ya Mbowe ni ya Mchongo tu ila Rais Samia hakuwa akijua na akawa anadanganywa hadi baadaye ndio akaja kujua ukweli? Ni dharau kwa Rais Samia hicho ulichokieleza au pengine unajaribu tu kumtoa kuntetea.
Ndio nasema kuwa umemdharau Rais Samia, kwa sababu kama kesi ya Mbowe ilikuwa ipo wazi kabisa kuwa ni ya mchongo ilikuwaje yeye ashindwe kuona hilo mpaka aje kuambiwa na akina Kinana?Sasa kama SAMIA alizungukwa na akina speaker NDUGAI ulitegemea wamwambie nin Rais?
zaidi ya endeleza ujinga wa magu???
Ujio wa akina kinana umejamsaidia SAMIA kuwa dhahiri.
Yatosha kusema SAMIA yuko muwazi wa moyo, na anejaa utu sio kama like shetwan la chattle
Hujui unachoeleza!!!!Ndio nasema kuwa umemdharau Rais Samia, kwa sababu kama kesi ya Mbowe ilikuwa ipo wazi kabisa kuwa ni ya mchongo ilikuwaje yeye ashindwe kuona hilo mpaka aje kuambiwa na akina Kinana?
Wewe endelea kuamini ujinga.Kesi yote ilichorwa kipindi cha shetwani magufuli.
Samia alipoingia aliaminishwa huo mchongo ni kweli na watu wa magufuli.....baadae anajagundua issue nzima ni set up.
Kwa SAMIA alivyopangua safu ya magufuli ndivyo alivyozidi kupata ukweli
Hapo shetwan ni magufuli
Shida yako ni shule ndogo. Sidhani hata kama ulimaliza darasa la saba.Mjinga unapojifanya una uelewa, unahamia kwenye ujuha.
DPP akishasema hana haja ya kuendelea na kesi, mahakama inaifuta hiyo kesi. Tatizo hamjui chochote, mnajifanya kuelewa.
Mbowe mpaka sasa hana kesi yoyote, kama alikufanyia huo ugaidi wewe, ukamfungulie kesi wewe kuliko kubwabwaja upuuzi.
Ninyi wa uzao wa shetani, mtaendelea kujutia na kutamani kipindi cha uovu kirudi, lakini kamwe haitakuwa. Kilichobakia ni ninyi waovu wa uzao wa shetani kupokea malipo yenu sawasawa na matendo yenu.
Hapana mkuu hili la Rais kushindwa kuelewa vitu vidogo vilivyo wazi na kushauriwa vibaya muda wote naye kushindwa kujua ni suala kubwa sana, kama Magufuli alikuwa anafanya wendawazimu unadhani hiki kinachoendelea kwa Rais Samia kitaitwa nini? Unajua siku akishauriwa uwendawazimu kuzidi wa Magufuli hali itakuaje? Maana yeye upeo wa kupima na kuelewa hana ndio maana tunawalaumu washauri wake.Hujui unachoeleza!!!!
Muhim ni nagufuli yuko mfuu kwa mema.
Muhimu ni Samia kaachana na uwendawazimu wa magu
Secretary kamshinda PhD holder
Tatixo lako ni shule ndogo. Hii ndio shida ya hili jukwaa, unaweza kujikuta unabishana na watu wa memkwahujui taratibu za mahakaman wewe, endelea kubweka kana wajinga wenzio wa sukuma gang na nguruwe wa uvccm.
Nimekwambia wewe shida ni elimu ndogo. DPP anaweza kuondoa kesi kama akiona ushahidi alionao hautoshi, kisha akakurudisha mahakamani hapo hapo kwa kesi hiyo hiyo na ushahidi mpya.Tatizo upeo wako ni mdogo sana, na dhamira yako imekufa.
DPP huondoa kesi pale anapokuwa amejiridhisha hana ushahidi wa kumtia mtuhumiwa hatiani au anapoona hakuna maslahi yoyote hata kama kesi hiyo ikiendelea.
Acha utaahira wewe dada!Kesi yote ilichorwa kipindi cha shetwani magufuli.
Samia alipoingia aliaminishwa huo mchongo ni kweli na watu wa magufuli.....baadae anajagundua issue nzima ni set up.
Kwa SAMIA alivyopangua safu ya magufuli ndivyo alivyozidi kupata ukweli
Hapo shetwan ni magufuli
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kesi ya ugaidi ya Mbowe ni ipi hasa?
Kula njama kwenda Morogoro kukata miti msituni kisha kuileta mjini na kuipanga barabarani?Kwako hiyo ndiyo kesi ya ugaidi?
Kesi ya Mbowe ilikua utumbo mtupu.Mama kamfukuza kazi jasusi wa hovyo Diwan Athuman kwa kumshauri vibaya na kesi ya kipuuzi kama ile haiwezi rudi tena labda yule pimbi wa Chato afufuke