Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Hawezi kukamatwa maana kabla ya kitabu hicho, kuna kingine cha uongo kipo mtaani kinaitwa the state.Nadhani kabendera akamatwe na kuhojiwa
Lakini inaweza kuwa sio kweli au ikawa kweliKwa wanaomjua JIWE hilo tukio kwake ni dogo sana.
Kama unacho sema Kabendera ni kweli na kweli tupu, wewe ni Shahidi namba moja. Why you kept quiet this long?Nanukuu......
Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, @kabsjourno kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.
View attachment 3189981View attachment 3189980
Ukishakuwa Kiongozi wa Serikali basi automatically unakuwa ni Mali ya umma (public property),Picha ya Mh kumbe mtu yoyote ana weza itumia popote
Mkuu,Dah ila ni kweli kua wabongo wengi tuna akili ndogo kias hiki..yaani wat kutoka nje waje nchi wamteke mfanya biashara number 1 nchi hii asubuhi na mapema wakae nae zaid ya masaa ishirini na nne humu humu ndani..then wamalizane nae wakamtupe bila kujulikana Wala kukamatwa mhusika ata Mmoja,..
Bro ebu tuheshimiane basi.
Hapa unataka kuniambia kumbe Lissu pia alipigwa risasi na Magufuli maana ndio tunachojadili hapa!Waliofanyiwa ndiyo wanajua ,mmoja wapo ni LISSU.
Mwili wa Lissu ni matundu matupu.......Order ilitoka kwa JIWE.
Leopold Lwajabe.....Alikataa kutoa pesa zikatumike ndivyo sivyo.
Ni cha huyo huyo kabendera? Ila jamaa jinga sana. Yaani anadhani watanzania wajinga kiasi hicho? Sema basi tu ila inauma sana mnapokuwa na wanafiki ktk taifa ambao kwao ni furaha kuona akinamama wanakufa hospital kwa sababu ya kukosa huduma kisa kuna mjinga kala rushwa. Yaani I wish ningekuwa rais basi tu.Hawezi kukamatwa maana kabla ya kitabu hicho, kuna kingine cha uongo kipo mtaani kinaitwa the state.
Ila dunia hii ngumu sana. Hivi unamuua mtu kwa maneno tu aliyosema ambayo hayakupunguzii hata unywele mmoja katika kichwa chako🤔🤔🤔🤔🤔.Nanukuu......
Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, @kabsjourno kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.
View attachment 3189981View attachment 3189980
Nakuunga mkono. Utawala wa mwendakuzimu ulikuwa wa kikatili mno. Mtu kama Sabaya ana maovu mengi ambayo hayakufika kwenye media ila cha kushangaza ndo alikuwa miongoni mwa vijana pendwa wa mwendakuzimu.Hakuna aya yoyote kwenye vitabu vya Mungu iliyoagiza tumsamehe Shetani
Chief,huyo unaemzungumzia hata umtukane vp hawez amka aje ajibu shitaka sasa ya nin kubishana na mtu mfu,are you serious na maisha chief,yan una mlaumu ili iweje, for what extent,ifike mahali tuwaze mawazo yaliyo haiBasi na wewe usimkosoe Farao kwa kuwatesa wana wa Israel kwa sababu tayari alisha kufa. Huna hoja mkuu. Mtu kama alifanya uovu, uovu wake lazima uanikwe kwa faida ya vizazi vijavyo
Mkuu iko hivi serikali hasa ya Dkt Magufuli ilikuwa haihusiki kabisa na utekaji. Kilichotokea ni maji kwa maji kuchanganyikana. Yaani kuna mfumo ndani ya mfumo uliotumika na msoga kuhakikisha unafanya vitu vya kuua na kuteka ila vipo ndani ya mfumo. Uzuri mpaka sasa wengi wao wameondolewa. Ndiyo hiyo unaona hata Dkt Samia wanamfanyia huo mtindo ili kumchafuaMkuu,
Zaidi ya hapo, hiyo si isolated incident. Kwa tuliopata ugumu kuamini hiyo habari awali tulikuwa na excuse, hizo habari zilikuwa nadra kusikika, ngumu kuaminika.
Sasa hivi tumeshaona pattern inayoonesha kuwa serikali kuhusika kwenye kuteka si jambo la ajabu.
Logically naweza kumsamehe mtu akiyeona ike habari serikali haiwezi kuhusika siku zike, lakini kwa sasa kuna pattern kabisa imejionesha serikali kuhusika na utekaji, hivyo ile habari tukiiangakia upya kutokana na pattern hii inaaminika zaidi kuwa huenda serikali ilihusika.
Eti..........???!!???Balaa..wanadai ilipofika zamu,alimwaga samadi si mchezo,'kila nafsi itaonja mauti'-quran
Na Sasa Lisu anaanza kulipa matusi aliyomtukana mwamba na kipenzi Cha watanzania JPMKila Ubaya utalipwa
Watu wakubwa hawaui kwa mkono yao wenyewe. Their subordinates do the work.Hiyo ndo UBAYA UBWELA sasa Jiwe mwenyewe yuko wapi. Nadhani kabla hajafa huyo Jiwe ile picha ya hilo tendo ilikuwa inamjia
Kweli.Kila uongozi una mabaya na mazuri yake
Mtu kukosa ushahidi wa kuthibitisha kitu kimetokea hakukupi wewe uhakika wowote zaidi ya uhakika kuwa huyo mtu hana ushahidi.Nasema nina uhakika kwa sababu hana ushahidi mwingine wa kuaminisha watu kuhusu allegation aliyoitoa kwa Magu...
Mtu mwenye akili isiyo fikiri kimantiki ni rahisi kuamini ni kweli Magufuli alimuua Ben kwa kuangalia picha ya cover tu...
Hapana am the state kiliandikwa na yule jamaa wa gazeti la mawio kipindi hicho.Ni cha huyo huyo kabendera? Ila jamaa jinga sana. Yaani anadhani watanzania wajinga kiasi hicho? Sema basi tu ila inauma sana mnapokuwa na wanafiki ktk taifa ambao kwao ni furaha kuona akinamama wanakufa hospital kwa sababu ya kukosa huduma kisa kuna mjinga kala rushwa. Yaani I wish ningekuwa rais basi tu.