Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Picha ya mwangosi akipigwa bomu ziliwekwa mitandaoni na magazetini uliziona?
daah ile picha sio kabisa ilimuonesha ffu ameshika kichwa kapigwa butwaa haamini kama anachoshuhudia ni utumbo wa binadam mtu mzima umetapakaa chini yan sio poa kabisa
 
Za chini chini zinasema huyo kijana alipigwa risasi na vijana wa aliyekuwa mkuu wa mkoa pendwa enzi za magufuli, kisha mwili wake ukatumbukizwa kwenye pipa la sulfuric acid na kuyeyuka wote na hiyo haikuwa amri ya magufuli, na wala hakuwa mbaya kama watu wanavyotaka kutuaminisha mbaya wa nchi anajulikana ila watu wanajitoa ufahamu tu
Hizo za chinichini zimeanzia humu JF, nazo hazina ushahidi kama haya madai ya Kabendera.
Mpaka sasa hatuna evidence kipi kilitokea ila tutakuja kujua tu ukweli haufichiki.
 
Kabendera angekuwa nchi kama Russia angeuwawa kwa sumu, China angenyongwa, Marekani angeuwawa na kudaiwa amefanya suicide, Israel uko ndio angefungwa kama Mordechai Vanunu.

Kabendera alikuwa anauza taarifa za nchi nje kwa siri, lengo sio kusaidia nchi bali kupata faida binafsi za kiuchumi. Uko ndio akapata hela akajenga mjengo wake mkubwa alionao sasahivi.

Taarifa zake sometimes zilikuwa sahihi, ila hazikuwa na faida kwetu akiziuza nje.

Huyu hata angeambiwa andika kusema Tanzania inadhamini na kuwapa silaha waasi wa DRC ili inunue madini kwao angeandika. Yeye mradi alipwe, ndio maana alikamatwa na hela hazijulikani zimetoka wapi na kwa malipo ya nini. Waandishi kama hawa wapo wengi Nigeria na bara la Afrika, wananunuliwa kwa vipande vya fedha.

Kuhusu kukataliwa kutoka kizuizini akamzike mama yake hiyo sio ajabu mbele ya sheria. Wenzake kina Snowden wakichezea national interests hawaleti chuki kwa waliowakamata, hakunaga mole, double agent au spy anayekamatwa alafu akamchukia aliyemkamata. Huyo anakuwa kavamia fani.
Kabendera alikuwa anafanya kazi gani katika taasisi ipi ya serikali ya Tanzania?
Waliokuwa wanampa taarifa alizokuwa anaziuza ni wakina nani?
Kwa nini bado yuko uraiani kama haya madai ni ya kweli?
Unaposema "wenzake" akina Snowden unamaanisha Kabendera alikuwa jasusi wa serikali?
Pia hakuna ushahidi wa Marekani kuua watu wanaodaiwa kuvujisha siri za serikali ya Marekani kwa maadui zake. Huwa wanakamatwa, kufunguliwa mashitaka na kufungwa na wapo wengi mfano Robert Philip Hanssen, Jack Teixeira, Reality Winner n.k
 
Kabendera angekuwa nchi kama Russia angeuwawa kwa sumu, China angenyongwa, Marekani angeuwawa na kudaiwa amefanya suicide, Israel uko ndio angefungwa kama Mordechai Vanunu.

Kabendera alikuwa anauza taarifa za nchi nje kwa siri, lengo sio kusaidia nchi bali kupata faida binafsi za kiuchumi. Uko ndio akapata hela akajenga mjengo wake mkubwa alionao sasahivi.

Taarifa zake sometimes zilikuwa sahihi, ila hazikuwa na faida kwetu akiziuza nje.

Huyu hata angeambiwa andika kusema Tanzania inadhamini na kuwapa silaha waasi wa DRC ili inunue madini kwao angeandika. Yeye mradi alipwe, ndio maana alikamatwa na hela hazijulikani zimetoka wapi na kwa malipo ya nini. Waandishi kama hawa wapo wengi Nigeria na bara la Afrika, wananunuliwa kwa vipande vya fedha.

