MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Binafsi sina uwezo wa kumchukulia hatua. Nilikuwa naweka mambo sawa huenda utaratibu wa Kenya na Tanzania ni tofauti. Pia jinsi unavyompa saport likitokea la kutoke usisite kumsaidia badala ya kubaki nyuma ya baobonye ukijificha
Hamna cha utaratibu wala nini, nyie ni watu wa full majungu, kwenu huko mkuu wa mkoa bwan Makonda anavamia kituo cha habari na kuvuruga vijana wasanii, mnaishi maisha ya ovyoo sana.
Haya hii nyingine hapa ya Eric bado aanendelea kufanya yake, nendeni mumteke, muwatume wale watu wenu wasiojulikana