Erick Omondi aja na Saratina, Steve Nyerere tukupende kwa lipi?

Erick Omondi aja na Saratina, Steve Nyerere tukupende kwa lipi?

nimecheka sana kwa kweli ule ufaji ule dah....what a good night for me.....kwanza muonekano wa Omondi nkawa natabasamu sassa kasheshe naangali aitakuwaje akipigwa mtu risasi...jamaa kapewa moja aiseee huko kufa sasa nimependa sana comedy ya ukweli hii
 
nimecheka sana kwa kweli ule ufaji ule dah....what a good night for me.....kwanza muonekano wa Omondi nkawa natabasamu sassa kasheshe naangali aitakuwaje akipigwa mtu risasi...jamaa kapewa moja aiseee huko kufa sasa nimependa sana comedy ya ukweli hii
Hakika umependa mkuu....
 
nimecheka sana kwa kweli ule ufaji ule dah....what a good night for me.....kwanza muonekano wa Omondi nkawa natabasamu sassa kasheshe naangali aitakuwaje akipigwa mtu risasi...jamaa kapewa moja aiseee huko kufa sasa nimependa sana comedy ya ukweli hii
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji125] [emoji125]
 
Risasi za siku hizi zinaua kama mose iyobo yupo kazini.......omondi ni shida
 
Wakenya wanasapoti mziki wetu sana...tuwasapoti na siye comedy yao. Comedy za Tanzania kuigiza sauti tu.
 
Stive nyerere abakie kuwachekesha wana CCM wenzie. Stive Nyerere hajawahi kuivutia hata chembe.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uyo Omondi siyo wa hapa asee!!

Sasa ule ufaji wa yule jamaa alo pigwa risasi sijawahi ona asee[emoji28]

Nakushangaa bongo kuna watu wana jiita ma comedian wana tuchaj mpaka hela et, wakati hawafikii hata nusu ya effort za mtu kama Omondi
Ufaji wa kisasa[emoji1] sarakasi pushapu..then unakufa..[emoji124] [emoji124]
 
Back
Top Bottom