Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Basi na wewe usimkosoe Farao kwa kuwatesa wana wa Israel kwa sababu tayari alisha kufa. Huna hoja mkuu. Mtu kama alifanya uovu, uovu wake lazima uanikwe kwa faida ya vizazi vijavyo
 
Usalama wa taifa mko wapi mpaka kitabu chenye madai mazito kama hayo tena kwa mtu mwenye cheo cha rais mnaruhusu kiuzwe?


Ipo siku, mh rais atakuja kuulizwa maswali kuhusu jambo hili na vyombo vya habari vya kimataita tena akiwa kwenye angle mbaya na atapata kigugumizi kulijibu. Trust me, Ni ishu ya muda tu.
 
Yanga omary
 
Basi na wewe usimkosoe Farao kwa kuwatesa wana wa Israel kwa sababu tayari alisha kufa. Huna hoja mkuu. Mtu kama alifanya uovu, uovu wake lazima uanikwe kwa faida ya vizazi vijavyo
Huo uovu ukiwa wa kweli hakuna mtu atapinga...

Sasa hii tarifa inaaminika vipi bila ushahidi?

Hatukatai huenda ni kweli lakini fact hulindwa na evidence.
 

Kwa wanaomjua JIWE hilo tukio kwake ni dogo sana.
 
Usalama wa taifa mko wapi mpaka kitabu chenye madai kama hayo mnaruhusu kiuzwe?

Ipo siku, mh rais atakuja kuulizwa swali hili na vyombo vya habari vya kimataita tena akiwa kwenye angle mbaya na atapata kigugumizi kulijibu. Trust me.
Huko Kimataifa vitabu kama hivi vipo vya kutosha.
 
Ndio maana alilia aungamishwe na kadinali maana dhambi zake kusamehewa hata na askofu aliona hatoshi...
 
Aisee huyu kabendera ndiyo anaandika uongo kiasi hiki, jinga sana. Uzuri mavuno ni hapa hapa duniani. Mungu atamlipia kwa huu uongo wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…