Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Sio swala la chuki hapo tatizo mtu akikosoa mamlaka hii nchi basi uwa anapachikwa jina la kibaraka..

Hapo huyo mwandishi amemtuhumu aliyekuwa rais wa nchi yetu na mimi sioni tatizo maana alikuwa binadamu na inawezekana alikuwa na mapungufu pia ambayo baadhi ya watu waliyaona maan walipata madhira mbalimbali.

Sasa kama serikali inataka kumtetea mwenda zake basi utaratibu ufuatwe sio kuanza kumwita mtu msaliti sijui katumwa na maadui wa nchi..

Maadui gani hao ilhali nchi yenyewe nusu ya budget ni misaada kutoka nje huo uadui ni upi hasa sisi km tuta battle basi kaa ukijua ni ku battle na nchi jirani tu hapo kenya , uganda rwanda hao ndio saizi zetu tofauti na hapo ni kujidharirisha.

Nchi yetu ni changa mno na tunajitafuta karibu kwenye kila nyanja.
Alafu muda mwingine tutue common sense.
Kabendera kaandika kuwa kaambiwa.
Sasa mambo ya kimbeya anakuja kutuletea sisi??
 
Nina swali moja dogo kwako, Ben Saanane amepotea kweli au uongo?.

Unajua kilimtokea nini?.
EK ni mwandishi wa IJ, amefanya IJ yake akaandika kitabu, unless kama unakijua kilichompata Ben Saanane, huna moral authority kumkosoa EK!. Erick Kabendera: Will I be safe or I may end in the prison tomorrow?

P
Huyo ni mpuuzi mmoja tu.

Yaani anatulazimisha nchi nzima tuziamini TRUSTED SOURCE ZAKE??

sio nchi tu bali ni Dunia nzima.

Hivi kweli mkuu pale magogoni mtu auwawe na isijulikane mpaka aje atuambie Kabendera???

Please.
 
Tanzania iliyotajwa hapa unaweza ukahisi ni China. Anakuambia inakua kiuchumi.

Mpelekeni mahakamani huyo mwandishi akatoe ushahidi, wasiwasi wa nini?
 
Huyo ni mpuuzi mmoja tu.

Yaani anatulazimisha nchi nzima tuziamini TRUSTED SOURCE ZAKE??

sio nchi tu bali ni Dunia nzima.

Hivi kweli mkuu pale magogoni mtu auwawe na isijulikane mpaka aje atuambie Kabendera???

Please.
Wewe ni wale wa kilichokuwa "kikosi maalumu cha mwendazake cha kuua na kutesa", au siyo..?

Mbona unabweka tu bila hoja...?

Huamini "Trusted sources" zake?

Kwani "kutoamini kwako" kunaondoa ukweli wa tukio kuwa lilitokea..?

Swali rahisi kwako ni hili:

KWANI BEN SANANE YUKO WAPI? KILIMTOKEA NINI MAANA ALICHUKULIWA NA VYOMBO VYA DOLA VYA SERIKALI KAMA TU ILIVYOKUWA KWA MZEE ALLY KIBAO, KINA DEUS SOKA NA WENGINE NA MPAKA HAONEKANI..?

Show us, whare is Ben Sanane ili tumpuuze Erick Kabendera..!

Otherwise, acha kuwa mjinga. Kuwa mwerevu, tumia akili yako vyema kuchakata taarifa badala ya kubweka tu kama mbwa koko asiye na madhara..!
 
Wewe ni wale wa kilichokuwa "kikosi maalumu cha mwendazake cha kuua na kutesa", au siyo..?

Mbona unabweka tu bila hoja...?

Huamini "Trusted sources" zake?

Kwani "kutoamini kwako" kunaondoa ukweli wa tukio kuwa lilitokea..?

Swali rahisi kwako ni hili:

KWANI BEN SANANE YUKO WAPI? KILIMTOKEA NINI MAANA ALICHUKULIWA NA VYOMBO VYA DOLA VYA SERIKALI KAMA TU ILIVYOKUWA KWA MZEE ALLY KIBAO, KINA DEUS SOKA NA WENGINE NA MPAKA HAONEKANI..?

Show us, whare is Ben Sanane ili tumpuuze Erick Kabendera..!

Otherwise, acha kuwa mjinga. Kuwa mwerevu, tumia akili yako vyema kuchakata taarifa badala ya kubweka tu kama mbwa koko asiye na madhara..!
Anayebweka ni huyo kabendera pamoja na WeWe.

Msomi gani anaandika kitabu kwa stori za kuambiwa??

Hili ni andilo la PHD au ujinga tu kama mwingine??
 
Lengo sio Magufuli bali ni Tanzania.


Kwa ujumla wake Tanzania inakuwa sana kiuchumi.

Sasa hilo ni tishio kwa nchi mahasimu.

Moja ya njia wanayotumia ni kuharibu sifa ya nchi.

Na Magufuli ni kama sababu tu.

