Erick Kabendera: John Magufuli alifukuzwa Katoke Seminary kutokana na uvutaji bangi, Walimu wake walisema alikuwa na matatizo ya akili

Ushanielewa mkuu? Kwa kina Devotha na Solo. Inawezekana tumekutana hapo.

Sasa wale ndiyo Wasukuma wenyewe.

Siyo hawa wakimbizi wa Burundi wanaojibandika tu Usukuma.
Devotha alikuwa pisi kali sana.
 
Never been msukuma.
 
Yuko na magufuriiiíiiiiiiii forever,bangi ilianzia kwa magufuli? Viongozi wangapi waliwahi kufukuzwa shule wakawa hero baadaye? KABOLOSOKE,kabendera!!!!
 
Tuache na magufuriiiíiiiiiiii forever, viongozi wenye busara unao watukuza walifanya Nini Sasa,nchi ilikuwa imevunda uvundo ,KAFWALUKE
 
Kama alivuta bangi na hatimaye akawa Rais, wewe ambaye hukuvuta bangi uko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…