Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Ok sawaExactly, otherwise angeitoa kwenye kasha lake la kuhifadhia pistol. Kama umeshawahi kumiliki silaha definitely you know what I mean.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok sawaExactly, otherwise angeitoa kwenye kasha lake la kuhifadhia pistol. Kama umeshawahi kumiliki silaha definitely you know what I mean.
Wewe ni mpumbavu, niliyemuuliza swali amenielewa na ameshanijibu na nimemuelewaAlichokisema moo hukuamini , Bado unatoa hoja Kwa hiko hiko ambacho hukikiamini...
So unachohoji ni Nini kama na wewe pia hukuamini..
Nothing is impossible under the sun.
Maybe the book has 'some kind of proof', I mean just maybe. To get the hard evidence whilst the accused was a sitting president, it's kinda tricky.
The shit has now backfired, ukweli unaaza kudhihirika slowly but surely. System walijifanya ni spin masters sasa wanaumbuka wenyewe, case yoyote ambayo serikali haihusiki lazima upelelezi utakuwa ni WA nguvu na wahusika lazima watakamatwa.Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane
Wadau, amani iwe kwenu. Nawapa pole ndugu wa Ben Saanane hususan Baba yake mpendwa, Focus Saanane na mdogo wake Erasto Saanane ambao kwa zaidi ya wiki sasa wanahangaika kumtafuta mpendwa wao Benard Rabiu Saanane au Ben Saanane kama tulivyozoea kumuita ambaye amepotea katika mazingira ya...www.jamiiforums.com
Jikite kwenye madaLissu anauliza upo upande gani mbona huna msimamo!
both opposition and government sources I have spoken to confirm that he was taken to state house where the president, who always carried a gun, personally shot him in the head. His body was then dumped in the river Rufiji.
That is hearsay at best.., hata wewe leo ungeweza kuandika kitabu humu na kuweka story za uliyoyasikia na kama uliyoyasikia hata hausemi ni nani alikwambia ili tuweze kuona credibility ya aliyekwambia.... Tofauti kama angeona mwenyewe angalau angeweza kusimamia anachokisema...
Jibu hoja kijana acha matusi,Wewe ni mpumbavu, niliyemuuliza swali amenielewa na ameshanijibu na nimemue
Unadhani Vyombo vya Sheria vinafanyia kazi habari kama hizi (tena anaweza kujikuta kwenye misuko suko ya Slander) unless waliopo sasa watake kulitumia hili kama Turufu ya Kisiasa..., Kama kweli watu wanataka kulifanyia kazi ni hizo credible sources kutoka na kusimamia hoja zao..., Ndio maana nikasema hili sio jambo dogo la kusema tu by the way..., Ni Mauaji ya Mtanzania tena cold bloodedly.., at a Sacred Place and by the Highest Institution in the Country..., Sio ya kutoa kauli kama Mechi ya Simba na Yanga bila kuwa na back up ya Concrete Reasonably Evidences na muda ushapita hizi issue za He Say / She Say zinapoteza Uzito na kama ni kweli basi the whole Power / System at the time lazima wawajibike by association....Panapofuka moshi ujue baadae moto utawaka. Tuviachie vyombo husika vifanye uchunguzi wa hoja za mwandishi. To us, this is just a peek through sources of multiple possibilities.
That's why I'm giving it probable chances 50/50, at least there was a motive. The fake PhD saga could be the reason behind this.both opposition and government sources I have spoken to confirm that he was taken to state house where the president, who always carried a gun, personally shot him in the head. His body was then dumped in the river Rufiji.
That is hearsay at best.., hata wewe leo ungeweza kuandika kitabu humu na kuweka story za uliyoyasikia na kama uliyoyasikia hata hausemi ni nani alikwambia ili tuweze kuona credibility ya aliyekwambia.... Tofauti kama angeona mwenyewe angalau angeweza kusimamia anachokisema...
Can you prove this?Mkuu iko hivi serikali hasa ya Dkt Magufuli ilikuwa haihusiki kabisa na utekaji. Kilichotokea ni maji kwa maji kuchanganyikana. Yaani kuna mfumo ndani ya mfumo uliotumika na msoga kuhakikisha unafanya vitu vya kuua na kuteka ila vipo ndani ya mfumo. Uzuri mpaka sasa wengi wao wameondolewa. Ndiyo hiyo unaona hata Dkt Samia wanamfanyia huo mtindo ili kumchafua
Hapa hatuongelei what happened Mimi, wewe wala Kabendera mwenyewe kutokana na Hoja alizoleta hatujui..., Tunachokiongelea ni kuchukulia hii allegation ya kwenye Kitabu ambacho hata yeye mwandishi hakuwepo na ameambiwa na watu ambao hatuwajui.., hivyo hatuwezi kuchukulia ndio kilichotokea, zaidi ya another theory in the pile..., At best kwenye hii Saga ya kutafuta ukweli, maandiko yangebase kwenye what is known, what are the rumors from different sides na hitimisho kwamba until now its a cold case...., Sababu kama hao sources wapo na kweli wanataka Haki, ambao bado wapo na walikuwepo kama accessory kwanini tusianze na hao ?That's why I'm giving it probable chances 50/50, at least there was a motive. The fake PhD saga could be the reason behind this.
Hearsay at it's peak yeah lakini circumstancial evidences zinamlenga Jiwe.
MWANZO 4Nanukuu......
Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, @kabsjourno kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.
View attachment 3189981View attachment 3189980
Tunaomba Link...Magu hakupenda kukosolewa na aliona ni mpinga maendeleo...
Hata humu Kuna kina TUMAINI EL walisema wazi Ben alichukuliwa na kuuwawa..
Pia humu ndani Kuna thread za ben kutishwa na aliandika mpaka namba za simu za watesi wake walio kua wakimtishaa
Muuaji wa Ben ni mbowe bado anadunda. Kifo cha Dkt Magufuli kilipangwa na wauaji timu msoga na inajulikana. Acheni kueneza uongo.MWANZO 4
8. Kaini akamwambia Habili nduguye, [Twende uwandani]Ikawa walipokuwapo uwandani,Kaini akamwinukia Habili nduguye,akamwua.
9 Bwana akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?
10 Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi.
11 Basi sasa, umelaaniwa wewe katika ardhi, iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya ndugu yako kwa mkono wako;
Damu ya Ben Saanane ilimlilia Mungu na tuliyoyaona mpaka sasa , ni kutimiza laana kwa mtu aliyemuua.
Sijataja jina, kama unajihisi uwe na amani kama hukuhusika.Muuaji wa Ben ni mbowe bado anadunda. Kifo cha Dkt Magufuli kilipangwa na wauaji timu msoga na inajulikana. Acheni kueneza uongo.
Ukilingnisha na ofisi ya Rc unakosea.
Ikulu ina utofauti kwa sababu, ni ofisi na makazi ya Rais hapo hapo.
Rc haishi ofisini anapofanyia kazi.
Sasa kufanyia mauaji nyumbani kwako na huku una mamlaka ya kuamrisha tu mtu kwenda kufyekewa mbali na ikawezekana, nd'omimi akili inagoma kuamini.
Na huyu mwandishi anajulikana kwa adha aliyoipata kwenye utawala huo, siyo wa kumuamini sana.
Mkuu Cheo Cha Urais kinakaliwa na Binadamu ..Kama serikali italikalia kimya hili la rais wa nchi kuua hakuta kuwa na shaka uwepo wa serikali mkono wake kwenye hiki kitabu.
Hili wewe umelijuaje? Au ulikuwepo Ikulu ?....kama hukuwepo kwanini ubishe alichokiandika Kabendera?