ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Yupo pahali ambapo na ww unakwenda.Jiwe yuko wapi leo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo pahali ambapo na ww unakwenda.Jiwe yuko wapi leo?
HahahahaHakuna aya yoyote kwenye vitabu vya Mungu iliyoagiza tumsamehe Shetani
Acha udini,ukristu unaingiaje hapa?Ila viongozi wakristu nchi hii huwa washamba sana,yaani ubabe,udikteta koko nk,kuongoza kwenyewe hawawezi,wakikalia kiti sijui hujiona miungu watu!
Nani kaziona?"Kadiri upepo unavyozidi kupuliza ndivyo nyeti za kuku zinavyoonekana".
Wakweli waje na majibu,ikishindikana uongo ndio ukweli na utakuwa ukweliJamaa liongo kweli lipimbavu
Utakuwa haupo bongo weweTumshukuru Mungu kwa kuwa awamu hii watu hawatekwi na kuuawa sababu za kisiasa,
Wewe ndiye ulitakiwa uje na majibu halafu ukawahiwa?Mbona mhaho mwingi?Kuwateka watanzania kama huyu ni rahisi sana weka kitu kwenye maandishi wanaamini unawachota kidahisi kama mademu wa mbagala
Hivyo leo tumepata bahati kumwona Tlaatlaah bado,Mwashambwa
Watoke na majibu ya hilo na mengine,nirahisi sana kujiosha.Watachafuka sana , chama na serikali kwa ujumla wake
1. Waliompeleka ni watu gani?Kuna bwana mmoja alikuwa anauza madawa ya kulevya..amefariki juz hapa alikuwa gerezani(miaka 30)..mtu WA tanga..
Siku amekamatwa akasafirishwa mpaka state...mzee akamuona ..akamuuliza kumbe wewe ndio desh desh Yanga!!?..Kisha akasema nilikuwa nataka nikuone...Kisha akawaambia walio mleta.."Nendeni mkashughulike nae"....
Mzee alikuwa mkali lakini sio kufikia hatua ya kuua kwa bastola yake""..I stand to be corrected.
Mbona ya baba wa taifa mnatumiaPicha ya Mh kumbe mtu yoyote ana weza itumia popote
Huwa wanambiwa wao ni smart walisoma elboro au vipaji so wananza mikwala uswahilini ushawah kuona mkristo akipata wadhfa kukaa na wenzake vzr mtaani hujifanya so special kiburi dharau nk sasa huyo mpe uongoz wa nchi lakini upande wa pil tupo nao uswaz hawa noma kina jafu kigwangala nk hyo nd tatizoIla viongozi wakristu nchi hii huwa washamba sana,yaani ubabe,udikteta koko nk,kuongoza kwenyewe hawawezi,wakikalia kiti sijui hujiona miungu watu!
Mimi nadhani kuna mambo tuyaache kama yalivyo kwakuwa marehem hawezi kufufuka akaja kujitetea na mpaka kitabu kinatoka mamlaka zilikipitia nakuruhusu. Naomba wasiache kuruhusu na mambo yao yakaandikwa wazi baada yakututoka ili kuweka usawa. Ninachokijuwa nguvu kubwa inatumika kuuwa legacy ya huyu baba JPM je sisi ni naniNanukuu......
Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, @kabsjourno kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.
View attachment 3189981View attachment 3189980
Awamu ipi mkuu?Tumshukuru Mungu kwa kuwa awamu hii watu hawatekwi na kuuawa sababu za kisiasa,
mkuu elezea kidogo hii ilinipitaDuh! Mmi nilisikitika alipompoteza mama yake mzazi kipindi yupo kizuizini.
Devil has no Friend.
Ingia YouTube andika mama mzazi wa Kabendera .mkuu elezea kidogo hii ilinipita
Nothing is impossible under the sun.Angelisema Magufuli alitoa 'maelekezo' ningeweza kumwamini.
hili la kusema eti alikutanishwa na Magufuli Ikulu na kwa vile Magufuli alipenda kubeba bastola, eti akachomoa bastola na kumpiga risasi kwa mkono wake, hainiingii akilini mimi.
Ni ngumu sana jambo hilo kutendeka kama alivyolirahisisha kwa kuliandika.
Maybe the book has 'some kind of proof', I mean just maybe. To get the hard evidence whilst the accused was a sitting president, it's kinda tricky.Such allegations needs to be accompanied by hard evidences.., Not Just Hearsay (Sources I have Spoken to)
Just my two Cents.....
Ni ngumu kutendeka lakini linawezekana pia kufanyika.Angelisema Magufuli alitoa 'maelekezo' ningeweza kumwamini.
hili la kusema eti alikutanishwa na Magufuli Ikulu na kwa vile Magufuli alipenda kubeba bastola, eti akachomoa bastola na kumpiga risasi kwa mkono wake, hainiingii akilini mimi.
Ni ngumu sana jambo hilo kutendeka kama alivyolirahisisha kwa kuliandika.