Binafsi sina uwezo wa kumchukulia hatua. Nilikuwa naweka mambo sawa huenda utaratibu wa Kenya na Tanzania ni tofauti. Pia jinsi unavyompa saport likitokea la kutoke usisite kumsaidia badala ya kubaki nyuma ya baobonye ukijificha
Looooll....Imma wait for the comments...loool....Hamna cha utaratibu wala nini, nyie ni watu wa full majungu, kwenu huko mkuu wa mkoa bwan Makonda anavamia kituo cha habari na kuvuruga vijana wasanii, mnaishi maisha ya ovyoo sana.
Haya hii nyingine hapa ya Eric bado aanendelea kufanya yake, nendeni mumteke, muwatume wale watu wenu wasiojulikana
Mpaka sisi Waafrika tuje tuelewe maana ya comedy sijui itakua karne ya ngapi masikini!that's too bad for him.
mara kadhaa huwa anavuka boda kuja tz kufanya stand up comedy zake na mwisho wa siku huwa analipwa kwa currency ya kitanzania ambayo leo ameifanyia dhihaka kwenye kurasa zake za social media.
namuonea huruma cos mpaka hapo tayari ameshaingia kwenye kumi na nane ya authority ya tz. ni suala la mda tu atajisahau halafu atakumbushwa.
AISEE WEWE NI MTU WA MOMBASA AU? MAKONDA NI MKUU WA MIKOA YOTE TANZANIA? UTARATIBU HAUJALI WEWE NI NANIHamna cha utaratibu wala nini, nyie ni watu wa full majungu, kwenu huko mkuu wa mkoa bwan Makonda anavamia kituo cha habari na kuvuruga vijana wasanii, mnaishi maisha ya ovyoo sana.
Haya hii nyingine hapa ya Eric bado aanendelea kufanya yake, nendeni mumteke, muwatume wale watu wenu wasiojulikana
mkuu,Mpaka sisi Waafrika tuje tuelewe maana ya comedy sijui itakua karne ya ngapi masikini!
Hii ni pure comedy,cha ajabu watu wamesha catch feelings already!
Too bad!
Tungekua tunakaa Marekani sijui tungekua tunaishije!
Tuelewe comedy na tuwaelewe comedians na tusiichukue zaidi ya hapo!
Tatizo,tutachukua kama karne 3 hivi tuelewe!
Erico saa zingine hunivunja mbavu, haya yote ni matani majamaa msichukulie kila kitu serious sana mtazeeka haraka. #KENVSTANHamna cha utaratibu wala nini, nyie ni watu wa full majungu, kwenu huko mkuu wa mkoa bwan Makonda anavamia kituo cha habari na kuvuruga vijana wasanii, mnaishi maisha ya ovyoo sana.
Haya hii nyingine hapa ya Eric bado aanendelea kufanya yake, nendeni mumteke, muwatume wale watu wenu wasiojulikana
Sarafu ya Tanzania inaelekea kuwa kama ile ya Zimbabwe ana Venezuela ...near worthless.
Chuki ilianza wakati wa hayati Jomo Kenyatta na Julius Nyerere.Diamond mtu mbaya sana.chuki hii imeanza na yeye,wasanii wa kenya wanamgwaya
Chuki ilianza wakati wa hayati Jomo Kenyatta na Julius Nyerere.
Nadhani atashughulikiwa ki comedian tu hata kama kuliwa kiutani utani wakamtatua malinda kiutani asikasilike tumkuu,
shida sio mimi, shida ipo kwa watu wa karibu wanao mshauri jiwe vile walivyoipokea hiyo comedy.
huwezi juwa hiyo clip wanaitafakari vipi na mikakati gani wanapanga ya kumshughulikia endapo atakuja tz kufanya comedy.
binafsi sina tatizo na eric omond.
Ila Kuna kaukweli.. Wao wakitoa sh 1 sie zetu 20. .so ratio ni 1:20
Ina maana kama ni noti wao wakitoa moja sie tunatoa noti 20
Kamekondeaaaana
Aa budda, kwani hujui kuwa tunaongoza kwa nchi yenye watu wasio na furaha duniani?...Mnaishi maisha magumu sana, full minuno hata kwa comedy....
mkuu watu tumevurugwa hatari yaani sometimes unaweza utukane hata jogoo akiwika karibu yako, tanzania ilipotea after kikwete now tunaishi north korea.Mnaishi maisha magumu sana, full minuno hata kwa comedy....
Sasa ww?? Kama hii ni comedy na kila mtu anajua hvyo huyo atachukuliaje kuwa ni serious??mkuu,
shida sio mimi, shida ipo kwa watu wa karibu wanao mshauri jiwe vile walivyoipokea hiyo comedy.
huwezi juwa hiyo clip wanaitafakari vipi na mikakati gani wanapanga ya kumshughulikia endapo atakuja tz kufanya comedy.
binafsi sina tatizo na eric omond.
Dah! Kumbe WCB wanaishi kwa nguvu ya ushirikina!..