Ila maadui wa nchi wako busy kuhakikisha hatuwapiti kiuchumi kuja kuwa super power.
Kabendera ana bahati ingekuwa nchi za waislamu kama syria watu wangemtafuta wakajitoa muhanga kwa ujinga wake. Yaani sasa tunawaza namna ya kuongoza east africa kwa uchumi halafu kuna mjinga mjinga anaanza kuleta ujinga wa kudhihaki mamlaka ya rais ambao ndiyo ngao yetu kama taifa. Yaani tubanane kwenye hoja ila siyo kudharau mamlaka ya rais. Mamlaka ya rais tukiruhusu idharauriwe matokeo yake ni kama Burundi na Congo na yaliyotokea Rwanda au Uganda. Mamlaka ya rais inapaswa kulindwa kwa gharama yeyote na iheshimike. Amani yetu ni kwa sababu ya uimara wa taasisi ya urais na rais mwenyewe. Leo hii anatokea mjinga tu kisa anajua kuandika anaaza kudhihaki mamlaka ya rais, inakera sana. Kabendera n mjinga sana na hana akili kabisa, hana tofauti na ayatola zito aliyesema wanaompenda Dkt Magufuli eti waende kwenye kabuli chato, very idiot ayatola zito
 
Lengo sio Magufuli bali ni Tanzania.


Kwa ujumla wake Tanzania inakuwa sana kiuchumi.

Sasa hilo ni tishio kwa nchi mahasimu.

Moja ya njia wanayotumia ni kuharibu sifa ya nchi.

Na Magufuli ni kama sababu tu.

Ila maadui wa nchi wako busy kuhakikisha hatuwapiti kiuchumi kuja kuwa super power.
Hebu tusikie maoni ya
Lucas Mwashambwa na FaizaFoxy kabala hatumwomba Mshana Jr na Mamndenyi
 
Anayebweka ni huyo kabendera pamoja na WeWe.
Ni wewe unayebweka...

Sisi tunafikiri na kuchakata kila tunalosikia...
Msomi gani anaandika kitabu kwa stori za kuambiwa??
Rais Samia Suluhu Hassan aliambiwaga eti Dr Slaa na CHADEMA walikutanaga hotel fulani Arusha kupanga kupindua serikali yake kwa maandamano na yeye akatokeza kwenye TV kutangaza huo uongo..

Sasa jiulize hili kwanza, kuwa, tuna Rais gani huyu wa kusema stori za kuambiwa..?
 
Lengo sio Magufuli bali ni Tanzania.


Kwa ujumla wake Tanzania inakuwa sana kiuchumi.

Sasa hilo ni tishio kwa nchi mahasimu.

Moja ya njia wanayotumia ni kuharibu sifa ya nchi.

Na Magufuli ni kama sababu tu.

Ila maadui wa nchi wako busy kuhakikisha hatuwapiti kiuchumi kuja kuwa super power.
Mpelekeni Kabendera mahakamani.
 
Lengo sio Magufuli bali ni Tanzania.


Kwa ujumla wake Tanzania inakuwa sana kiuchumi.

Sasa hilo ni tishio kwa nchi mahasimu.

Moja ya njia wanayotumia ni kuharibu sifa ya nchi.

Na Magufuli ni kama sababu tu.

Ila maadui wa nchi wako busy kuhakikisha hatuwapiti kiuchumi kuja kuwa super power.
Kwa hiyo na wewe mbun'go wa malale umeshajifunza kiingereza kwa muda huu mfupi na kumaliza kusoma kitabu chote au ...
Hebu weka tafsiri ya kitabu chote hapa ....
 
Mimi nadhani kuna mambo tuyaache kama yalivyo kwakuwa marehem hawezi kufufuka akaja kujitetea na mpaka kitabu kinatoka mamlaka zilikipitia nakuruhusu. Naomba wasiache kuruhusu na mambo yao yakaandikwa wazi baada yakututoka ili kuweka usawa. Ninachokijuwa nguvu kubwa inatumika kuuwa legacy ya huyu baba JPM je sisi ni nani
Pili wasijitoe better wakumbuke baada ya Magufuli kuondoka watu bado wanatekwa na kupotea je wapo wapi je ina maana Rais anahusika? Kama hausiki why Magufuli? Well yote majibu yatatoka kwa Mungu mwenyewe. Hamuwezi angaika na marehem kiasi hiki mkawa salama karma itawajibu huu Mwaka wa haki 2025

"Draft inaisha mwaka huu" "Mwl akifanikiwa kushinda ataleta mabadiliko, akishindwa atakuwa kiongozi wa kawaida sana" says the Lord of host, I am who I am is His name...

But I said, say and will say to decree this; Tanzania njema ni a must project, liwake jua inyeshe mvua, it's done since 2012...Ushered as from 2015, was interrupted somehow but soon will be rekindled; In Jesus name I re-ignite the light, AMEN!
 
Anayebweka ni huyo kabendera pamoja na WeWe.

Msomi gani anaandika kitabu kwa stori za kuambiwa??

Hili ni andilo la PHD au ujinga tu kama mwingine??
Kwa hiyo ulitaka aandike stories za kutunga ndiyo uone yuko sahihi? Kazi ya Uandishi wa Habari ni kukusanya habari, anakusanyaje bila kuambiwa na vyanzo, kisha akazikamilisha habari?

Ova
 
Jamaa akapata fursa ya kutokea kwa kuandika kitabu. Mbona wanaopotezwa na serikali za dunia hii ni wengi kabisa,magufuli hajaua hata watu buku. Wengine akina Stalin mao ze.dong waliua mamilioni
1000 wachache angekuuwa wewe au mkeo
 
Back
Top Bottom