Erick Kabendera: John Magufuli alifukuzwa Katoke Seminary kutokana na uvutaji bangi, Walimu wake walisema alikuwa na matatizo ya akili

Wapumbavu kweli mnao msema Marehem kwa mabaya yake ngojen na nyie siku mkifa na ss tuseme mabaya yenu ila all in all Mwenda zake alisema "mtanikumbuka tena mtanisema kwa mabaya sababu wengi hawapendi ninachofanya kwa kasi" , ila sishangai hata nani afe iwe mzee wa msoga, Mama wa kilemba na au mtu yyte mkubwa wabongo lazima watamsema tuu , mwanasiasa ana Asili ya (UNAFIKI) na pia Binadam ana aslil ya kusahau mema , na binadam hata iweje ataongea tuu ....
 
Sidhani kama ana ubavu wa kupambana na familia ya magu Bado ni mdudu mdogo.
 
Kusema ukweli kuhusu PhD ya mchongo ya yule kichaa ni makosa!? Mbona yeye aliwafukuza kazi watu kwa vyeti vya mchongo!? Mbwa yule ana bahati alipata Urais ila hakustahili hata kuongoza familia yake tu mwenyewe.
MAGUFURI,
Is G.O.A.T

Watu Wana washwa kwenye kila tundu mwilini wakisikia jina JPM linatajwaa..
 
Ila mwamba ameachia mkosi familia yake.Alikuwa na mambo ya kipumbavu sana mbwa huyu .
 
Kaa la moto aisee. Kabendera huyu Mungu anamuona kutukumbusha mbali , ila damu ya mtu nzito sana ,damu ya Ben Saanane bado inamlilia aliyeimwaga mpaka leo ?
 
Nimesoma kichwa cha habari nimetafakari sana.
 
Kumbe tutajua yote

Kabisa.
Ukweli unatabia ya kujidhihirisha wenyewe bila msaada wa watu.
Ukweli hujitetea wenyewe.
Huwaga ni swala la muda tu lakini ukishafika kila kitu huwa dhahiri shahiri.
Inasikitisha mno .
 
Sasa kuvuta bangi ni kitu cha ajabu?
Mbona hata Samia tunavuta nae?
 
Kusema ukweli kuhusu PhD ya mchongo ya yule kichaa ni makosa!? Mbona yeye aliwafukuza kazi watu kwa vyeti vya mchongo!? Mbwa yule ana bahati alipata Urais ila hakustahili hata kuongoza familia yake tu mwenyewe.
Wewe tunakujua ni vyeti feki na ulitumbuliwa.
 
Nasubiri sana kuusikia mtazamo wa Profesa Issa Shivji juu ya hichi kitabu cha Kabendera.

Na sababu yangu kuu ni kuwa Profesa alikuwa ni mtu wa kwanza kuchapa andiko lililoongelea hali wakati wa Hayati Magufuli. Na alitema nyongo kadiri ya utashi na taarifa zake.
 
Shule si muhimu kwenye kuchambua mambo!.

Kwenye comment yangu nimeandika Magu alikuwa na karama ya uongozi?.

Surely JF imepoteza great thinker and now we've like you cheap thinker!.

"kharagabao mzungu wa heri"
 
Mwana nilijua tu lazima ataihusisha bangi kwenye kitabu chake .wanatukosea sana wavuta bangi .Kabendera tutake radhi wavuta bangi hatuvai pajama na kupiga risas za kichwa.
 
Wewe ndio Msukuma ambae hujui Magufuli katoka ukoo gani.

Jiongelee mwenyewe.
Hayo maoabila yenu yenyewe ni fiction ya manufactured reality tu.

Watu wengi ambao hawajafanya DNA tests hata hawajui baba zao ni kina nani kwa uhakika, lakini wanajibandika makabila kwa uhakika.

It's just a convenient narrative.
 

Jibuni hoja sio matusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…