Erick Kabendera atoa maoni yake kwa Tume ya Haki Jinai, Adai Mahakimu wa Mahakama wanaiogopa ofisi ya DPP

hujui taratibu za mahakaman wewe, endelea kubweka.
 
Mjinga unapojifanya una uelewa, unahamia kwenye ujuha.

DPP akishasema hana haja ya kuendelea na kesi, mahakama inaifuta hiyo kesi. Tatizo hamjui chochote, mnajifanya kuelewa.

Mbowe mpaka sasa hana kesi yoyote, kama alikufanyia huo ugaidi wewe, ukamfungulie kesi wewe kuliko kubwabwaja upuuzi.

Ninyi wa uzao wa shetani, mtaendelea kujutia na kutamani kipindi cha uovu kirudi, lakini kamwe haitakuwa. Kilichobakia ni ninyi waovu wa uzao wa shetani kupokea malipo yenu sawasawa na matendo yenu.
 
wajinga wenu walipata aibu wakaikimbia kesi halafu wewe unabwekabweka kama mpumbavu nenda kamfungulie mbowe kesi upya kama unaweza, wajinga wenzio walipoifuta kesi mbona hukuandamana kupinga ufutwaji, umebaki jinai haifi jinai haifi sasa imekufa na huna cha kufanya.
 
Kesi yote ilichorwa kipindi cha shetwani magufuli.
Samia alipoingia aliaminishwa huo mchongo ni kweli na watu wa magufuli.....baadae anajagundua issue nzima ni set up.
Kwa SAMIA alivyopangua safu ya magufuli ndivyo alivyozidi kupata ukweli


Hapo shetwan ni magufuli
 
Tatizo upeo wako ni mdogo sana, na dhamira yako imekufa.

DPP huondoa kesi pale anapokuwa amejiridhisha hana ushahidi wa kumtia mtuhumiwa hatiani au anapoona hakuna maslahi yoyote hata kama kesi hiyo ikiendelea.
Ila hayo si maneno aliyosema Rais Samia kuhusu kuondolewa kwa hizo kesi.
 
Yani wewe ulikuwa unajua kuwa hiyo kesi ya Mbowe ni ya Mchongo tu ila Rais Samia hakuwa akijua na akawa anadanganywa hadi baadaye ndio akaja kujua ukweli? Ni dharau kwa Rais Samia hicho ulichokieleza au pengine unajaribu tu kumtetea.
 
Yani wewe ulikuwa unajua kuwa hiyo kesi ya Mbowe ni ya Mchongo tu ila Rais Samia hakuwa akijua na akawa anadanganywa hadi baadaye ndio akaja kujua ukweli? Ni dharau kwa Rais Samia hicho ulichokieleza au pengine unajaribu tu kumtoa kuntetea.
Sasa kama SAMIA alizungukwa na akina speaker NDUGAI ulitegemea wamwambie nin Rais?
zaidi ya endeleza ujinga wa magu???
Ujio wa akina kinana umejamsaidia SAMIA kuwa dhahiri.

Yatosha kusema SAMIA yuko muwazi wa moyo, na anejaa utu sio kama like shetwan la chattle
 
Ndio nasema kuwa umemdharau Rais Samia, kwa sababu kama kesi ya Mbowe ilikuwa ipo wazi kabisa kuwa ni ya mchongo ilikuwaje yeye ashindwe kuona hilo mpaka aje kuambiwa na akina Kinana?
 
Ndio nasema kuwa umemdharau Rais Samia, kwa sababu kama kesi ya Mbowe ilikuwa ipo wazi kabisa kuwa ni ya mchongo ilikuwaje yeye ashindwe kuona hilo mpaka aje kuambiwa na akina Kinana?
Hujui unachoeleza!!!!
Muhim ni nagufuli yuko mfuu kwa mema.

Muhimu ni Samia kaachana na uwendawazimu wa magu

Secretary kamshinda PhD holder
 
Wewe endelea kuamini ujinga.
 
Shida yako ni shule ndogo. Sidhani hata kama ulimaliza darasa la saba.

Anaepeleka kesi mahakamani ni DPP, iwapo DPP atasema hana nia ya kuendelea na kesi mahakamani inaifuta ila haina maana kwamba DPP ameifuta mashtaka yako, ama hatakushitaki tena na kesi hiyo hiyo siku za mbeleni.
 
Hujui unachoeleza!!!!
Muhim ni nagufuli yuko mfuu kwa mema.

Muhimu ni Samia kaachana na uwendawazimu wa magu

Secretary kamshinda PhD holder
Hapana mkuu hili la Rais kushindwa kuelewa vitu vidogo vilivyo wazi na kushauriwa vibaya muda wote naye kushindwa kujua ni suala kubwa sana, kama Magufuli alikuwa anafanya wendawazimu unadhani hiki kinachoendelea kwa Rais Samia kitaitwa nini? Unajua siku akishauriwa uwendawazimu kuzidi wa Magufuli hali itakuaje? Maana yeye upeo wa kupima na kuelewa hana ndio maana tunawalaumu washauri wake.
 
Tatizo upeo wako ni mdogo sana, na dhamira yako imekufa.

DPP huondoa kesi pale anapokuwa amejiridhisha hana ushahidi wa kumtia mtuhumiwa hatiani au anapoona hakuna maslahi yoyote hata kama kesi hiyo ikiendelea.
Nimekwambia wewe shida ni elimu ndogo. DPP anaweza kuondoa kesi kama akiona ushahidi alionao hautoshi, kisha akakurudisha mahakamani hapo hapo kwa kesi hiyo hiyo na ushahidi mpya.

Ama akaiondoa mahakamani kwa sababu zake tu binafsi hata kama ushahidi upo wa kutosha. Hii haimzuii akijisikia tena kukurudisha mahakamani kwa mashtaka hayo hayo.

Ama akaiondoa mahakamani kwa kukuonya usirudie hilo kosa kama mashehe wa uamsho. Kwamba ukirudia kufanya makosa kama hayo ama yanayofanana na hayo atakurusisha mahakamani, hii inaitwa Nolle Prosequi.

Jitahidi kujielimisha zaidi ili uwe na uwezo wa kujadiliana ukiwa na uelewa wa kutosha.
 
Acha utaahira wewe dada!

Samia wakati huo mchoro unachorwa alikuwa wapi na alikuwa na cheo gani?

Si alikuwa makamu rais?

Asali imewapofusha mmekuwa mazuzu kabisa!

Subirini 2025 ccm iwapelekee moto ndio akili zitawakaa sawa
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…