Kuhusu kukataliwa kutoka kizuizini akamzike mama yake hiyo sio ajabu mbele ya sheria. Wenzake kina Snowden wakichezea national interests hawaleti chuki kwa waliowakamata, hakunaga mole, double agent au spy anayekamatwa alafu akamchukia aliyemkamata. Huyo anakuwa kavamia fani.
wew inaelekea unajua kitu.
umenyorosha maelezo hadi raha.
safi sana.
sasa na huyu Ben mlimpeleka wapi? maana naona mnampinga mkuu kabendera?
mnatuchanganya.
 
Hiki kitabu usishangaae kikipigwa marufuku na serikali!
Na huu uzi nashangaa bado haujafutwa mpaka dakika hii!
 
sihusiki na story na porojo za kusadika kabisa gentleman 🐒

IMG_20250101_215657.jpg
 
Nimekuelewa sana! Kama ndivyo, hayo yanafanyika kwa faida ya nani? Kwani aliokuwa ni wa chama cha upinzani yule?! Sasa kumchafua yeye si ni kujichafua wenyewe wote hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu?! Wapinzani wakikomaa na hii point kwenye kampeni, wahusika watatoboa kweli?
Watachafuka sana , chama na serikali kwa ujumla wake
 
Kabendera alikuwa anafanya kazi gani katika taasisi ipi ya serikali ya Tanzania?
Waliokuwa wanampa taarifa alizokuwa anaziuza ni wakina nani?
Kwa nini bado yuko uraiani kama haya madai ni ya kweli?
Unaposema "wenzake" akina Snowden unamaanisha Kabendera alikuwa jasusi wa serikali?
Pia hakuna ushahidi wa Marekani kuua watu wanaodaiwa kuvujisha siri za serikali ya Marekani kwa maadui zake. Huwa wanakamatwa, kufunguliwa mashitaka na kufungwa na wapo wengi mfano Robert Philip Hanssen, Jack Teixeira, Reality Winner n.k
Kabendera ni mwandishi wa habari, akawa anaandika taarifa za kiuchunguzi na kutafuta majarida ya nje aziuze, sio asaidie. Mtofautishe na yule mwandishi aliyefariki awamu ya Mwinyi aliyeandika kuhusu Loliondo kuuzwa, huyo alitaka kusaidia nchi.

Waandishi kama Kabendera kuna wanaotuma taarifa nje, kuna wanaopewa agenda kutoka nje waziandike kwa wasomaji wa ndani na wa nje. Mfano andika agenda ya ubaya wa bwawa la umeme linalojengwa, andika ubaya wa bomba la mafuta kutoka Uganda kwamba linachafua mazingira (hii kandarasi walikuwa nayo Wakenya).

Snowden hakuwa spy, alikuwa contractor wa NSA na CIA kutokana na utaalamu wake. Akavujisha siri, akaiba data za serikali akashtakiwa, ila huwezi msikia analialia kumlalamikia Obama sababu alijua anachofanya. Kabendera yeye alijua kupokea miamala tu, kuhusu akigundulika hakutaka kujisumbua.
 
daah watu mna vichwa vigumu wkt mlichoonyeshwa apo ni paragraph moja tu ya kitabu kikubwa.

wew kanunue icho kitabu usome humo ndani uone uo ushuhuda ulivyojengwa ndo uanze hayo mabishano au vinginevo ulete ushahidi wako.
Wewe ushuhuda unao? Huna.

Kabendera kaandika tuhuma kwa mtu mfu, ambaye hawezi kujitetea. Ushahidi wake ni "both opposition and government sources I have spoken to"
 
wew inaelekea unajua kitu.
umenyorosha maelezo hadi raha.
safi sana.
sasa na huyu Ben mlimpeleka wapi? maana naona mnampinga mkuu kabendera?
mnatuchanganya.
Kabendera anadai viongozi wa upinzani na serikali alioongea nao wanajua. Ni kina nani hao?
Mwambie awataje hao kisha ndio waseme Ben yuko wapi. Simple as that. Siku nyingine mwandishi mwingine aje aseme "kaambiwa" Ben aliuwawa na Mbowe, tukubali kisa kaambiwa?
 
Back
Top Bottom