Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Itaje hapa mikoa ya Waislam au ngoja nikusaidie
1. Lindi
2. Mtwara
3. Kigoma/Ujiji
4. Tabora
5. Pwani
Najua utakimbilia Dar ila kwa taarifa yako Dar imejengwa na wageni na hata sasa idadi ya Wakristo na waislam Dar huenda ikawa sswa na angalia hadhi ya maeneo wanayoishi wasilam wengi ( Mbagala, Kigogo, Magomeni, Tandika/Temeke stereo, Chanika, nk) ulinganishe na maeneo ya wakristo wengi (Mbezi beach, Oysterbay, Goba, Mbezi ya Kimara n.k)

Wakiristo si mnakula share kubwa zaidi ya keki ya Taifa!
 
Nimependa sana maelezo haya....Natamani sana ningelisoma hili katika synthesis stage....ila nimekuelewa sana.. (ulivyoanza nilijua unaanza mambo yako ya sijui nini nini fallacy😂😂😂,huwa unanichanganya)
Unajua mambo mengine ukiyapa majina haya ya fallacy sijui thesis, antithesis, sythesis, yanachanganya watu bila sababu.

Natamani Kiswahili kingekuwa na maneno rahisi yanayojulikana kuelezea, ila mara nyingine Kiswahili ndiyo kinachanganya zaidi.
 
Unalenga watu using wajua ama wanaokujua zaidi ya unavyo wafahamu?,that man was a real lucifer, he hired witchdoctors and gave them accommodation and other services in the state house and paid themjust to deal with his opponents,,,hujui tuliza.
Ni raisi gani hatumii uchawi hapo ikulu?

Unafiki unawasaidia nini?
 
Kipindi cha Magu hakuna mwenye utimamu wa akili aliyepinga utawala ule wa kiimla ,ama taasisi zilizokuwa zikitetea justice ama uhuru wa Habari na ulinzi wa taarifa ilibaki salama.

JF yenyewe ilipitia misukosuko sio poaa wakimlazimisha Max atoe taarifa za watu,baada ya kukaza wakamfungulia makes kibao,Max Kisutu ilikuwa kama ghetto tu, haikutosha wakajaribu kufungia akaunti zote za taasisi, JF ikalazimika kupunguza wafanyakazi almost nusu, ili kubana matumizi,Max ikabibi Apunguzi mawakili aanze kujitetea mwenyewe kuukabili ukata, that dude was a lucifer typically.,halafu unakuja unasemasema tu kumtetea
 
Kipindi cha Magu hakuna mwenye utimamu wa akili aliyepinga utawala ule wa kiimla ,ama taasisi zilizokuwa zikitetea justice ama uhuru wa Habari na ulinzi wa taarifa ilibaki salama.

JF yenyewe ilipitia misukosuko sio poaa wakimlazimisha Max atoe taarifa za watu,baada ya kukaza wakamfungulia makes kibao,Max Kisutu ilikuwa kama ghetto tu, haikutosha wakajaribu kufungia akaunti zote za taasisi, JF ikalazimika kupunguza wafanyakazi almost nusu, ili kubana matumizi,Max ikabibi Apunguzi mawakili aanze kujitetea mwenyewe kuukabili ukata, that dude was a lucifer typically.,halafu unakuja unasemasema tu kumtetea
Sasa hivi mambo safi sio!

Watu hawabambikiwi kesi wala kuuwawa sio?
 
Za chini chini zinasema huyo kijana alipigwa risasi na vijana wa aliyekuwa mkuu wa mkoa pendwa enzi za magufuli, kisha mwili wake ukatumbukizwa kwenye pipa la sulfuric acid na kuyeyuka wote na hiyo haikuwa amri ya magufuli, na wala hakuwa mbaya kama watu wanavyotaka kutuaminisha mbaya wa nchi anajulikana ila watu wanajitoa ufahamu tu
Kungekuwa na namna serikali ingetoa ufafanuzi hata kama hauna ukweli ila kuna kuwepo na kauli ya serikali kuhusu jambo au tukio fulani kenye utata kama hili la kupotea kwa ndugu huyu.

Ile serikali iliyo kuwepo hakuna namna ingejitenga na hili tukio.
 
Back
Top Bottom