Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Nanukuu......
Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, @kabsjourno kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.

View attachment 3189981View attachment 3189980
Kama unacho sema Kabendera ni kweli na kweli tupu, wewe ni Shahidi namba moja. Why you kept quiet this long?
 
Dah ila ni kweli kua wabongo wengi tuna akili ndogo kias hiki..yaani wat kutoka nje waje nchi wamteke mfanya biashara number 1 nchi hii asubuhi na mapema wakae nae zaid ya masaa ishirini na nne humu humu ndani..then wamalizane nae wakamtupe bila kujulikana Wala kukamatwa mhusika ata Mmoja,..
Bro ebu tuheshimiane basi.
Mkuu,

Zaidi ya hapo, hiyo si isolated incident. Kwa tuliopata ugumu kuamini hiyo habari awali tulikuwa na excuse, hizo habari zilikuwa nadra kusikika, ngumu kuaminika.

Sasa hivi tumeshaona pattern inayoonesha kuwa serikali kuhusika kwenye kuteka si jambo la ajabu.

Logically naweza kumsamehe mtu akiyeona ike habari serikali haiwezi kuhusika siku zike, lakini kwa sasa kuna pattern kabisa imejionesha serikali kuhusika na utekaji, hivyo ile habari tukiiangakia upya kutokana na pattern hii inaaminika zaidi kuwa huenda serikali ilihusika.
 
Hawezi kukamatwa maana kabla ya kitabu hicho, kuna kingine cha uongo kipo mtaani kinaitwa the state.
Ni cha huyo huyo kabendera? Ila jamaa jinga sana. Yaani anadhani watanzania wajinga kiasi hicho? Sema basi tu ila inauma sana mnapokuwa na wanafiki ktk taifa ambao kwao ni furaha kuona akinamama wanakufa hospital kwa sababu ya kukosa huduma kisa kuna mjinga kala rushwa. Yaani I wish ningekuwa rais basi tu.
 
Nanukuu......
Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, @kabsjourno kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.

View attachment 3189981View attachment 3189980
Ila dunia hii ngumu sana. Hivi unamuua mtu kwa maneno tu aliyosema ambayo hayakupunguzii hata unywele mmoja katika kichwa chako🤔🤔🤔🤔🤔.
 
Basi na wewe usimkosoe Farao kwa kuwatesa wana wa Israel kwa sababu tayari alisha kufa. Huna hoja mkuu. Mtu kama alifanya uovu, uovu wake lazima uanikwe kwa faida ya vizazi vijavyo
Chief,huyo unaemzungumzia hata umtukane vp hawez amka aje ajibu shitaka sasa ya nin kubishana na mtu mfu,are you serious na maisha chief,yan una mlaumu ili iweje, for what extent,ifike mahali tuwaze mawazo yaliyo hai
 
Mkuu,

Zaidi ya hapo, hiyo si isolated incident. Kwa tuliopata ugumu kuamini hiyo habari awali tulikuwa na excuse, hizo habari zilikuwa nadra kusikika, ngumu kuaminika.

Sasa hivi tumeshaona pattern inayoonesha kuwa serikali kuhusika kwenye kuteka si jambo la ajabu.

Logically naweza kumsamehe mtu akiyeona ike habari serikali haiwezi kuhusika siku zike, lakini kwa sasa kuna pattern kabisa imejionesha serikali kuhusika na utekaji, hivyo ile habari tukiiangakia upya kutokana na pattern hii inaaminika zaidi kuwa huenda serikali ilihusika.
Mkuu iko hivi serikali hasa ya Dkt Magufuli ilikuwa haihusiki kabisa na utekaji. Kilichotokea ni maji kwa maji kuchanganyikana. Yaani kuna mfumo ndani ya mfumo uliotumika na msoga kuhakikisha unafanya vitu vya kuua na kuteka ila vipo ndani ya mfumo. Uzuri mpaka sasa wengi wao wameondolewa. Ndiyo hiyo unaona hata Dkt Samia wanamfanyia huo mtindo ili kumchafua
 
Nasema nina uhakika kwa sababu hana ushahidi mwingine wa kuaminisha watu kuhusu allegation aliyoitoa kwa Magu...

Mtu mwenye akili isiyo fikiri kimantiki ni rahisi kuamini ni kweli Magufuli alimuua Ben kwa kuangalia picha ya cover tu...
Mtu kukosa ushahidi wa kuthibitisha kitu kimetokea hakukupi wewe uhakika wowote zaidi ya uhakika kuwa huyo mtu hana ushahidi.

Kutokuwepo kwa ushahidi wa kitu kuwepo si ushahidi wa kitu hicho kutokuwepo.

Rudia kusoma uelewe vizuri.

Kutokuwepo kwa ushahidi wa kitu kuwepo si ushahidi wa kitu hicho kutokuwepo.

Usichanganye mawili haya.

Mfano, Kabendera akisema Magufuki kamuua Saanane kwa mkono wake, akakosa ushahidi kuthibitisha hilo, wewe huna uhakika wowote zaidi ya kuwa huyu mtu hajatoa ushahidi.

1. Huna uhakika Magufuli kaua.
2. Huna uhakika Magufuli hajaua.
3. Huna uhakika Kabendera anadanganya, inawezekana kaghafilika tu.
4. Huna hata uhakika kuwa Kabendera hana ushahidi, inawezekana anao hajautoa tu. Kabendera kutotoa ushahidi haimaanishi hananushahidi, inawezekana ana ushahidi lakini anazuiwa na maadiki ya uandishi kutoa ushahidi. Waandishi wana miiko ya kulinda vyanzo vyao.

Inaonekana unalichukukia neno "uhakika" kirahisi sana na hulielewi.
 
Ni cha huyo huyo kabendera? Ila jamaa jinga sana. Yaani anadhani watanzania wajinga kiasi hicho? Sema basi tu ila inauma sana mnapokuwa na wanafiki ktk taifa ambao kwao ni furaha kuona akinamama wanakufa hospital kwa sababu ya kukosa huduma kisa kuna mjinga kala rushwa. Yaani I wish ningekuwa rais basi tu.
Hapana am the state kiliandikwa na yule jamaa wa gazeti la mawio kipindi hicho.
 
Back
Top Bottom